Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

siamini pia kama kweli kuna huo moto wa milele
Moto wa milele usichanganye sio kuungua kila siku ila ni kifo cha milele maana mshahara wa dhambi ni mauti hivo utachomwa mpaka jivu la mwisho ndugu. Mungu atuokoe na adhabu hii.
 
Lete hayo maslahi binafsi kwenye bible yanamlenga nani hapa. Maan bible inatufundisha upendo wote tuko sawa( wote hakuna cha mchungaji wa kuhani wala muinjilist) na tuko chini ya Mungu mmoja kupitia kwa kristo Yesu. Tuambie bible inamfavour nani utakuwa umechanganya maandiko bro.
 
Hakuna cha unavoona wew au cha nini. Nd maan kuna police pia hawa wote wanajaribu kulinda interest za watu wote. Sas unafananisha binadama na wanyama kweli. Mnyama anaweza ua kutokana na kukutana na mtu mgeni au kiumbe mgeni lakini wewe unajua kabisa nkikutana na mtu mgeni naweza kufanya hatua gani huwezi ukakutana na watu kariakoo ukaanza kupanic tu hapo na kukimbia kimbia au kuua ua tu hovyo na ndo maan binadamu unaweza ukaona kwamba hili eneo lina wanyama hatari ukaona uhame sehem nyingine una magari na misaada na mawazo ya watu unawezaje kujifananisha kimaamuzi na myama.
 
Je waisrael wenye dini hawana mchango kwenye mapinduzi ya science na technlojia. Hujui kuwa hizo pyramid zilijengwa na wayahudi hujui kuwa miji mikubwa ya zamani imejengwa na wayahudi hujui kuwa mataiamfa makubwa kama marekani roman empire zote akina germany yamechangiwa sana na wayahudi. Fuatilia asilimia kubwa ya wagunduzi wa dunia wana asili ya kiyahudi. Kwann dini isianze kuwapumbaza wao wewe mwafrica sayansi nd imekucost unasingizia dini. Wewe ilitakuwa ulime umeenda kuiga techologia zinazowafaidisha watu wasio na nyenzo nyingine kwenye ardhi zao.
 
Yani tatizo wewe ndugu unachanganya mafundisho sana nd inakucost. Yani unachukua kipengele kimoja cha dini unaongezea na tabia za watu. Kwenye bible yakobo alifundishwa kuchunga na mama yake haya aliwezaje kuchunga kama alikuwa useless. Kulikuwa kuna maqueen zamani kulikuwa kuna wanawake waubiri. Hujui kuwa kwnye bible kuna kitabu cha esther na pia kuna fundisho linasema ushindi uko kwa mwanamke. Halafu mwanaume anaemcha Mungu atamuheshimu mkewe kama anavowaheshimu watu wengine. Yule bibi alietoa kipande kidogo cha fedha alitoa wapi ela kama walikuwa hawajishughulishi. Na je kwann wanawake walikuwa wanatoa sadaka hata enzi hizo. Hujui kuwa Yesu alikutana na malkia wa shiha na nd alikuwa mtawala mkuu wa ethiopia na wala Yesu hakumkemea wala nini. Sayansi iliyowaambia dada zenu wajisnap tiktok imewaletea dada zenu makalio bandia lips bandia instagram imewaletea wanaume uke bandia ndo tamu sana ila kwako wewe dini tu nd yenye tatizo. Amka kijana amka unapotea mwafrica sayansi nd imekupa umasikini wa kutisha hutaki kulima unataka ukae daslamu.
 
Wewe dini hujasoma vizuri unanyapia nyapia tu navoona. Maandiko yameleta uhusiano wa kiroho kati ya mwanadamu na Mungu na pia uhusiano wa kiroho na mwili kati ya mwanadamu na mwanadamu mwenzie ila kwa akili yako unahisi basi watu walikuwa hawapigi hata story wala hawacheki wala hawachezi na ndo maan unaconclude science haikuepo. Maengineer wenu wanajisifu kwa skyscrapers wakati mnara wa babeli watu waliupandisha juu sana mpaka wakachanganya lugha sababu nia yao ilikuwa ovu. Watu walivuka kwenye maji sio kwa miujiza watu walichimba dhahabu watu watengeneza silaha watu walijenga mapyramid hayo watu walitengeneza mavazi na kila kitu ila wewe unahisi watu walikuwa wanasali tu tuu hakuna maendeleo. Kama hujui maendeleo mengi yametokana na hao waliopata siri za Mungu mwanzoni watu wamefundishwa technology mpaka na akina zeus ambao walikuw ma nephilists. Ila uko kulaumu muafrica dini nd imemfirisi wakati waarabu na hao wazungu sio maskini sababu mpaka wakaleta huku it means walijifunza kwanza wao kwann wasiwe masikini kwanza wao.
 
Msingi wa ukristo ni matendo mema kumuelekea Mungu muumba mbingu na nchi hivo na sio kujua kama mti uliota upande wa kulia wa mto au upande wa kushoto. Inatakiwa uje hapa usema hii bible imesema kuzini ni dhambi ila hii imesema kuzini ni sawa. Halafu huo mfano uliotoa una tafsiri yake hasa kwenye kuapa pale nd moja ya mifano kutaja jina la Mungu bure kama ni ndiyo semeni ndiyo kama ni hapana semeni hapana dhamira yenu nd iwe mwanga. Na hii imeepusha wale wa kutumia haki ya Mungu na kumbe ni waongo halafu wanawaamisha wenzao vitu vya uongo.
 
Mabaya ni adhabu kwa kuasi kwasababu mabaya yote adhabu yake ni kifo.
Wakati Mungu ana muumba mwanadamu, Hakujua kwamba ipo siku mwanadamu atamuasi na kufanya mabaya?

Kama alijua uasi utakuja kutokea kwa nini alisubiri hadi utokee asi uzuie tangu mwanzo??
 
Hakupanga tujue mema na mabaya ndugu. Mema na mabaya ni adhabu ya uasi wa kwanza kuwa usile tunda la katikati ya mti.
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Hakujua kwamba Uasi utakuja kutokea?

Yeye si hujua yote?

Alishindwaje kujua kwamba ipo siku binadamu atakula tunda la katikati amzuie asile, Badala yake ali acha hadi binadamu akala???
 
Kwaiyo unafikiri Mungu ni rigid hawezi kubadili hatma yako sababu unaamini anajua hatma yako, yaani kiufupi unaamini Mungu hafanyi reasoning kwenye maamuzi yake?

Yaani hata kama umetenda mema basi yeye atakupa tu adhabu ili atimize hatma yake juu yako?

Em fikiria kama wewe binadamu aliekuumba you can make reasoning na kubadili maamuzi yako au hatma yako, je yeye si zaidi yako?
 
S
Hayo mabaya kama hayapendi yeye si Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje Kuto kuumba Dunia isiyo na mabaya??

Mabaya ambayo humsababisha mwanadamu ayafanye...
Sasa hayo ya kutokuumba au kuumba hakushindwa ila ni mapenzi yake na sio yako na hakuna wa kumpangia kama ambavyo hukumpangia wewe uzaliwe au usizaliwe, uwe na jinsia me au ke hayo yote ni mapenzi yake ambayo yapo nje ya uwezo wako,

Ndio maana kakupa nawewe uhuru wa kufanya mapenzi yako hapa duniani but at your own cost, kwamba ukitenda mema utalipwa na ukitenda mabaya utalipwa.
 
Kwani mwalimu akijua kuna kilaza darasani akatoa mtihani na akajua fulani atafeli hyo ina tafsiri gani na influence ya mwalimu juu ya mwanafunzi huyo?
ni either teacher alitoa mtihani mgumu ambao wenye uwezo mdogo hawawezi japo kuna maswali mengine angeyaleta au mwalimu hajui kufundisha ndio maana sio wote walioelewa


Nb: mimi sijaongelea mitihani mungu aliyotupa mimi naongelea kutuumba sisi bila uwezo ya kufaulu mitihani yake na mbaya zaidi anajua hata kabla hataumba na bado anakuumba ili uje ukosee tu
 
Hapana wala haipo hivyo, nimesema ni uongo kwasababu hata wewe unajua hilo sio jibu sahihi.
Lakini we pia huna jibu sahihi so unaassume..Ni Kama walivyoassume mvua Ni madirisha ya mbinguni kumwaga maji kabla hawajajua mvua Ni natural process.
 
Lakini hamna kitu ambacho binadamu atafanya kinachostahili kuungua milele. Hii adhabu imewekwa na dini ili kuendesha watu. Hazikuwepo katika agano la kale. Ndo maana wanajua kwa hii adhabu wote mtakubali kuendeshwa na wanaosema dini imewafata wao
Mimi vitu vingi navyoongea hapa ni kutokana na uelewa wangu binafsi sija quote maandiko ya dini japo yamenisaidia kuwa na uelewa huu nilionao.

Kuhusu adhabu hata mimi kuna muda huwa najiuliza kwanini Mungu ahangaike kuumba kitu ambacho kina mapungufu alafu aje akiteketeze. Lakini pia pengine maandiko sio makamilifu kutokana yaliandikwa na mwanadamu.

So kuna muda naona kufuata nafsi yako kunasadia ndio maana kuna msemo unasema matendo mema ndio dini ya kweli.
 
Dini inakupa majibu. We mwafrika si alijua mbingu Ni mawinguni According to bible. Haya mzungu kaenda mwezini. That's just one example out of all, wazungu wanaweka dini pembeni kwamba kila kitu kinawezekana na majibu yanapatikana kwa utafiti sio maneno ya watu wa zamani.
 
Nchi nyingi za Ulaya na marekani Zina population kubwa ambao haiamini dini, na wanasayansi wengi hawaamini dini na ndo wameleta maendeleo. Fuatilia sawa
 
Nieleze kwa Nini uzinzi Ni kosa? Kwa akili isiyo ya dini.. niambie why.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…