Judister Gabriel Mlawa
New Member
- Sep 16, 2021
- 4
- 10
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.
Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.
Binafsi na hisi hivyo.
Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.
Binafsi na hisi hivyo.