Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
afu Riki boy hujaoa bali wewe ni mdogo wangu unaesoma SAUT yani ni wewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poaaa
Dah! ngoja kwanza nikue kue niyaone !!!Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.
Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.
Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!
Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!
Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.
Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.
Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.
Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.
Hata mkeo ni msiri saana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sauti ndo nini mkuu??afu Riki boy hujaoa bali wewe ni mdogo wangu unaesoma SAUT yani ni wewe.
haaha ni kifupi cha chuo kikuu cha Mtakatifu Augustine.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sauti ndo nini mkuu??
Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.
Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.
Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!
Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!
Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.
Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.
Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.
Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.
asante kwa ushauri maridhawaHuwa kila siku tunajifunza, nina jamaa ana bonge la wife, yaani mke wake ni mzuri sana. Ukimuona tu lazima umtazame tena, lakini to my surprise jamaa ni mchepukaji number one. Halafu akikuonyesha clips anazotuhumiwa na hao mahawara zake, ni wa kawaida tu lakini anawala balaa.
Kuacha ku-cheat ni maamuzi tu, tena maamuzi ya kujikana nafsi hadi uzoee hali ya kuishi na mtu mmoja, regardless anakupa punani kila ukimhitaji au anakubania. Wengine wana wake ambao sio fans wa kufanywa kila siku lakini wametulia tu na wake zao.
Dunia hii ridhika tu na kile ulichopewa, ukiwa mroho sana utaishia kuumia tu.
Ukioa ndo unakuwa upo kwenye nafasi kubwa ya kuchepuka na kuwa na wanawake wengi kuliko mabachelor ambao hawajaoa
Nimeacha rasmi mkesha wa mwaka mpya!Kuwa bize na bia"""
Tena ndio watakapokoma nitausambaza hatari coz sifugi mbwa asiyewindaHahaha Ukipata UKIMWI Utaacha Kuchepuka! Very simple
Huu ndio ushauri wakoMwanaume wa hivyo bora kuachana mapema kwa usalama wa maisha ya mtu!
Alafu anajidai kaoa mwaka wa tatu we dogo kuwa mpole subiri wakati wakoafu Riki boy hujaoa bali wewe ni mdogo wangu unaesoma SAUT yani ni wewe.
Thanks for the nice advice and hints Jah bless youKiongozi naomba nikuambie kwamba hauko peke yako kwenye changamoto kama hiyo. Sisi tuliooa tunakutana nazo sana ila naomba nikupe hints zitakazosaidia kuacha kama ambavyo sisiwengine tulifanya
1. Block na futa namba zote za vicheche
Unapokuwa na namba ya kicheche ujue kuwasiliana naye ni rahisi sana yaani kama kumsukuma mlevi tu. Kwann nimekuambia ublock kwanza kabla ya kufuta, ni kwa sasbabu endapo kama mchepuko akikutafuta asikupate.
2. Punguza au acha mitoko isiyo ya lazima
Mkuu kama unapendelea kukaa maeneo ambayo yana ushawishi wa wanawake kama baa na clubs basi acha kabisa. Ukiendekeza manake mwisho wa siku utaishia kubeba mmoja.
3. Punguza kampani za washkaji wanaopenda wanawake. Mzeebaba asikuambie mtu kampani zinashawishi sanaaaa na zinachochea sana kujikuta unachepuka. Ninaposema punguza maana yake ni hatua ya awali kuelekea kuacha. Simaanishi kwamba una michepuko mitano upunguze uwe na mmoja.
4. Punguza monde.
Kama unatumia pombe punguza ama acha kabisa maana pombe inapelekea kuchukulia mambo kirahis tuu hivyo kuchepuka knakuwa rahisi sana.
5. Funga na sali.
Naamini unamuamini Mungu. Kuchepuka ni dhambi, ni kumkosea Mungu na tutakuwa accountable kwa kila tendo tunalolifanya. Mungu akisema usizini, basi tusizini. God first.
NB
Kuacha kichepuka ni ngumu ila inawezekana sana ukizingatia wife wako katulia kama ulivyosema. Ila naamini utaweza kama kweli uko serious na ni jambo jema kuumia roho ukichepuka that's Godly fear and it leads tp repentance and eventually salvation.
God bless brother.
Oyaa mzee baba, hii ni kawaida ila kama unazidisha ndiyo mbaya.....we jichanganye na washkaji same age ama above, itaanza kupungua lakini ukizidi kuwa guilty kama ulivyoanza ndiyo unaharibu, punguza ama anza kuacha kwa kufuta mawasiliano na hao watu. Relax mzee ..... we been there done that or still tunanyoosha ki Gwaji boyKama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.
Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.
Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!
Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!
Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.
Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.
Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.
Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.
Kwani mke si anamwona huyu jamaa mwema?
Haya, mke naye anaonekana mwema kwa huyu jamaa.
Hapo unadhani mke naye katulia tu? Analijua mwenyewe...huenda yeye kakosa pa kuanzishia uzi anachepuka kumzidi huyu.