Naamini Hersi angejibu tofauti sana kama ingekuwa tz

Naamini Hersi angejibu tofauti sana kama ingekuwa tz

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Jana au juzi Hersi ameulizwa kuhusu Aziz kuendelea kuwepo yanga ama ataondoka na akajibu vema TU kuwa mazungumzo yanaendelea na Aziz bado hajasaini huku jibu lake likionesha wazi kukata matumaini ya kumbakisha jangwani Aziz (kwangu mi sio shida maana ni kawaida wachezaji kupitia tz sababu sio destination ya mpira hasa afrika)
Swali kama hili Nina uhakika angeulizwa hapa tz na muandishi majibu yasingekuwa mazuri "nani kakwambia!?"
"Unauhakika na swali lako!?"
"Naona maswali yameisha"
Ukweli ni kwamba waandishi tz wamekuwa wakikutana na majibu ya kejeli na yenye kutweza utu wao mno kutoka kwa vyanzo vya habari ambao in turn wakienda nje hujidai very humble
Badilikeni
Kuhusu Aziz Wala hana pengo atakaloacha ubingwa yanga itachukua kama kawaida mtu mgumu kumpata kwa Sasa ni Diara na Aucho
 
Daah ndo hivyo mpira ni fwedhwaaa...
Binafsi najua wachezaji huja na kuondoka hii ni kawaida na ni Kila mwaka lazima yanga itaacha mchezaji mmoja mkubwa so long as itaendelea kushiriki kwenye Cafcl
 
Jana au juzi Hersi ameulizwa kuhusu Aziz kuendelea kuwepo yanga ama ataondoka na akajibu vema TU kuwa mazungumzo yanaendelea na Aziz bado hajasaini huku jibu lake likionesha wazi kukata matumaini ya kumbakisha jangwani Aziz (kwangu mi sio shida maana ni kawaida wachezaji kupitia tz sababu sio destination ya mpira hasa afrika)
Swali kama hili Nina uhakika angeulizwa hapa tz na muandishi majibu yasingekuwa mazuri "nani kakwambia!?"
"Unauhakika na swali lako!?"
"Naona maswali yameisha"
Ukweli ni kwamba waandishi tz wamekuwa wakikutana na majibu ya kejeli na yenye kutweza utu wao mno kutoka kwa vyanzo vya habari ambao in turn wakienda nje hujidai very humble
Badilikeni
Kuhusu Aziz Wala hana pengo atakaloacha ubingwa yanga itachukua kama kawaida mtu mgumu kumpata kwa Sasa ni Diara na Aucho
Waandishi wa bongo hawajielewi, maswali yao mengi ya hovyo tu
Siku hizi sishangai kuona kale kajamaa kutoka Ghana kanabreaks news za simba, yanga, azam mpaka timu ya taifa lakini waandishi bongo hajui then wanaishia kucopy tu
 
Jana au juzi Hersi ameulizwa kuhusu Aziz kuendelea kuwepo yanga ama ataondoka na akajibu vema TU kuwa mazungumzo yanaendelea na Aziz bado hajasaini huku jibu lake likionesha wazi kukata matumaini ya kumbakisha jangwani Aziz (kwangu mi sio shida maana ni kawaida wachezaji kupitia tz sababu sio destination ya mpira hasa afrika)
Swali kama hili Nina uhakika angeulizwa hapa tz na muandishi majibu yasingekuwa mazuri "nani kakwambia!?"
"Unauhakika na swali lako!?"
"Naona maswali yameisha"
Ukweli ni kwamba waandishi tz wamekuwa wakikutana na majibu ya kejeli na yenye kutweza utu wao mno kutoka kwa vyanzo vya habari ambao in turn wakienda nje hujidai very humble
Badilikeni
Kuhusu Aziz Wala hana pengo atakaloacha ubingwa yanga itachukua kama kawaida mtu mgumu kumpata kwa Sasa ni Diara na Aucho
Hitimisho lako ni zuri, binafsi Aziz Ki wala simuwazi, sababu naamini hata Pacome asingeumia angefunga zaidi ya goli 15 msimu ulioisha. Pacome apewe tu pale kwa Aziz.
 
hamisa kashindwa kumbakisha🤣🤣🤣.ila utopolo ni wadhaifu sana kwa wachezaji .na hapo akiondoka tu mnamjengea chuki
MO ANAPIGA TIZI🤣🤣🤣
 
Hitimisho lako ni zuri, binafsi Aziz Ki wala simuwazi, sababu naamini hata Pacome asingeumia angefunga zaidi ya goli 15 msimu ulioisha. Pacome apewe tu pale kwa Aziz.
Tena vile pale mbele Kuna striker za maana naona mwendo bado ni ule ule
 
Back
Top Bottom