Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali


Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari

Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana

Wydad hawana mpira wa maajabu


Utabiri:

Wydad 1-2 Simba
Imani ni kuwa na hakika na Mambo yatarajiwayo, ni bayana ya Mambo yasiyoonekana.
 
Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0, basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali.

Kikubwa wakabe kwa umakini, faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari.

Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana.

Wydad hawana mpira wa maajabu.

Utabiri: Wydad 1-2 Simba.

View attachment 2599002
Sawa mtani kama haya yanatoka moyoni
 
Sawa,

Ila naamini chochote kinaweza toke
Simba wakiwa makini na compacts kujilinda wacheze kama juzi walivyokaba kuwazunguka Viungo wa WAC kwa style inayoitwa the cage hadi kupelekea injini yao Jabran kugusa mipira mara 52 jabran huku akipiga back pasa 17 na side way pass 20 na foward pass 15 simba wanatoboa
 
Simba wakiwa makini na compacts kujilinda wacheze kama juzi walivyokaba kuwazunguka Viungo wa WAC kwa style inayoitwa the cage hadi kupelekea injini yao Jabran kugusa mipira mara 52 jabran huku akipiga back pasa 17 na side way pass 20 na foward pass 15 simba wanatoboa
Amen mkuu
 
Back
Top Bottom