Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Ukiipata hiyo nchi uni'tag', nijiridhishe kama kweli upo salama huko.
 
Achana na siasa, mabomu hua yanalipukaga ynyewe bila hata influence ya wanasiasa ,tena la kwanza litalipuka soon na linaitwa 'vijana waliokosa ajira'
hii itakuwa nchi gani mkuu. Kama watu walinyimwa ajira miaka 4 na hajafanya kitu,kama watoa ajira sekta binafsi ilivurugwa miaka 5 hakuna aliyefanya kitu.

Suala la tozo za kijinga mimi kwangu ndio uthibitisho wa mwisho kwamba hatuna wananchi bali ni makondoo tu yakuswaga kokote
 
Hata wewe u ayeandika hukuweza KUANDAMANA kilele zako ziko kwenye keyboard tu . Ungejitokeza na bango huenda tungekuunga mkono hukutoka.
Labda utakuwa bundle linakata tu au unabadili ID
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Nimekuelewa vizuri Sana mkuu, sisi wananchi ndiyo tatizo. Tukibadilika sisi basi system itabadilika Mara moja, maana hata hao viongozi ni zao la sisi wenyewe wananchi
 
hii itakuwa nchi gani mkuu. Kama watu walinyimwa ajira miaka 4 na hajafanya kitu,kama watoa ajira sekta binafsi ilivurugwa miaka 5 hakuna aliyefanya kitu.

Suala la tozo za kijinga mimi kwangu ndio uthibitisho wa mwisho kwamba hatuna wananchi bali ni makondoo tu yakuswaga kokote
Be patient mkuu,ili nakuhakikishia
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Pole, kama uliitiliia maanani siasa za nchi hii, na Jua umeumia sana. Usije shangaa hata ulio wapigania Chadema kumbe wapo CCM.
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Mkuu unaandamana wapi wakati watawala wakontayari kuua kwa ajaili ya maslahi madogo tu. Yaani kichaa anakukimbiza na Panga unasimama?
 
Duh, na wataacha wengi siasa mwaka huu kuaga kutakuwa kwingi kwelikweli...
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Congrats ingawa imekuchukua muda kuufikia ukweli.

Kilichokutokea ni kwamba mahasimu wako (CCM) wamekushinda kimkakati. Mfumo mzima wa CCM umesukwa kuhujumu na kufisidi nchi kupitia dola. Mkakati wao mkuu ni GHILBA kwa wananchi kupitia mtandao mzito wa propaganda.

Kwa wale wagumu kughilibika, propaganda zimelenga kuwakatisha tamaa kwamba demokrasia, haki na utawala bora HAVIWEZEKANI Tanzania. Ni mambo/utamaduni wa mabeberu! Watanzania hawataki hivyo; wanataka maendeleo tu. Halafu wanasiasa wote hawaaminiki; wako Sawa. Aidha, hakuna chama kingine kitakachokuja kuongoza Tanzania zaidi ya CCM.

Kwa wale wagumu zaidi ni kufilisiwa, kesi, jela, vipigo na shaba zisizozidi 3 (kwa viwango vyao rasmi).

Ulipofikia ni kwamba WAMEKUKATISHA TAMAA (frustrate); WAMEKUCHOSHA (exhausted); WAMEKUPOTEZEA MWELEKEO (disoriented) na hivyo WAMEKUSHINDA kama tu walivyowamaliza Watanzania.

Hiyo ndiyo CCM na watenda kazi wake. Wengi walioshindwa kupambana nao hatimaye wamejiunga nao na kuendeleza propaganda za ghilba kwa nguvu zaidi! Wamekuwa co-opted. CCM ni zaidi ya chama!
 
Nashukuru Sana MUNGU nimeachana na siasa tokea June mwaka huu Kwa sasa Nina Amani ya moyo sanaaa......
Kitu ambacho nashukuru moyo wangu nikiachana na kitu kinachosumbua moyo naachana nacho milele
 
Ukitaka kufurahia siasa za TZ uwe CCM. Yaani ni mtelezo tu.
Sawa kabisa. Ni bata tu almuradi dhamira yako haikusumbui.

Kuwa memba wa chama tawala kwenye nchi zetu hizi ndio ufunguo wa maisha kwa wanaosaka mtelezo.

Hata enzi za NAZI Germany, wengi walijiunga na chama cha NAZI ili kupata mtelezo au “raha” ya kuwa pamoja na watawala na kusulubu wapinzani: The lightness/ease of being a NAZI!
 
Back
Top Bottom