Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Dogo mbona unakimbilia sokwe...hamna mtu Ashawahi kuwa sokwe...hamna mtu kasema hivyo...Ila Yale mafuvu hayafanani na sokwe au binadamu ndo inaishwa tumetoka kwenye family moja. DNA zetu zinafanana zaidi ya asilimia 50% unataka ushahidi gani mwingine. Sasa wewe niambie kwa Nini una amini majini usiamini vampires, fairies, dragons, leprechauns, ponies, vyote hivyo ..why umechagua majini tu..ni coz la kitabu chako tu...Kuna tofauti gani na kitu ambacho hakiwezi kuwa sensed na kitu ambacho hakipo..usisingizie technology sijui blackhole saa hivi tunatechnology ya kuachanisha electron..na Kuna technology ya kuona nyota zipo ma million ya ma billion ya kilometers kwa Nini jini lako tusilione, Lina ukubwa gani Lina udogo Gani lina umbali gani..na Kama ni Kama Gas, gas inauzito inajaa kwenye pipa...haya jaza majini kwenye mtungo wako afu uniletee acheni dhana za mababu kwanza.. okay kisa hujui binadamu katokea wapi au hutaki kuamini kitu ambacho Ni fact na unafundishwa Hadi mashuleni we shuleni unafundishwa majini.. unadhani hizo story hazijulikani au..lakini hawakufundishi coz Ni story za kitamaduni tu mwingine ana pepo sijui jini sijui malaika sijui bikra .lakini Sayansi haibagui haijirukiruki.. 2+2=4, hii Ni kwa mwarabu kwa mzungu kwa mwafrica ..ukipiga nyundo goti litasogea...Sayansi works religion lies na inatishia watu kuamini au mtaaungua huo moto hujauona unaishi kioga tu
Hapa umeamua kuwa mbishi tu,.... Lakini Evolution Theory ndiyo inasema kwamba "Man originated from primates"


According to the modern scientific theory of evolution, human beings are believed to have evolved from earlier primates over the course of millions of years. This process is known as human evolution, and it is driven by the principles of natural selection, genetic variation, and mutation.

The earliest known human-like species, or hominins, lived in Africa around 7 million years ago. Over time, these hominins evolved and diversified, with some lineages eventually leading to modern humans. Some notable examples of extinct hominin species include Australopithecus afarensis, Homo habilis, and Homo erectus.

The most recent common ancestor (MRCA) of humans and chimpanzees is believed to have lived between 6 and 8 million years ago. From this point onwards, the human lineage and the chimpanzee lineage diverged, with each evolving independently.

Modern humans, or Homo sapiens, are believed to have emerged in Africa around 300,000 years ago. From there, our species spread throughout the world, eventually replacing other hominin species such as Neanderthals and Denisovans.



Unaposema hamna Mtu kasema hivyo hayo ni Maneno yako lakini Evolution ndiyo ishasema hivyo... Labda useme ni uongo!


NB: Zingatia sana neno "It's believed" ambalo tayari linamaanisha hiyo theory ni Imani tu!
 
Naona watu mnanijibu na kufuta post...😂 Confidence is capital my friends
Hahhh, unajua kwanini nimefuta... Kuna madai kuhusu Qur'an uliyatoa nikataka nikujibu ila nikaona haina haja.

Kuna muda hata kukaa kimya ni jibu.

Labda tu nikuambie kwamba Qur'an ipo consistent, No versions, No contradictions, Scientific accuracy 100%,
Memorized by childrens and Elders worldwide.
 
Hapa umeamua kuwa mbishi tu,.... Lakini Evolution Theory ndiyo inasema kwamba "Man originated from primates"


According to the modern scientific theory of evolution, human beings are believed to have evolved from earlier primates over the course of millions of years. This process is known as human evolution, and it is driven by the principles of natural selection, genetic variation, and mutation.

The earliest known human-like species, or hominins, lived in Africa around 7 million years ago. Over time, these hominins evolved and diversified, with some lineages eventually leading to modern humans. Some notable examples of extinct hominin species include Australopithecus afarensis, Homo habilis, and Homo erectus.

The most recent common ancestor (MRCA) of humans and chimpanzees is believed to have lived between 6 and 8 million years ago. From this point onwards, the human lineage and the chimpanzee lineage diverged, with each evolving independently.

Modern humans, or Homo sapiens, are believed to have emerged in Africa around 300,000 years ago. From there, our species spread throughout the world, eventually replacing other hominin species such as Neanderthals and Denisovans.



Unaposema hamna Mtu kasema hivyo hayo ni Maneno yako lakini Evolution ndiyo ishasema hivyo... Labda useme ni uongo!


NB: Zingatia sana neno "It's believed" ambalo tayari linamaanisha hiyo theory ni Imani tu!
Sio sokwe...elewa sio sokwe sio chimpanzee, sio gorilla sio nyani, tumetoka from the same ancestor... ulisema tumetoka kwa nyani unakosea ndo mnaleta maswali ya mbona bado Kuna nyani na hawageuki binadamu...hicho kiumbe sijui homo habilis sijui erectus hakipo now na hakifanani na chochote duniani... unaelewa..ni wewe huyo million of years.
 
Hahhh, unajua kwanini nimefuta... Kuna madai kuhusu Qur'an uliyatoa nikataka nikujibu ila nikaona haina haja.

Kuna muda hata kukaa kimya ni jibu.

Labda tu nikuambie kwamba Qur'an ipo consistent, No versions, No contradictions, Scientific accuracy 100%,
Memorized by childrens and Elders worldwide.
Haya niambie kuhusu mwezi kuvunjwa na kurudishwa, viumbe vyote kuumbwa male n female(Kuna pathogenic species hawana jinsia), jua kuzama kwenye matope, shahawa kutokea uti wa mgongo. Mbingu Saba na dunia Saba, nyota zinasaidia kuondoa majini, niendelee au niache...haya yaukweli haya kwa akili zako timamu
 
Haya niambie kuhusu mwezi kuvunjwa na kurudishwa, viumbe vyote kuumbwa male n female(Kuna pathogenic species hawana jinsia), jua kuzama kwenye matope, shahawa kutokea uti wa mgongo. Mbingu Saba na dunia Saba, nyota zinasaidia kuondoa majini, niendelee au niache...haya yaukweli haya kwa akili zako timamu
Ndo maana nilikuambia usiongee kitu kwa ushabiki ongea facts.
 
Sio sokwe...elewa sio sokwe sio chimpanzee, sio gorilla sio nyani, tumetoka from the same ancestor... ulisema tumetoka kwa nyani unakosea ndo mnaleta maswali ya mbona bado Kuna nyani na hawageuki binadamu...hicho kiumbe sijui homo habilis sijui erectus hakipo now na hakifanani na chochote duniani... unaelewa..ni wewe huyo million of years.
Acha ubishi usio na faida Mkuu,.... Kwani hiyo theory umeipropose wewe? Mpaka utie Maneno yako?
Waliopropose wanasema hivi⤵️
human beings are believed to have evolved from earlier primates over the course of millions of years.

Unasema tumetoka from the same ancestor, huyo ancestor unamjua⁉️ au umeamini tu.

Ukiambiwa utuonyeshe uthibitisho wa huyo ancestor, utaweza?


Hata kwenye curriculum zetu tunafundishana eti Asili ya Mtu ni Sokwe. Au hujui Hilo?



NB: Ukituletea uthibitisho wa huyo ancestor wetu na sehemu alipotokea,, ambae kwa mujibu wa Sayansi ni Early primate,.... Ntakuamini leo leo.
 
Acha ubishi usio na faida Mkuu,.... Kwani hiyo theory umeipropose wewe? Mpaka utie Maneno yako?
Waliopropose wanasema hivi[emoji3593]
human beings are believed to have evolved from earlier primates over the course of millions of years.

Unasema tumetoka from the same ancestor, huyo ancestor unamjua[emoji3480] au umeamini tu.

Ukiambiwa utuonyeshe uthibitisho wa huyo ancestor, utaweza?


Hata kwenye curriculum zetu tunafundishana eti Asili ya Mtu ni Sokwe. Au hujui Hilo?



NB: Ukituletea uthibitisho wa huyo ancestor wetu na sehemu alipotokea,, ambae kwa mujibu wa Sayansi ni Early primate,.... Ntakuamini leo leo.
Sio sokwe bana. Nyie mnaopinga hii theory ndio hamuielewi hata kdg...
Hatujatokana na sokwe bali same ancestors. Kwa wananyama walio hai mpaka leo, Binadamu wa sasa tunashare DNA kwa ukaribu zaid na chimpanzee. Sio kwamba binadamu tuliwahi kua chimpanzee... hapana.

Evidence ziko huko museums, oldivai gorge anyone? [emoji2377]

Halafu kama hujui na binadamu nae ni primate.
 
Haya niambie kuhusu mwezi kuvunjwa na kurudishwa, viumbe vyote kuumbwa male n female(Kuna pathogenic species hawana jinsia), jua kuzama kwenye matope, shahawa kutokea uti wa mgongo. Mbingu Saba na dunia Saba, nyota zinasaidia kuondoa majini, niendelee au niache...haya yaukweli haya kwa akili zako timamu
Hayo madai yako yote yanatokana na uchache wako wa elimu kuhusu Qur'an na nje ya Qur'an.

1. Kuhusu mwezi.... Hata Wanasayansi wameelezea hyo scenario, find your time read.

2. Kuhusu jinsia Qur'an inasema viumbe wengi wameumbwa in pairs male& female,...haijasema viumbe wote.....Qur'an inasema hivi⤵️
Surah Ya-Sin (36:36), it says: "Glory to Allah, who created in pairs all things that the earth produces, as well as their own (human) kind and (other) things of which they have no knowledge."

Zingatia hapo na other things of Which they have no knowledge.....

3. Qur'an haisemi jua linazama kwenye matope..... Jielimishe kuhusu hilo au endelea kuamini uongo.
Bali Qur'an inasema hivi kuhusu Jua ⤵️
"And it is He who created the night and the day and the sun and the moon; all [heavenly bodies] in an orbit are swimming." [Qur'an 21:33]

4. Kuhusu Sperms kutokea kwenye ribs& backbone ni kweli kama Qur'an inavyosema Production ya Sperms haianzii kwenye Testicles, Mkuu,... Maana ipo hivi kwa mujibu wa Sayansi Sperms production haianzii sehemu moja ya mwili wa binadamu, bali utofauti wa Sayansi na Qur'an ni kwamba Qur'an imetaja ribs& backbone ila Sayansi yenyewe haijataja, sasa hapo hujaelewa kitu gani....
Kwa mujibu wa Sayansi,Shahawa hazizalishwi wala kuwa stored kwenye sehemu moja sasa unashangaa Nini Qur'an kutaja ribs&backbone? ....soma chini hapo Sayansi inavyosema ⤵️
The semen is not produced or stored in a single location. Semen is actually composed of sperm and various fluids produced by the seminal vesicles, prostate gland, and bulbourethral glands. During ejaculation, the semen is expelled from the body through the penis.

5. Kuhusu Mbingu Saba yes(Lakini Dunia Saba No Qur'an haina kitu kama hicho❌), au unataka kubisha kuhusu Mbingu Saba? Wakati hata elimu kuhusu hizo mbingu zilivyo huna,

6. Nyota zinasaidia kuondoa majini No❌ hakuna hicho kitu kwenye Qur'an....... Labda uweke hoja yako vizuri.


Kimsingi ni kwamba Ili ujifunze vitu zaidi kuwa positive na humble kwamba kitu fulani sina elimu nacho.... Hivi unafahamu kwamba mpaka karne hii ya 21, Elimu yetu binadamu kuhusu bahari ni chini ya 5% ?

Sasa kama bahari tu ujuzi wetu upo hivyo, how about Mbingu?


Be humble jifunze zaidi, watu wanasema elimu ni bahari lakini Mimi naona ni zaidi ya bahari 🔥☠️🎭😅.......... Ukitaka ujue elimu ni bahari kuna msemo unasema "Hakuna ajuaye kesho" lakini kwenye uchumi hiyo kauli inatakiwa tuweke "Under Ceteris paribus" Maana duniani kuna watu wanaweza mpaka kuchungulia kesho ila kwasababu unaleta ujuaji utabisha🙌🏼
 
Sio sokwe bana. Nyie mnaopinga hii theory ndio hamuielewi hata kdg...
Hatujatokana na sokwe bali same ancestors. Kwa wananyama walio hai mpaka leo, Binadamu wa sasa tunashare DNA kwa ukaribu zaid na chimpanzee. Sio kwamba binadamu tuliwahi kua chimpanzee... hapana.

Evidence ziko huko museums, oldivai gorge anyone? [emoji2377]

Halafu kama hujui na binadamu nae ni primate.
Nishawahi kukuomba uthibitisho wa huyo ancestor,.... Unakumbuka?


Ulifanya hivyo?, au uliingia mitini
 
Acha ubishi usio na faida Mkuu,.... Kwani hiyo theory umeipropose wewe? Mpaka utie Maneno yako?
Waliopropose wanasema hivi⤵️
human beings are believed to have evolved from earlier primates over the course of millions of years.

Unasema tumetoka from the same ancestor, huyo ancestor unamjua⁉️ au umeamini tu.

Ukiambiwa utuonyeshe uthibitisho wa huyo ancestor, utaweza?


Hata kwenye curriculum zetu tunafundishana eti Asili ya Mtu ni Sokwe. Au hujui Hilo?



NB: Ukituletea uthibitisho wa huyo ancestor wetu na sehemu alipotokea,, ambae kwa mujibu wa Sayansi ni Early primate,.... Ntakuamini leo leo.
Jamani eee earlier primates na sokwe ni vitu ishirini tofauti, acha ubishi usio na tija...sio sokwe..ni earlier primates, ape ancestors..sio sokwe sio chimpanzee jamani. Ushahidi ni mafuvu zaidi ya maelfu yaliyofukuliwa. Sasa na wewe nikuulize ushahidi wa sijui majini sijui maiblis sijui mti wa mema na mabaya utasema hoo kitabu changu sijui mtume huo sio ushahidi hizi Ni story. We ukitaka nenda kasomee archaeology nenda kachimbe mafuvu usomee carbon dating uone jinsi wenzake wanavyojua history sio unabisha Hamna evidence wakati hujaenda kuangalia museum ya hata pale Olduvai...sawa kaka plus evolution or Creation zote hatujui na kutokujua haimaanishi tuamini story za waarabu tuwaache wahindi. Tuache za kwetu, tuache za vikings.
 
Sio sokwe bana. Nyie mnaopinga hii theory ndio hamuielewi hata kdg...
Hatujatokana na sokwe bali same ancestors. Kwa wananyama walio hai mpaka leo, Binadamu wa sasa tunashare DNA kwa ukaribu zaid na chimpanzee. Sio kwamba binadamu tuliwahi kua chimpanzee... hapana.

Evidence ziko huko museums, oldivai gorge anyone? [emoji2377]

Halafu kama hujui na binadamu nae ni primate.
Ni Sokwe,

Labda useme according to you & not evolution theory.... Kwani Primates,Ape ni Nini?



Jana nilikuambia ulete uthibitisho wa Mtu zamani alikua na mkia.... Ukaingia mitini
 
sio sokwe..ni earlier primates, ape ancestors..sio sokwe sio chimpanzee jamani.
Yap hapo umefika pazuri sasa......

Naomba uthibitisho wa picha ya hao primates, ape ancestors Ili tuone walivyo phenotype Yao inaendana na Mtu?
 
Hayo madai yako yote yanatokana na uchache wako wa elimu kuhusu Qur'an na nje ya Qur'an.

1. Kuhusu mwezi.... Hata Wanasayansi wameelezea hyo scenario, find your time read.

2. Kuhusu jinsia Qur'an inasema viumbe wengi wameumbwa in pairs male& female,...haijasema viumbe wote.....Qur'an inasema hivi⤵️
Surah Ya-Sin (36:36), it says: "Glory to Allah, who created in pairs all things that the earth produces, as well as their own (human) kind and (other) things of which they have no knowledge."

Zingatia hapo na other things of Which they have no knowledge.....

3. Qur'an haisemi jua linazama kwenye matope..... Jielimishe kuhusu hilo au endelea kuamini uongo.
Bali Qur'an inasema hivi kuhusu Jua ⤵️
"And it is He who created the night and the day and the sun and the moon; all [heavenly bodies] in an orbit are swimming." [Qur'an 21:33]

4. Kuhusu Sperms kutokea kwenye ribs& backbone ni kweli kama Qur'an inavyosema Production ya Sperms haianzii kwenye Testicles, Mkuu,... Maana ipo hivi kwa mujibu wa Sayansi Sperms production haianzii sehemu moja ya mwili wa binadamu, bali utofauti wa Sayansi na Qur'an ni kwamba Qur'an imetaja ribs& backbone ila Sayansi yenyewe haijataja, sasa hapo hujaelewa kitu gani....
Kwa mujibu wa Sayansi,Shahawa hazizalishwi wala kuwa stored kwenye sehemu moja sasa unashangaa Nini Qur'an kutaja ribs&backbone? ....soma chini hapo Sayansi inavyosema ⤵️
The semen is not produced or stored in a single location. Semen is actually composed of sperm and various fluids produced by the seminal vesicles, prostate gland, and bulbourethral glands. During ejaculation, the semen is expelled from the body through the penis.

5. Kuhusu Mbingu Saba yes(Lakini Dunia Saba No Qur'an haina kitu kama hicho❌), au unataka kubisha kuhusu Mbingu Saba? Wakati hata elimu kuhusu hizo mbingu zilivyo huna,

6. Nyota zinasaidia kuondoa majini No❌ hakuna hicho kitu kwenye Qur'an....... Labda uweke hoja yako vizuri.


Kimsingi ni kwamba Ili ujifunze vitu zaidi kuwa positive na humble kwamba kitu fulani sina elimu nacho.... Hivi unafahamu kwamba mpaka karne hii ya 21, Elimu yetu binadamu kuhusu bahari ni chini ya 5% ?

Sasa kama bahari tu ujuzi wetu upo hivyo, how about Mbingu?


Be humble jifunze zaidi, watu wanasema elimu ni bahari lakini Mimi naona ni zaidi ya bahari 🔥☠️🎭😅.......... Ukitaka ujue elimu ni bahari kuna msemo unasema "Hakuna ajuaye kesho" lakini kwenye uchumi hiyo kauli inatakiwa tuweke "Under Ceteris paribus" Maana duniani kuna watu wanaweza mpaka kuchungulia kesho ila kwasababu unaleta ujuaji utabisha🙌🏼
1. Nionyeshe Sayansi iliyokubali kwamba moon ilisplit by Muhammad na kurudi (tuma article ya Wikipedia na not any other sources)
2. Hapo umesema all things that the earth produce baadae unasema sio kila kitu..
The rest ni kujitetea tu ..listen sawa hatuna elimu ya kila kitu Ila tuna elimu ya vitu vingi kuliko hao walioandika hizo hekaya.. Sasa umesema kuhusu semen Mara pancreas all this are excuses skia ata ancient Greeks walijua semen is from backbone ndo Sayansi ya kipindi kile so usitetee plz.
Kuhusu hizo brackets ni maneno yaliyoongezwa na sio original Quran hata Biblia Kuna verses Zina brackets.
All in all hujanijibu why tufate sheria za waarabu, why wamuite Mungu wao ndo mwenyewe afu wengine wa uwongo .. na story za majini jini inaonyesha kabisa ndo tamaduni zao kipindi kile lakini saa hivi 21st century huwezi ona watu wako busy wanajadili majinijini coz hamna ukweli hapo ndo maana nasema ni hekaya
 
Yap hapo umefika pazuri sasa......

Naomba uthibitisho wa picha ya hao primates, ape ancestors Ili tuone walivyo phenotype Yao inaendana na Mtu?
Wewe nenda Olduvai nikikuambia picha ya mtume unipe utanipa we vipi, Ila si tunajua alikuwepo ama ..mbona unabishana Kama primary student eti picha...una picha ya dinosaur wewe original huna, kwa hiyo mifupa Ile ni feki au...unasema kuona ni kuamini lakini 190% ya vitu kwenye Quran yako ni unscientific na unistorical lakini unaamini na hujaona, naomba video ya mwezi kugawanyishwa bac nikuamini.
 
Nafikiri swali lako linaweza kuwa ni rahisi sana ukiacha kuwaza nje ya kile unachokiamini kwa mfano, unaonaje kama sisi Leo tungekuwa tunaishi bila kufanya kazi yaani tuamke asubuhi, tuchume sijui embe then unakula unalala maisha yangekuwa hayana ladha bila shaka. Alafu kwann haujawahi kujiuliza kuna ndio na sio kuna juu na chini, kuna bahar na nchi kavu Luna milima na tambarare, kuna zuri na baya, nk... Kwa mfumo huu naona kabisa Mungu aliruhusu hayo yote yatokee ili tuweze kutofautisha vitu,

Mimi naweza kusema wewe ndiye umeshindwa kuwaza nje ya kile unachokiamini.

Kwa sababu umeshindwa kuwaza Mungu ambaye ameumba ulimwengu ambao una zuri tu, hauna baya, na bado tunatofautisha vitu.

Yani unasema Mungu ana uwezo wote, halafu bado unamuwekea mipaka kwamba ni lazima aumbe baya ili watu wajue zuri. Kwani Mungu anayeweza yote anashindwa kuumba ulimwengu ambao una mazuri tu, na watu bado wanayajua mazuri?
 
Nishawahi kukuomba uthibitisho wa huyo ancestor,.... Unakumbuka?


Ulifanya hivyo?, au uliingia mitini
Mm hapa kukimbia mitini? Labda sikuona hili swali...

Fossils zilizoko ni uthibitisho tosha... au sio?

Screenshot_20230504-141639_Google.jpg


Kama huo sio uthibitisho basi tuambie kwann miaka hio iliopita binadamu hawakuepo na kwann hao, binadamu-like primates walitoweka... na hii sio kwa binadamu pekee bali kila mnyama alie hai sasaiv
Kwa hio picha hapo utaona kua binadamu hajatokana na chimpanzee btw, kama ulivodai hapo awali
 
Ni Sokwe,

Labda useme according to you & not evolution theory.... Kwani Primates,Ape ni Nini?



Jana nilikuambia ulete uthibitisho wa Mtu zamani alikua na mkia.... Ukaingia mitini
Hata binadamu nae ni sokwe au ape kwa kiingereza.

Screenshot_20230504-142230_Google.jpg


Hapo 6mya tulikua na ancestor mmoja pamoja na chimpanzee. Hii inamaanisha kwamba kwenye fossil records hakuna ushahidi wa uwepo wa chimps wala binadamu ila huyo kiumbe alikua anamfanano na binadamu pamoja na chimps. Na alipobadili mazingira ndio tunaona baadae aina nyingine ya sokwe inatokea... so hao sokwe wengine walitokea wapi? Ihali hawakuepo mwanzoni? Binadamu hajatokana na apes bali binadamu ni apes, sub class ya "great apes"

Swala la mkia nilitoa ufafanuzi ukaanza kubishia the obvious.
 
Hapo naona unamfikiria Mungu kama binadamu.

Ila kwa Mungu dunia iko sawa kabisa na anavyotaka yeye, ila wewe ndo unafikiri hayo yote yaliyo tokea yako nje ya uwezo wake.

Ngoja nikuulize

1.Kwa nini tunaweka watu 22 uwanjani washindane kuingiza mpira golini kwa kutumia miguu.

Mbona asiingia tu mtu mmoja akabeba mpira na mkono akaugiza golini?


2.Umewahi kucheza gemu rahisi? Lilikua linaboa eeeh?



Mpaka happy Kuna kitu umegundua au bado.
umenifikirisha mkuu!
 
Back
Top Bottom