Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Kilimbatzz

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2023
Posts
9,134
Reaction score
14,593
Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0, basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali.

Kikubwa wakabe kwa umakini, faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari.

Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana.

Wydad hawana mpira wa maajabu.

Utabiri: Wydad 1-2 Simba.

xah8qhdgvkg5itqz.jpg
 
Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali


Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari

Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana

Wydad hawana mpira wa maajabu


Utabiri:

Wydad 1-2 Simba
UNAOTA. TENA UNAOTA SANA.
 
Back
Top Bottom