Mchepukaji yoyote yule tunam-define kama malaya sio? Regardless sababu za yeye kuchepuka?Huo huyo wa kuchepuka. Ni umalaya, na hiyo ni universal definition sio ya kwangu
Fantasy????Hakuna Cha tabia. Kuna mambo yanapelekea mtu achepuke. Iwe kwa mwanaume au mwanamke. Na ukiona mke anachepuka ujue kavumilia mengi..watu wanaitafuta furaha sehemu iliyopo
May be... May be notFantasy????
hahahahMay be... May be not
Fanya kama hujaona jamani, tatizo mleta mada hatuamini!
Of courseMchepukaji yoyote yule tunam-define kama malaya sio? Regardless sababu za yeye kuchepuka?
Akiwa siku zake vipi unaponea wapi?Me mke wangu sioni sababu ya kumsaliti kabisa ndo maana nimetuliaa..tukigombana nafanya namna mpaka tupatanee..Tunda ananipa kila nikihitaji so sina mizukaa kabisa...
Unaweza ukamsaliti huku unampenda bado,tena upendo ndo unazidi[emoji3][emoji3][emoji3]Pepo la uzinzi ndio linakusumbua.
Alaf ungekua unampenda usinge msaliti.
Pole sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poaaan mdogo wangu nakushuari uwe unaandika bila kuongeza herufi zisizokuwepo kwenye maneno mfano tupatanee mzukaa
Nahisi ww kma Mimi sema Mimi sijawahi kumtrack mke wangu naomba nipe tips za kufuata ili nimjaribu wangu. Ila pole sikupi maana pusy nazo zinatofautiana radha. Huwezi ukala mchicha mwaka mzima lazima utafute japo kisamvu.Mungu azidi kumlinda!
Mana nimemtrack kila line na social networks nimetumia apps tofauti kama whatsapp webu sijaona shida kwake ndio mana ninaumia zaidi.
[emoji28][emoji28]hapo na pepo ndio limekolea sasaUnaweza ukamsaliti huku unampenda bado,tena upendo ndo unazidi[emoji3][emoji3][emoji3]
And vice versa is true!Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.
Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.
Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!
Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!
Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.
Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.
Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.
Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.