Naamini, Rais Samia Suluhu asingekuwa madarakani Royal Tour isingekuja Tanzania

Royal tour ni tofauti na tunavyoichukulia, kama kweli maandalizi yake hadi kukamilika kwake kumegharimu zaidi ya tshs. 7bn basi kuna kitu kingine kikubwa zaidi kilichojificha nyuma ya hiki kilichobatizwa kama royal tour
 
Ni kweli kabisa! Raisi pekee mwanamke mwenye mamlaka kamili - nafikiri Dunia nzima hakuna Raisi Mwanamke. Tanzania imepata bahati ya kuwa na mtazamo mpya, hata kwenye familia baba na mama mitazamo yao huwa inatofautiana.
 

Mama anajitangaza kwa wazungu laiti kama atapigiwa kura na wazungu 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…