Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Anhaa sawa, umefanya vizuri kuwa mkweli kwamba hujui huyo ancestor katokea wapi.

Kitu Kingine ni kwamba, kutaka kumjua huyo Ancestor.... Haimaanishi kwamba tunataka kujua Origin of the Universe(Bing bang theory) bali bado tupo kwenye field ya Origin of living things ambayo inaelezewa na Evolution Theory.


Ngoja nijibu swali lako sasa:-
Kwangu Mimi kati ya Creation theory & Evolution Theory.

Naamua kuchagua Creation theory badala ya Evolution Theory,.. Kwanini?......... Kwasababu {It's more likely that This Universe all it's systems &laws that Supports our life to be Created rather than existing accidentally or by chance as The Evolution Theory says.., without The Highest Intelligent being whom we Call CREATOR.}


Ahsante.
Nimekuuliza kuhusu story ya Adam na Eve vs evolution. Me naweza amini the universe was created by a creator na bado nikaamini kwenye evolution na nisijicontradict. Wewe unaamini story ya Adam and eve 6000 years ago in a garden with a talking snake au huamini.
 
Anhaa sawa, umefanya vizuri kuwa mkweli kwamba hujui huyo ancestor katokea wapi.

Kitu Kingine ni kwamba, kutaka kumjua huyo Ancestor.... Haimaanishi kwamba tunataka kujua Origin of the Universe(Bing bang theory) bali bado tupo kwenye field ya Origin of living things ambayo inaelezewa na Evolution Theory.


Ngoja nijibu swali lako sasa:-
Kwangu Mimi kati ya Creation theory & Evolution Theory.

Naamua kuchagua Creation theory badala ya Evolution Theory,.. Kwanini?......... Kwasababu {It's more likely that This Universe all it's systems &laws that Supports our life to be Created rather than existing accidentally or by chance as The Evolution Theory says.., without The Highest Intelligent being whom we Call CREATOR.}


Ahsante.
Na huyo highest creator katengenezwa na nani
 
Mimi naweza kusema wewe ndiye umeshindwa kuwaza nje ya kile unachokiamini.

Kwa sababu umeshindwa kuwaza Mungu ambaye ameumba ulimwengu ambao una zuri tu, hauna baya, na bado tunatofautisha vitu.

Yani unasema Mungu ana uwezo wote, halafu bado unamuwekea mipaka kwamba ni lazima aumbe baya ili watu wajue zuri. Kwani Mungu anayeweza yote anashindwa kuumba ulimwengu ambao una mazuri tu, na watu bado wanayajua mazuri?
Unachotaka wewe nikwamba Mungu afanye kile wewe unaona nisahihi, suala la Mungu kufanya hichi ili iwe hivi ni juu yake kwasababu yeye ndo muamuzi wa kila jambo, yani hapa Mimi nawewe tunajadili ndiyo isiyo na mwanzo na mwisho isiyo na mwisho, kwamfano Leo tungejadili kuhusu uwepo wa Mungu ...tungejadili mwanzo usiokuwa na mwisho mana tunge ulizana Mungu katokana na nini, na kilichomfanya Mungu kuepo kimesababishwa na nini? Kwa maana hii tungerudi mwisho usiokuwa na mwanzo, itoshe kusema kuwa kazi ya Mungu haina makosa, ameamua ndio iwe ndio na sio iwe sio, upingamizi wetu haubatilishi uwezo wake kamwe.
 
Unachotaka were nikwamba Mungu afanye kile wewe unaona nisahihi, suala la Mungu kufanya hichi ili iwe hivi ni juu yake kwasababu yeye ndo muamuzi was kila jambo, yani hapa Mimi nawewe tunajadili ndiyo isiyo na na mwanzo na mwisho isiyo mwisho, kwamfano Leo tungejadili kuhusu uwepo wa Mungu ...tungejadili mwanzo usiokuwa na mwisho mana tunge ulizana Mungu katokana na mini, na kilichomfanya Mungu kuepo kimesababishwa na nini? Kwa maana hii tungerudi mwisho usiokuwa na mwanzo, itoshe kusema kuwa kazi ya Mungu haina makosa, ameamua ndio iwe ndio na sio iwe sio, upingamizi wetu haubatilishi uwezo wake kamwe.
Hakuna lolote ninalotaka mimi zaidi ya kuhoji na kuthibitisha tu, kuangalia logical consistency katika dhana ya kuwepo Mungu.Inaonekana dhana ina contradictions ambazo hazijatatuliwa.

Ninaelezea "logical consistency" tu. Kwa mujibu wa maelezo ya dhana ya kuwepo Mungu, haya si maneno yangu, si ninachotaka mimi, ni wanaosema Mungu yupo wanavyosema.

Haya si mambo ninayotaka mimi, ni maelezo kuhusu uwepo wa Mungu yanavyosema.

Tunaambiwa:-

1. Mungu ni muweza yote.
2.Mungu ni mjuzi wa yote
3. Mungu ni mwenye upendo wote.

Mpaka hapo hakuna ninachotaka mimi, hizo ni sifa za Mungu kwa mujibu wa wanaoamini Mungu yupo.

Halafu, tunaona kwamba kuna ulimwengu ambao una mabaya, unaruhusu mabaya kutokea.

Hili si jambo ninalotaka mimi, ndivyo ulimwengu ulivyo.

Mpaka hapo hakuna ninachotaka mimi, nimeeleza sifa za Mungu kwa mujibu wa waamini, na ulimwengu ulivyo kama tunavyouona.

Sasa nauliza swali tu, hapa sisemi kwamba nataka ulimwengu uwe hivi au vile, nauliza swali kutafuta logical consistency, kuhakiki na kuelewa tu.

Kama Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, imekuwaje kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili, unaniambia nisimpangie Mungu kuumba ulimwengu ninavyotaka mimi, sijampangia, nauliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, na hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

epicurean_paradox.jpg
 
Hakuna lolote ninalotaka mimi zaidi ya kuhoji na kuthibitisha tu, kuangalia logical consistency katika dhana ya kuwepo Mungu.Inaonekana dhana ina contradictions ambazo hazijatatuliwa.

Ninaelezea "logical consistency" tu. Kwa mujibu wa maelezo ya dhana ya kuwepo Mungu, haya si maneno yangu, si ninachotaka mimi, ni wanaosema Mungu yupo wanavyosema.

Haya si mambo ninayotaka mimi, ni maelezo kuhusu uwepo wa Mungu yanavyosema.

Tunaambiwa:-

1. Mungu ni muweza yote.
2.Mungu ni mjuzi wa yote
3. Mungu ni mwenye upendo wote.

Mpaka hapo hakuna ninachotaka mimi, hizo ni sifa za Mungu kwa mujibu wa wanaoamini Mungu yupo.

Halafu, tunaona kwamba kuna ulimwengu ambao una mabaya, unaruhusu mabaya kutokea.

Hili si jambo ninalotaka mimi, ndivyo ulimwengu ulivyo.

Mpaka hapo hakuna ninachotaka mimi, nimeeleza sifa za Mungu kwa mujibu wa waamini, na ulimwengu ulivyo kama tunavyouona.

Sasa nauliza swali tu, hapa sisemi kwamba nataka ulimwengu uwe hivi au vile, nauliza swali kutafuta logical consistency, kuhakiki na kuelewa tu.

Kama Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, imekuwaje kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili, unaniambia nisimpangie Mungu kuumba ulimwengu ninavyotaka mimi, sijampangia, nauliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, na hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

View attachment 2610255
Hapana mkuu bado unang'ang'ania kwamba Mungu angeumba ulimwengu ambao mabaya yasingewezekana, na wakati yeye ameumba ulimwengu ambao mabaya na mazuri ni chaguo la waishio ndani ya ulimwengu, mbona wewe unatakq angeumba ,unavyotaka wewe ili kukuridhisha wewe? ,,,,,,na imagine hapa kama Mungu angekupa choices kwamb nikuumbe vipi Kiranga bila shaka ungechangua kuwa more than God, kwasababu wewe unaonekana ni mbishi na hautaki kabisa kuelewa kabisa kuhusu Mungu,na hii inasababishwa na sababu zako binafsi ambazo hata haziwez kuathiri au kugairisha kaz zake
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
Mimi binafsi naamini Mungu katika kristo, kna mambo ya ki-Mungu ambayo nimekosa majibu yake hadi Leo ila bado naendelea kumwamini hivyo hvyo ,Moja ya mambo hayo ni kama vile
1.Nimefundisha kuwa Mungu anajua mambo yote yajayo, hvyo naamini kuwa wakati anawaumba malaika alipaswa kutambua kuwa kna malaika angekuja kumsaliti ili azuie hilo lakini hakuzuia, alipaswa kutambua kuwa akimuumba Eva atakuja kuharibu ili azuie ila hakuzuia.
2.Mungu anajua hatima ya Kila mmoja wetu, Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa kna mmoja atamsaliti na petro aliambiwa atamkaja Yesu na kweli ikatokea,means isingetokea Yesu angeonekana Muongo na reputation yake ingepotea, kwaiyo Kuna vitu tushapangiwa kuvifanya hata tukwepe vipi Sasa kosa letu liko wapi jaman,nishapangiwa kuwa ntakuja kuwa mzinzi ,kosa langu liko wapi kuwa natenda dhambi wakati ndo nishapangiwa hvyo?
 
Mkuu kuna vitu vinne muhimu nime-notice kwako ambavyo ni :

1. Akili/utashi (ufahamu wa kutambua zuri na baya)

2. Uhuru wa kufata unachotaka (yaani umepewa demokrasia).

3. Madaraka(Mungu ana mamlaka ya kuamua mwenyewe awafanye nini watu wake hata kama vitawaumiza watu hao).

4. Mungu anajua mwenyewe kwanini aliamua/ameamua iwe hivyo ilivyokuwa/kutendeka, kwa hiyo kuhoji kupata sababu ni sawa na kupoteza muda maana huwezi kupata majibu ya kuridhisha.

Lakini kati ya hayo mambo manne niliyo-notice kwako, jambo la kwanza na la pili (utashi na uhuru wa kufata ninachotaka) siyo mara ya kwanza kuyaskia.

Ila 3 na 4 (madaraka na siri za Mungu mwenyewe) ndiyo ni mara ya kwanza nayaskia kwako, na nakushukuru sana kwa kunipa knowledge mpya.

Lakini mkuu bado maswali yangu hayawezi kuisha hata kama Mungu ametupa UTASHI na DEMOKRASIA ya kuchagua ninachotaka.

Kwenye maandiko ya Biblia, kuna mstari unasema kuwa "Binadamu ni wa thamani sana mbele za Mungu".

That means,pamoja na kwamba sisi ni mojawapo ya asset tu za Mungu, lakini inaonekana Mungu hatuchukulii kama hatuna thamani maana ameshasema kuwa binadamu ni wa thamani mbele zake.

Sasa kama ni wa thamani kwanini aruhusu wengi kupotea kuliko wale wanaofata sheria zake ?

Kwanini amlete kiumbe duniani(shetani) mwenye nguvu kuliko sisi ambaye anajua kabisa lazima atafanikiwa kutupotisha wengi ? Kama kweli Mungu anatupenda na hataki tupotee kwanini amshushe shetani kwetu wakati anajua kabisa yule alikuwa ni malaika lazima ana nguvu kutuzidi ? Upendo wa Mungu uko wapi hapa ? Je, kutuletea shetani ndiyo upendo ? Kwanini asingemtupa kwenye sayari nyingine baada ya kuasi na badala yake kamtupa duniani ? Unawezaje kusema unatupenda wakati umetutupia adui anetuongoza kwenda motoni ?

Na Je, kama kweli Mungu hapendi na kuchukia MAOVU/DHAMBI, kwanini sasa aruhusu yatokee ?

Hivi wewe kitu usichokipenda utaruhusu kitokee ?
[emoji1][emoji1]
 
Nimekuuliza kuhusu story ya Adam na Eve vs evolution. Me naweza amini the universe was created by a creator na bado nikaamini kwenye evolution na nisijicontradict. Wewe unaamini story ya Adam and eve 6000 years ago in a garden with a talking snake au huamini.
Story ya Adam na Eve ndiyo Creation theory,.. ambayo Mimi nimesema naamini hiyo story kuliko Evolution Theory.
 
Na huyo highest creator katengenezwa na nani
Ukisoma Sifa za Highest Creator Utagundua kwamba Swali lako Linakufa automatically kabisa, KWASABABU YEYE NDIYO CREATOR/DESIGNER WHO BROUGHT ALL THINGS INTO EXISTENCE,.. HE IS THE CREATOR OF ALL ENGINEERS.

Hivyo basi, Creator of Everything.... Ili awe Creator of Everything hawezi kutengenezwa na kitu Kingine.
 
Na kweli huwa nikianzaga kuwaza/kujiuliza haya maswali huwa naanzaga kuhisi kama Mind yangu ina Collapse/lose cotrol/stability.

Naanzaga kuona hakuna ninachojua chochote kuhusu huu ulimwengu, kila kitu ulimwenguni naanzaga kuona ni ubatili mtupu.

Naanzaga kuona kana kwamba ulimwengu ni fake, kila kitu fake, ni kama wahuni tu wachache wamekaa wakaamua kutuletea sheria za kutuongozea ulimwengu kwa ajili ya maslahi yao wanayoyajua wenyewe.

It's like every thing in this world is an illusion
True Kila nikiimagine hayo maswali napoteza focus kabisa na nakuwa kama sioni maana yoyote ya kuishi
 
Hapana mkuu bado unang'ang'ania kwamba Mungu angeumba ulimwengu ambao mabaya yasingewezekana, na wakati yeye ameumba ulimwengu ambao mabaya na mazuri ni chaguo la waishio ndani ya ulimwengu, mbona wewe unatakq angeumba ,unavyotaka wewe ili kukuridhisha wewe? ,,,,,,na imagine hapa kama Mungu angekupa choices kwamb nikuumbe vipi Kiranga bila shaka ungechangua kuwa more than God, kwasababu wewe unaonekana ni mbishi na hautaki kabisa kuelewa kabisa kuhusu Mungu,na hii inasababishwa na sababu zako binafsi ambazo hata haziwez kuathiri au kugairisha kaz zake
Mkuu,

Ngoja nikupe mfano rahisi sana labda utanielewa vizuri.

Wewe, kwa hiyari yako mwenyewe, ukisema huwezi kukosa penati kwenye mpira, halafu tukaona unacheza mpira ukakosa penati, tukikuuliza kwa nini umekosa penati wakati wewe mwenyewe umesema hukosi kufunga penati, tutakuwa tunang'ang'ania kuwa ungefunga penati kwa matakwa yetu au tunakuhoji kwa nini umekosa penati wakati wewe mwenyewe ulisema hukosi penati?

Nikikuhoji kwa nini hujafunga goli la penati, wakati ulisema huwezi kukosa kufunga goli la penati, hapo utasema mimi nalazimisha ninavyotaka mimi ufunge penati, wakati wewe mwenyewe ndiye uliyeanza kusema kwamba huwezi kukosa kufunga penati?

Mtu anayehoji kwa kutafuta logical consistency utasemaje analazimisha anavyotaka yeye?
 
Unachotaka wewe nikwamba Mungu afanye kile wewe unaona nisahihi, suala la Mungu kufanya hichi ili iwe hivi ni juu yake kwasababu yeye ndo muamuzi wa kila jambo, yani hapa Mimi nawewe tunajadili ndiyo isiyo na mwanzo na mwisho isiyo na mwisho, kwamfano Leo tungejadili kuhusu uwepo wa Mungu ...tungejadili mwanzo usiokuwa na mwisho mana tunge ulizana Mungu katokana na nini, na kilichomfanya Mungu kuepo kimesababishwa na nini? Kwa maana hii tungerudi mwisho usiokuwa na mwanzo, itoshe kusema kuwa kazi ya Mungu haina makosa, ameamua ndio iwe ndio na sio iwe sio, upingamizi wetu haubatilishi uwezo wake kamwe.
Ila we huoni ukisema hivi ni kisingizio Cha kila kitu. Niambie tofauti ya dunia yenye Mungu na isiyo na Mungu. Kama vitu vizuri vipo na vitu vibaya vipo.
 
Mkuu,

Ngoja nikupe mfano rahisi sana labda utanielewa vizuri.

Wewe, kwa hiyari yako mwenyewe, ukisema huwezi kukosa penati kwenye mpira, halafu tukaona unacheza mpira ukakosa penati, tukikuuliza kwa nini umekosa penati wakati wewe mwenyewe umesema hukosi kufunga penati, tutakuwa tunang'ang'ania kuwa ungefunga penati kwa matakwa yetu au tunakuhoji kwa nini umekosa penati wakati wewe mwenyewe ulisema hukosi penati?

Nikikuhoji kwa nini hujafunga goli la penati, wakati ulisema huwezi kukosa kufunga goli la penati, hapo utasema mimi nalazimisha ninavyotaka mimi ufunge penati, wakati wewe mwenyewe ndiye uliyeanza kusema kwamba huwezi kukosa kufunga penati?

Mtu anayehoji kwa kutafuta logical consistency utasemaje analazimisha anavyotaka yeye?
Asante.
 
True Kila nikiimagine hayo maswali napoteza focus kabisa na nakuwa kama sioni maana yoyote ya kuishi
Jamani kwani maana ya kuishi ni kwenda mbinguni mbona dini Zina waharibu hivyo. Life is short n finite ishini maisha yenu vizuri, hii ndo maana ya kuishi.
 
Ukisoma Sifa za Highest Creator Utagundua kwamba Swali lako Linakufa automatically kabisa, KWASABABU YEYE NDIYO CREATOR/DESIGNER WHO BROUGHT ALL THINGS INTO EXISTENCE,.. HE IS THE CREATOR OF ALL ENGINEERS.

Hivyo basi, Creator of Everything.... Ili awe Creator of Everything hawezi kutengenezwa na kitu Kingine.
Kwa Nini asitengenezwe katokea wapi? Hii Ni imagination tu kwa sababu tumeshindwa kufikiria so tunapambikiza creator. Huyo creator alikuwa wapi wakati anatengeneza, why lazma awe being. Most importantly why lazma aabudiwe na awe na heaven na hell kutishia watu. Na Kama yupo ulimwenguni yupo wapi na Kama yupo nje ya ulimwenguni bac hayupo
 
Story ya Adam na Eve ndiyo Creation theory,.. ambayo Mimi nimesema naamini hiyo story kuliko Evolution Theory.
Creation myths zipo nyingi duniani za tamaduni mbalimbali wagreek wanayo ya Pandora, kina Vikings wanazo, kina mesapotemia wanayo ya epic of Gilgamesh ambao wayahudi wameedit kuwa Adam n Eve. Sasa why unaamini creation myth moja Kati ya zote duniani, una hakika gani ilikuwa Adam na Eve kwa udongo na mbavu na ibilisi ndani ya bustani yenye miti ya maajabu, una ushahidi gani juu ya hii story kuizidi zingine nyingi za uumbaji. Sababu yako ni moja tu dini yako bac, lakini ukimfuata muhindu atakupa story nyingine ya uumbaji, kwa Nini usiamini hiyo. Uzuri Sayansi haijipingi, haichagui sehemu Wala tamaduni, ndo maana nasema Bora nikubali kitu chenye evidence na worldwide acceptance kuliko kitu chenye myths.
 
Safi sana ndg! Kwa namna ambavyo umeleta hoja za kumfanya mtu kufikiri na kutaka kujua zaidi kuhusu nguvu ya asili hisiyo ya kawaida yaani (Mungu) na kwa nn kumekuwepo na mapungufu pia katika Malaika na Ubinadamu kulingana na Biblia. Mimi nafikir Wahubiri wengi wangekuwa wanajiuliza vzr kuhusu haya maswali yako na kuyaleta vzr mbele za watu ingekuwa rahisi sana watu kumuamini Mungu kwa uhakika na wala wasingewadanganya watu na kuchukua pesa zao wakilinganisha pesa bila kutenganisha Uungu au maisha ya mbinguni. Sasa basi ukitaka kujua kuwa Mungu ni mkamilifu na hana mapungufu ya kufikirika inafaa kwanza tumuamini kuwa yupo Imani ni hisi ya sita katika zile tano ambazo tumekuwa tukizitumia katika maisha haya ya kawaida hapa dunia na hii inamuhusu Mungu pekee.
Kiimani - 1. Mungu alikuwa na sifa za zote kabisa ikiwepo kuwa Mungu Mkuu mwenye mamlaka, Mkombozi, mponyani, mwenyehaki, Mwenye Upendo Mwenye Amani na vitu vingine vikamilifu vyote tunavyovijua. Sasa basi hisingewezekana kuvidhihirisha vitu vyote hvyo wakati kila kitu nikikamilifu Mbinguni na duniani yaani Malaika wote wawe wakamilifu wenye nguvu kamilifu bila mapungufu na tujue Malaika ni viumbe katika kiwango flan kisicho cha kibinadamu hivyo ili Mungu aweze kuonyesasha sifa yake ya Ukuu na Nguvu ilibidi uhasi uwepo ili yeye awe upande wa ukombozi na Nguvu namna ile ile alivyotenganisha Maji ya Bahari na nchi kavu.
2. Mwanamke(Hawa) kuwa mdhahifu ni ili tu kuruhusu kosi lifanyike ili jamii ya mwanadamu kuingia dhambini alafu yeye Mungu mkamilifu mwenye sifa ya ukombozi kudhihirisha sifa yake iyo. Alafu kitu ambacho sayansi si muda mrefu imedhibitisha ni iki hapa.. Walikuwa wanasema kiumbe chenye ukaribu sana na mwanadamu ni Sokwe mtu lakini hakuna uwezekano wa Sokwe kumuongezea damu mwanadamu kuonyesha kwamba hakuna ukaribu wa hvyo. Lakin inaonekana kuna gape katiya Sokwe na Mwanadamu kwamba hapa katika kuna kiumbe kingine ndio biblia inatupa jibu kuwa kabla ya Mungu kumlaani nyoka alikuwa na ukaribu sana na mwanadamu na ndie aliyeweza kumdanganya Hawa na kuweza kuchanganya damu na kupata uzao.. Baada ya Hawa kukutana na Nyoka na baadae Adamu kulitokea uzao watoto wawili walizaliwa Kaini na Abil ikiwa Kuwa Abili alikuwa mtoto wa Adamu na Kaini mtoto wa Nyoka hii inadhibitika zaidi katika maisha yao. Kumbe kunawezekano wa mama kubeba mimba ya wababa wawili tofauti kwa wakati mmoja na watoto wakazaliwa kila mmoja na baba yake imetokea Uganda na sehemu zingine.. Hvyo kwa maelezo hayo tunaweza kuona Mungu ni mkalimifu mwenye sifa zote zikiwepo hizo zinazoonekana ni udhahifu ili baada ya maisha haya aturudishe kwenye maisha yasikuwa na mapungufu..Asante
 
Hakuna lolote ninalotaka mimi zaidi ya kuhoji na kuthibitisha tu, kuangalia logical consistency katika dhana ya kuwepo Mungu.Inaonekana dhana ina contradictions ambazo hazijatatuliwa.

Ninaelezea "logical consistency" tu. Kwa mujibu wa maelezo ya dhana ya kuwepo Mungu, haya si maneno yangu, si ninachotaka mimi, ni wanaosema Mungu yupo wanavyosema.

Haya si mambo ninayotaka mimi, ni maelezo kuhusu uwepo wa Mungu yanavyosema.

Tunaambiwa:-

1. Mungu ni muweza yote.
2.Mungu ni mjuzi wa yote
3. Mungu ni mwenye upendo wote.

Mpaka hapo hakuna ninachotaka mimi, hizo ni sifa za Mungu kwa mujibu wa wanaoamini Mungu yupo.

Halafu, tunaona kwamba kuna ulimwengu ambao una mabaya, unaruhusu mabaya kutokea.

Hili si jambo ninalotaka mimi, ndivyo ulimwengu ulivyo.

Mpaka hapo hakuna ninachotaka mimi, nimeeleza sifa za Mungu kwa mujibu wa waamini, na ulimwengu ulivyo kama tunavyouona.

Sasa nauliza swali tu, hapa sisemi kwamba nataka ulimwengu uwe hivi au vile, nauliza swali kutafuta logical consistency, kuhakiki na kuelewa tu.

Kama Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, imekuwaje kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili, unaniambia nisimpangie Mungu kuumba ulimwengu ninavyotaka mimi, sijampangia, nauliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, na hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

View attachment 2610255
Hapa mtu huwezi chomoka...jamaa kabana kote kdk
 
Hapana mkuu bado unang'ang'ania kwamba Mungu angeumba ulimwengu ambao mabaya yasingewezekana, na wakati yeye ameumba ulimwengu ambao mabaya na mazuri ni chaguo la waishio ndani ya ulimwengu, mbona wewe unatakq angeumba ,unavyotaka wewe ili kukuridhisha wewe? ,,,,,,na imagine hapa kama Mungu angekupa choices kwamb nikuumbe vipi Kiranga bila shaka ungechangua kuwa more than God, kwasababu wewe unaonekana ni mbishi na hautaki kabisa kuelewa kabisa kuhusu Mungu,na hii inasababishwa na sababu zako binafsi ambazo hata haziwez kuathiri au kugairisha kaz zake
Hataki Mungu wenu wa kutunga na mwenye sheria according to tamaduni mbalimbali miaka ya kale
 
Safi sana ndg! Kwa namna ambavyo umeleta hoja za kumfanya mtu kufikiri na kutaka kujua zaidi kuhusu nguvu ya asili hisiyo ya kawaida yaani (Mungu) na kwa nn kumekuwepo na mapungufu pia katika Malaika na Ubinadamu kulingana na Biblia. Mimi nafikir Wahubiri wengi wangekuwa wanajiuliza vzr kuhusu haya maswali yako na kuyaleta vzr mbele za watu ingekuwa rahisi sana watu kumuamini Mungu kwa uhakika na wala wasingewadanganya watu na kuchukua pesa zao wakilinganisha pesa bila kutenganisha Uungu au maisha ya mbinguni. Sasa basi ukitaka kujua kuwa Mungu ni mkamilifu na hana mapungufu ya kufikirika inafaa kwanza tumuamini kuwa yupo Imani ni hisi ya sita katika zile tano ambazo tumekuwa tukizitumia katika maisha haya ya kawaida hapa dunia na hii inamuhusu Mungu pekee.
Kiimani - 1. Mungu alikuwa na sifa za zote kabisa ikiwepo kuwa Mungu Mkuu mwenye mamlaka, Mkombozi, mponyani, mwenyehaki, Mwenye Upendo Mwenye Amani na vitu vingine vikamilifu vyote tunavyovijua. Sasa basi hisingewezekana kuvidhihirisha vitu vyote hvyo wakati kila kitu nikikamilifu Mbinguni na duniani yaani Malaika wote wawe wakamilifu wenye nguvu kamilifu bila mapungufu na tujue Malaika ni viumbe katika kiwango flan kisicho cha kibinadamu hivyo ili Mungu aweze kuonyesasha sifa yake ya Ukuu na Nguvu ilibidi uhasi uwepo ili yeye awe upande wa ukombozi na Nguvu namna ile ile alivyotenganisha Maji ya Bahari na nchi kavu.
2. Mwanamke(Hawa) kuwa mdhahifu ni ili tu kuruhusu kosi lifanyike ili jamii ya mwanadamu kuingia dhambini alafu yeye Mungu mkamilifu mwenye sifa ya ukombozi kudhihirisha sifa yake iyo. Alafu kitu ambacho sayansi si muda mrefu imedhibitisha ni iki hapa.. Walikuwa wanasema kiumbe chenye ukaribu sana na mwanadamu ni Sokwe mtu lakini hakuna uwezekano wa Sokwe kumuongezea damu mwanadamu kuonyesha kwamba hakuna ukaribu wa hvyo. Lakin inaonekana kuna gape katiya Sokwe na Mwanadamu kwamba hapa katika kuna kiumbe kingine ndio biblia inatupa jibu kuwa kabla ya Mungu kumlaani nyoka alikuwa na ukaribu sana na mwanadamu na ndie aliyeweza kumdanganya Hawa na kuweza kuchanganya damu na kupata uzao.. Baada ya Hawa kukutana na Nyoka na baadae Adamu kulitokea uzao watoto wawili walizaliwa Kaini na Abil ikiwa Kuwa Abili alikuwa mtoto wa Adamu na Kaini mtoto wa Nyoka hii inadhibitika zaidi katika maisha yao. Kumbe kunawezekano wa mama kubeba mimba ya wababa wawili tofauti kwa wakati mmoja na watoto wakazaliwa kila mmoja na baba yake imetokea Uganda na sehemu zingine.. Hvyo kwa maelezo hayo tunaweza kuona Mungu ni mkalimifu mwenye sifa zote zikiwepo hizo zinazoonekana ni udhahifu ili baada ya maisha haya aturudishe kwenye maisha yasikuwa na mapungufu..Asante
We nakuachia kiranga akukoshe
 
Back
Top Bottom