CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Mnaocomment Ujinga
Hivi mtajiskiaje mkigundua
Mtoa mada ndo mama mwenyewe[emoji848][emoji15]
Hapana nataka ndoa yeye yupo yupo aihMnakawia kukinai basi.
Sasa hivi utarudi tena na mada za malalamiko.
Wanawake ni kama watoto wanapopata toi mpya. Siku za kwanza anakuwa na shauku nayo, akiichoka inatupwa huko.
Shindwa aisee mimi sio mtoto wa shetani nikomeHuyu ndie anayezalilisha akili za wanawake wa jf jinga sana hili
Nikiwa na mtoto kama wewe nitabadilishana kwa paketi ya karanga mbichi
Hivi yupo ??Uje kwangu ila naona jimbo lipo kwa carasco
Nayeye kwendraa Hana jipya Wala sijawahi kumuona tunapotezeana muda tu wakuwekeana malike ya uongoUje kwangu ila naona jimbo lipo kwa carasco
Asantee mume wamtuKila la kheri...
Nataka nisemwe nimechoka uzururaji na acha ubachella nakuwa double nipo serious.
Nimechoka usingle ambao haueleweki na kibabu kwendraa nakuacha na wewe unasoma huu ujumbe naisi good day
HapanaYote ni maisha tu[emoji16]
Samahani natania Mimi siwezi jitangaza hivyooMtamu kweli au ni mbwembwe tu?
Kwa hiyo siyo mtamu. Hizi issue ilitakiwa tuongee pm ila umefungaSamahani natania Mimi siwezi jitangaza hivyoo