Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Kwanza Mkuu Malaika Hawezi Kuasi Malaika Ameumbwa Kwa ajili Ya Kutekeleza amri za Mungu tu Bila Kupinga,Malaika Kaumbwa Kazi Yake Ni hiyo tu Hana maisha Mengine Kama sisi Binadamu.
Shetani Sio Malaika,Shetani Alikuwa Ni Miongoni mwa majini.

Hayo Maswali Unayojiuliza Ndo Yanayofanya Mungu Aitwe Mungu,Kitu Cha Kipekee kisichofanania Na Kitu chochte
Kuna maana Gani Ya Kuitwa mungu Kama Tunajua Kila Kitu,Sisi Ni viumbe Dhaifu Hatuwezi Kuwa Na Majibu ya Hayo Maswali.

Utakatifu Wa Mungu Huletwa na Vitu ambavyo Binadamu vinamchanganya,Hana majibu Yake au Havijui Kabisa
 
Waislamu ndo magaidi, watesaji wanawake na waanzisha mavita yaajabu. Coz dini yenu Ni ya kukandamiza kandamiza tu
Sio kweli,... Hata ukifuatilia kwenye historia vita vingi Uislam wala hauhusiki, mfano pitia hapa chini kisha utasema wapi Uislam umehusika ⤵️

1. World War II (1939-1945): It is estimated that between 70 and 85 million people were killed in World War II. This includes both military personnel and civilians, with the vast majority of deaths occurring in the Soviet Union and China.

2. World War I (1914-1918): Over 16 million people were killed in World War I, with many more suffering from injuries and illnesses. The war was fought primarily in Europe, but also involved countries in other parts of the world.

3. Taiping Rebellion (1850-1864): This was a civil war in China that resulted in the deaths of an estimated 20 to 30 million people. The rebellion was led by a man named Hong Xiuquan, who claimed to be the younger brother of Jesus Christ.

4. An Lushan Rebellion (755-763): This was a rebellion against the Tang dynasty in China that resulted in the deaths of an estimated 36 million people. The rebellion was led by a general named An Lushan.

5. Mongol Conquests (1206-1368): The Mongol Empire, led by Genghis Khan and his successors, conquered vast territories in Asia, Europe, and the Middle East. It is estimated that between 30 and 60 million people were killed during the conquests.

6. Thirty Years' War (1618-1648): This was a war fought primarily in Europe that resulted in the deaths of an estimated 8 million people. The war was fought over religious and political issues.

7. Napoleonic Wars (1803-1815): The wars fought by Napoleon Bonaparte, which involved many European countries, resulted in the deaths of an estimated 5 million people.

8. Korean War (1950-1953): This was a conflict between North and South Korea that resulted in the deaths of an estimated 3 million people, including many civilians.


HIVYO BASI HIZO TUHUMA ZAKO SIO ZA KWELI.....

Kuhusu kwamba Uislam unatesa Wanawake pia sio kweli⤵️

Surah An-Nisa 4:19 states, "O ye who believe! Ye are forbidden to inherit women against their will. Nor should ye treat them with harshness, that ye may take away part of the dower [money given by the husband to the wife for her own use] ye have given them, except where they have been guilty of open lewdness; on the contrary live with them on a footing of kindness and equity."



The Prophet Muhammad (peace be upon him), emphasized the importance of treating women well. He said, "The best of you are those who are the best to their wives, and I am the best of you to my wives." He also encouraged men to be kind and gentle with their wives and to treat them with respect and dignity.
 
Mi sijawahi kusema naamini katika ancestry moja. That's non of my concern. My concern is there's more evidence that we came from apes than the Adam n Eve story. Mambo ya first ancestor hayahusiani na haya mawili. Coz story ya Adam na Eve waislamu mmeiba from christians wakristo wameiba kutoka persia kwenye epic of Gilgamesh na wao inafanana na Greek Pandora's box. Ukisoma historia za dini na michango yake mbalimbali utaelewa.
Wewe si ndiyo ulikua unasema Sayansi kila inachosema inaonyesha na ushahidi? .... Ukasema kuna ushahidi wa fossils kuhusu Evolutionary mechanisms.


Sasa hiyo Evolution Theory unayoiamini ndiyo inasema living organisms wote tumetokana na Ancestor mmoja..... Tena inasema hivyo bila ushahidi wowote including fossils.

So, hiyo ni Imani tena ni Imani kubwa sana kusema mpangilio wa Ulimwengu na viumbe wote wametokea tu by chance/accident.
 
Sio kweli,... Hata ukifuatilia kwenye historia vita vingi Uislam wala hauhusiki, mfano pitia hapa chini kisha utasema wapi Uislam umehusika ⤵️

1. World War II (1939-1945): It is estimated that between 70 and 85 million people were killed in World War II. This includes both military personnel and civilians, with the vast majority of deaths occurring in the Soviet Union and China.

2. World War I (1914-1918): Over 16 million people were killed in World War I, with many more suffering from injuries and illnesses. The war was fought primarily in Europe, but also involved countries in other parts of the world.

3. Taiping Rebellion (1850-1864): This was a civil war in China that resulted in the deaths of an estimated 20 to 30 million people. The rebellion was led by a man named Hong Xiuquan, who claimed to be the younger brother of Jesus Christ.

4. An Lushan Rebellion (755-763): This was a rebellion against the Tang dynasty in China that resulted in the deaths of an estimated 36 million people. The rebellion was led by a general named An Lushan.

5. Mongol Conquests (1206-1368): The Mongol Empire, led by Genghis Khan and his successors, conquered vast territories in Asia, Europe, and the Middle East. It is estimated that between 30 and 60 million people were killed during the conquests.

6. Thirty Years' War (1618-1648): This was a war fought primarily in Europe that resulted in the deaths of an estimated 8 million people. The war was fought over religious and political issues.

7. Napoleonic Wars (1803-1815): The wars fought by Napoleon Bonaparte, which involved many European countries, resulted in the deaths of an estimated 5 million people.

8. Korean War (1950-1953): This was a conflict between North and South Korea that resulted in the deaths of an estimated 3 million people, including many civilians.


HIVYO BASI HIZO TUHUMA ZAKO SIO ZA KWELI.....

Kuhusu kwamba Uislam unatesa Wanawake pia sio kweli⤵️

Surah An-Nisa 4:19 states, "O ye who believe! Ye are forbidden to inherit women against their will. Nor should ye treat them with harshness, that ye may take away part of the dower [money given by the husband to the wife for her own use] ye have given them, except where they have been guilty of open lewdness; on the contrary live with them on a footing of kindness and equity."



The Prophet Muhammad (peace be upon him), emphasized the importance of treating women well. He said, "The best of you are those who are the best to their wives, and I am the best of you to my wives." He also encouraged men to be kind and gentle with their wives and to treat them with respect and dignity.
Taja vita ambayo nimezaliwa. 21st century all major conflicts ni Islam related isipokuwa Ukraine labda
 
Wewe si ndiyo ulikua unasema Sayansi kila inachosema inaonyesha na ushahidi? .... Ukasema kuna ushahidi wa fossils kuhusu Evolutionary mechanisms.


Sasa hiyo Evolution Theory unayoiamini ndiyo inasema living organisms wote tumetokana na Ancestor mmoja..... Tena inasema hivyo bila ushahidi wowote including fossils.

So, hiyo ni Imani tena ni Imani kubwa sana kusema mpangilio wa Ulimwengu na viumbe wote wametokea tu by chance/accident.
Skia .kacheki links za evolution nilizotuma
 
Mimi na wewe nani anapingana na ukweli.
Lete ushahidi kama Charles Darwin ana support Theory ya Use & Disuse.

Huu ndiyo mtazamo wa Charles Darwin kuhusu Use& Disuse Theory [emoji3593]

Charles Darwin rejected the idea of the "Use and Disuse" theory, which proposed that the use or disuse of organs or body parts could lead to their inheritance or loss in future generations.
Darwin argued that the inheritance of acquired characteristics, as proposed by Lamarck, was not supported by evidence. Instead, Darwin proposed the theory of natural selection, which suggests that traits that provide an advantage in survival and reproduction are more likely to be passed on to future generations.
"Darwin proposed the theory of natural selection, which suggests that traits that provide an advantage in survival and reproduction are more likely to be passed on to future generations."

Hio umeandika ww mwenyew. Ndio kitu nilikua nakwambia tokea mwanzon na unapinga tu.... traits that provide advantage of survival ni mfano wa tembo niliokupa, ukiangalia huohuo mfano utaona ni use and dissuse. Science sio kama dini, mwana sayansi unaweza kumkosoa. Proof za use and dissuse zipo tena ndio rahisi kuprove...
Wolf alipo evolve kua mbwa, traits za aggressiveness ziliondolewa. USE AND DISSUSE! Duh..!
 
Hizo zote ni tuhuma tu, zinazotokana na chuki.

Mfano, ungekua na utu usingefurahia hao Waislam Wenye asili ya kichina kufungwa kama mateka tena kwenye nchi yao kisa Imani Yao tu.


Maana ukiulizwa kosa lao la msingi ni nini,?Bila shaka hujui

NB:- Penda kutendea wenzako kile ambacho utafurahi ukitendewa wewe.
Tuhuma wapi. Kipindi cha Ramadan nilienda zenji. Kuna baadhi ya mitaa migahawa ilifungwa, marufuku kula, ukikutwa unakula ni kesi. Hawajalishi ww ni dini gani... upuuzi huu na ndio nchi hizo zingine hawataki. Na ndio huu huu upuuzi waislamu watakuletea nchini kwako endapo utawakaribisha... zenji hukohuko kuna sehemu huwezi kupita bila ushungi kwa mdada. Upuuzi tu..

Na hao waislamu waliofungwa huko china ni waarabu waliokaribishwa, sio wachina. Wanalera sheria kwenye NCHI ZA WATU. Sio nchi yao hio... ukristo nao huko unapingwa ila huwez kukuta wanabugudhiwa; kwasababu wakristo wao wanakusanyana wao kwa wao wanafanya ibada zao bila kuforce watu wengine...
 
"Darwin proposed the theory of natural selection, which suggests that traits that provide an advantage in survival and reproduction are more likely to be passed on to future generations."

Hio umeandika ww mwenyew. Ndio kitu nilikua nakwambia tokea mwanzon na unapinga tu.... traits that provide advantage of survival ni mfano wa tembo niliokupa, ukiangalia huohuo mfano utaona ni use and dissuse. Science sio kama dini, mwana sayansi unaweza kumkosoa. Proof za use and dissuse zipo tena ndio rahisi kuprove...
Wolf alipo evolve kua mbwa, traits za aggressiveness ziliondolewa. USE AND DISSUSE! Duh..!
Hayo ni Maneno yako na sio maneno ya Charles Darwin ....
Je, Charles Darwin alipinga Theory of Use and Disuse au hakupinga?

Jibu hilo swali kuokoa muda.👆


 
Tuhuma wapi. Kipindi cha Ramadan nilienda zenji. Kuna baadhi ya mitaa migahawa ilifungwa, marufuku kula, ukikutwa unakula ni kesi. Hawajalishi ww ni dini gani... upuuzi huu na ndio nchi hizo zingine hawataki. Na ndio huu huu upuuzi waislamu watakuletea nchini kwako endapo utawakaribisha... zenji hukohuko kuna sehemu huwezi kupita bila ushungi kwa mdada. Upuuzi tu..

Na hao waislamu waliofungwa huko china ni waarabu waliokaribishwa, sio wachina. Wanalera sheria kwenye NCHI ZA WATU. Sio nchi yao hio... ukristo nao huko unapingwa ila huwez kukuta wanabugudhiwa; kwasababu wakristo wao wanakusanyana wao kwa wao wanafanya ibada zao bila kuforce watu wengine...
Mkuu waliofungwa China sio waarabu Bali ni wachina wa Uyghurs!

Ni Nchi yao pia,... Ila chuki zako ndiyo zinafanya uone sio Nchi yao.
 
Vita gani imehusu Uislam kwenye 21st Century?
Unajua nn kinaendelea sudan saivi? Co-worker mmoja alikua ktk majukumu yake ya kikaz huko Sudan, alitutumia clip... yan watu wanajificha msikitini. Unafungiwa huko ukikiri kua unaukubali usilamu. Vinginevyo unachinjwa, unapigwa risasi au mawe mpaka kufa... haya yote yanatokea LEO HII! Mwezi huu huu mei 2023...
Mfano mmoja tu huo...
 
Hayo ni Maneno yako na sio maneno ya Charles Darwin ....
Je, Charles Darwin alipinga Theory of Use and Disuse au hakupinga?

Jibu hilo swali kuokoa muda.[emoji115]


Use and dissuse kama alivoielezea Lamark, Darwin aliipinga.
Wewe hapa ndio kitu huelewi. Tuchukulie mfano wa twiga. Lamarck yeye alidai kua ilitokea mutation kadhaa kwa twiga wakawa na shingo ndefu ivo wakasambaza genes zao kwa vizaz vyao... ila kwa experiments hii sio kweli na ndio Darwin aliipinga.

Bali Darwin yeye hio evolution ya twiga angaielezea kwamba; twiga warefu ndio walipata chances za kusurvive na kuzaliana ivo :surivive for the fittest!
 
Mkuu waliofungwa China sio waarabu Bali ni wachina wa Uyghurs!

Ni Nchi yao pia,... Ila chuki zako ndiyo zinafanya uone sio Nchi yao.
Mm sasa nichukie watu bila sababu, kwanini?
Sababu ya hio genocide ndoizo nilizotaja hapo mwanzon. Na target sio uyghurus bali target ni waislamu. Ambao unfortunately uyghurs wao wengi ndio waislamu...
 
Unajua nn kinaendelea sudan saivi? Co-worker mmoja alikua ktk majukumu yake ya kikaz huko Sudan, alitutumia clip... yan watu wanajificha msikitini. Unafungiwa huko ukikiri kua unaukubali usilamu. Vinginevyo unachinjwa, unapigwa risasi au mawe mpaka kufa... haya yote yanatokea LEO HII! Mwezi huu huu mei 2023...
Mfano mmoja tu huo...
Acha uongo Mkuu, vita ya Sudan haihusiani kabisa na Uislam.... Bali ni vita ya kisiasa tu

Fuatilia vizuri bila chuki.
 
Mm sasa nichukie watu bila sababu, kwanini?
Sababu ya hio genocide ndoizo nilizotaja hapo mwanzon. Na target sio uyghurus bali target ni waislamu. Ambao unfortunately uyghurs wao wengi ndio waislamu...
Sasa kama Sio chuki, mbona ulisema Uyghurs sio wachina ni waarabu?
 
Use and dissuse kama alivoielezea Lamark, Darwin aliipinga.
Wewe hapa ndio kitu huelewi. Tuchukulie mfano wa twiga. Lamarck yeye alidai kua ilitokea mutation kadhaa kwa twiga wakawa na shingo ndefu ivo wakasambaza genes zao kwa vizaz vyao... ila kwa experiments hii sio kweli na ndio Darwin aliipinga.

Bali Darwin yeye hio evolution ya twiga angaielezea kwamba; twiga warefu ndio walipata chances za kusurvive na kuzaliana ivo :surivive for the fittest!
Basi kama tumekubaliana kwamba Charles Darwin aliipinga theory ya Lamarck hapo tupo sawa.
So hapo Lamarck ashafeli ❌

Sasa tukija kwa Charles Darwin nae, mpaka leo yeye na wafuasi wake wameshindwa kutuonyesha ushahidi wa Ancestor ambae Living Organisms wote tumetokana nae.... Hivyo basi Evolution Theory kwa ujumla inabaki kuwa Imani.
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
Hongera! Kwa maswali nyeti, makini na yenye nguvu mno tena si maswali dhaifu bali maswali yenye mantiki Vladmir Putini
Kwa kuanza kujibu hoja zako nianzie hapa, Ukamilifu wa Mungu, na ukamilifu wa kibinadamu ni vitu viwili tofauti kabisa , tuanzie hapa kwenye hoja ya uumbaji, Mungu alipowaumba malaika , ukweli wa mambo ni huu, alijua mwisho wa viumbe hao hadi mwanzo wao nikusema yeye huanza na mwisho kisha mwanzo.

Hivyo basi Mungu aliwaumba hao malaika kwa makusudi kabisa ,sio kwa bahati mbaya mfano huo wa jibu hilo hebu soma kisa cha farao uone vile Mungu anavyotenda kazi ,, anasema Swahili Union Version KUT. 4:21 BWANA akamwambia Musa, Hapo utakaporudi Misri, angalia ukazifanye mbele ya farao zile ajabu zote nilizozitia mkononi mwako; lakini nitaufanya mgumu moyo wake, naye hatawapa ruhusa hao watu waende zao. Zingatia sana maneno ya Mungu kumbe ugumu wa Moyo wa farao aliufanya Bwana mwenyewe nikusema Utendaji kazi wake unashangaza sana.

Pia ukiendelea kusoma vema utangundua wazi hata ADAMU NA MKEWE HAWA. MUNGU anasema mwenyewe kwamba aliwaumba wakiwa wakamilifu kabisa Mungu hakuumba kinyonge wa dosari , hivyo basi , kuna Jambo la msingi uliweke moyoni hapa , uasi wa Adamu na Hawa ni Ni shirikisho lisilo la kawaida, waliloshirikishwa bila wao kujua hasa kwa kina , maana yake ni nini? Ni hii,, Lucifer aliyekuwa wa pili kwa cheo mbinguni alipoasi alihakikisha anapata wafuasi, na hii sio tu ka jamii ya kibinadamu No hata jamii ya malaika, sasa kwa malaika kuasi Ukamilifu wa MUNGU , unakoma?

Hasha haukomi, ikumbukwe kuwa Mungu aliwaumba malaika na wanadamu akawapa uhuru wa kuchagua , kuamua na kutenda watakavyo hiyo sifa ni yake mwenyewe , ndio maana mwanadamu au malaika alipoamua kuchagua kile alichokiona bora Mungu hakuingilia badala yake aliacha ili kutimiza haki yote , Malaika sio roboti wala mwanadamu sio roboti hasha , hatuko understand control. Kila unachokifanya umeamua mwenyewe na ndio maana umepata muda wa kuuliza na kutafakari ,na huo ndio ukamilifu wa Mungu.

Na ikumbukwe pia ukisema ukamilifu ni lazima urejee lugha ya kiswahili kwa umakini mfano ukamilifu ni kinyume cha kisicho kikamilifu, mwanadamu sio mkamilifu ila Mungu tu ,, mfano wake ili ikaebsawa . Mwanadamu asipovaa viatu na akatembe juu ya makaa ya moto au miiba hawezi kuwa salama ila Mungu ni yule anafanya kinyume cha hapo. Mwanadamu akifa, hawezi lolote, Mungu akifa katika kifo bado ana mamlaka juu ya kifo,, soma hii itakusaidia rafiki...Swahili Union Version YN. 10:17 Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.

Zingatia sana maneno ya Yesu, uhai wake ni yeye mwenyewe ndiye anayeutoa na kuutwaa tena, jambo hilo mwanadamu wala kiumbe hakiwezi na huu ndio ukamilifu hasa. Kwa sasa nikomee hapa asante.
 
Acha uwoga na uvivu wa kufikiri. We ndo chanzo chako sio sisi...
Uwoga ni fikra potofu ukweli ni kwamba mambo mengi yalio kuwa duniani huyu tunaye muita mungu hausiki bali ni mawazo yetu sisi binadamu ndio yamejenga fkra zote hizi kuwa kuna mfano moto,pepo,dhambi,mema na mabaya unaposoma mawazo ya watu ndio unazidi kujichanganya walio leta dini duniani walikuwa na mawazo shawishi yaliyo tufikisha hapa lkn ukweli hakuna anaeujua.
 
Back
Top Bottom