Naamini, Rais Samia Suluhu asingekuwa madarakani Royal Tour isingekuja Tanzania

Naamini, Rais Samia Suluhu asingekuwa madarakani Royal Tour isingekuja Tanzania

Joined
Sep 16, 2021
Posts
4
Reaction score
10
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.

Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Binafsi na hisi hivyo.
 
Na kweli. Tungeendelea kuwa chini ya udikteta wa yule mshamba aliyekuwa akiwachukia wazungu mpk kufikia kukataa chanjo zao, tusingipata bahati na fursa hii ya kuandaa filamu hii ya kimataifa ya TANZANIA, The Royal Tour.

Kwanza kiingereza alikuwa hajui. Angeigiza vipi filamu? Kwa kisukuma??
 
Na kweli. Tungeendelea kuwa chini ya udikteta wa yule mshamba aliyekuwa akiwachukia wazungu mpk kufikia kukataa chanjo zao, tusingipata bahati na fursa hii ya kuandaa filamu hii ya kimataifa ya TANZANIA, The Royal Tour.

Kwanza kiingereza alikuwa hajui. Angeigiza vipi filamu? Kwa kisukuma??

Change your mind set.

Acha kukalili maisha. Tabia ya kumfurahisha mzungu.
 
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.

Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Binafsi na hisi hivyo.
Nonsense, tulitaka mcheza movie sie?. Hapo kwenye faida ya hiyo muvi huyu mama hatapata hata tone sasa chezea beberu.
 
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.

Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Binafsi na hisi hivyo.
Royal Tour(s) ni siasa (program ya kisiasa)

Zinawatangaza (brand) zaidi viongozi wa serikali kuliko vivutio vya utailii

Na Royal Tour ya TZ iko kumtangaza zaidi Samia

Dunia ijue sasa Tanzania inaongozwa na raisi mwingine, tena mwanamke, ambaye yuko tofauti kabisa na mtangulizi wake (yaani JPM)
 
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.

Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Binafsi na hisi hivyo.
Akili ya mpiga ramli hii.
 
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.

Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Binafsi na hisi hivyo.
Sawa oga ulale
 
Utalii ungeweza kukuzwa bila kutegemea filamu na tungefanya vyema tu.

Zipo nchi nyingi zinazofanya vizuri kwenye Utalii na hawajawahi kufanya hiyo filamu.
Toka filamu umefanyika watalii wangapi wamekuja? ni ufujaji wa pesa za umma bila sababu za msingi
 
Kwahiyo acheze movie halafu vitu vinazidi kuwa garama

Mbona nchi ya kijinga hii

Cjawahi ona rais wa Korea anacheza movie
 
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.

Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Binafsi na hisi hivyo.
Ukiwa na upeo kama huu wa kwako utaelewa nini kinafanyika katika awamu hii. Lakini ukiwa na yale mawazo ya ubishi na ukaidi wa awamu iliyopita, huwezi kuwa na maono kama haya.

Lengo ni moja tu, kuijenga Tanzania.
 
Royal Tour(s) ni siasa (program ya kisiasa)

Zinawatangaza (brand) zaidi viongozi wa serikali kuliko vivutio vya utailii

Na Royal Tour ya TZ iko kumtangaza zaidi Samia

Dunia ijue sasa Tanzania inaongozwa na raisi mwingine, tena mwanamke, ambaye yuko tofauti kabisa na mtangulizi wake (yaani JPM)
Na yeye kuwa mwanamke ni sababu mojawapo ya hao walioandaa hiyo sinema kukubali kuja Tanzania. Alisema siku ile alipoongea na wafanyabiashara pale Ikulu.
 
Imani yangu inanituma kwamba, wazo la kuja na kutengeneza Royal Tour Tanzania, nimechochewa zaidi na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke.

Licha tu ya kuwa na Rais mwanamke ambaye kwa nchi za magharibi ni kitu ambacho wanavutiwa nacho zaidi, lakini pia aina ya siasa anayofanya Rais Samia inamtafautisha sana na mtangulizi wake, John Pombe Magufuli ambapo nafasi ya Royal Tour imetumika kama njia ya kurekebisha diplomasia ya Tanzania na mataifa mengine, na ni kweli, hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Binafsi na hisi hivyo.
Hakuna diplomasia iliyorekebishwa hapo, ila wale waliokuwa wamezoea kupata kwa udanganyifu wakazuiwa sasa wamepewa mwanya kuendelea. 'Royal' ni sawa na kuita 'Hangaya' kibantu ni hadhi ya kimamlaka kwenye jamii fulani kwahiyo ilitakiwa isomeke Kitanzania "Safari ya utalii ya mtemi/chifu" badala ya 'The Royal Tour' inayoakisi mtazamo wa watu wa nje ya nchi hasa magharibi.

Tumedharaulisha sana utamaduni wetu; kwanini WaNijeria wana thamini sana utamaduni wao mpaka watu wa magharibi wanatambua hivyo? Tazama filamu ya Nijeria ijapokuwa zinaongozwa kwa lugha ya Kiingereza lakini hawasahau kutupia lugha zao za asili kama Igbo na kuigiza kama wafalme, malkia nk kwa hadhi ya hali juu!!!

We have an inferiority complex mentality to think that without featuring our brand through western civilization we won't be applauded and commended for the ideas projected to promote our nationalism, sovereignty wealth, natural resources, cultures, etc.
 
Na kweli. Tungeendelea kuwa chini ya udikteta wa yule mshamba aliyekuwa akiwachukia wazungu mpk kufikia kukataa chanjo zao, tusingipata bahati na fursa hii ya kuandaa filamu hii ya kimataifa ya TANZANIA, The Royal Tour.

Kwanza kiingereza alikuwa hajui. Angeigiza vipi filamu? Kwa kisukuma??
Hahaaaaa.......😁😃
 
Back
Top Bottom