cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umemjibu vizuri kabisaaa, yaan umepatiaa haswaaa, pita kwa mangi chukua chochote bill juu yanguHatuchezi na tiketi tunacheza na Watu 11
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu vizuri kabisaaa, yaan umepatiaa haswaaa, pita kwa mangi chukua chochote bill juu yanguHatuchezi na tiketi tunacheza na Watu 11
Pamoja sanaHALIPINGIKI HILO MKUU
CAF hakuna Extra time ndugu, hao jamaa wanakutengua UDHU mapema tu.Ni kweli ila mpaka dakk hizo majamaa yatakua na pressure. Na hata kama ikitokea yamefunga bado simba atakua na nafasi ya pili kujitetea maana watarnda extra time.
Pamoja sanakipindi cha kwanza Simba wakipata goli la kuongoza ndo ntapata matumaini.
Imani ni kuwa na hakika na Mambo yatarajiwayo, ni bayana ya Mambo yasiyoonekana.Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali
Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari
Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana
Wydad hawana mpira wa maajabu
Utabiri:
Wydad 1-2 Simba
Amina bwana MchungajiImani ni kuwa na hakika na Mambo yatarajiwayo, ni bayana ya Mambo yasiyoonekana.
Ndyo nipo kwa mangi hapa nmechukua AMARULAUmemjibu vizuri kabisaaa, yaan umepatiaa haswaaa, pita kwa mangi chukua chochote bill juu yangu
Sawa mtani kama haya yanatoka moyoniIwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0, basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali.
Kikubwa wakabe kwa umakini, faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari.
Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana.
Wydad hawana mpira wa maajabu.
Utabiri: Wydad 1-2 Simba.
View attachment 2599002
Na Ijumaa Nampa Simba goli mbiliSawa mtani kama haya yanatoka moyoni
Sio rahisi sana pale Mohamed wa v ni kugumu sana ila,simba wanaweza pata matokeo ya kufuzuNa Ijumaa Nampa Simba goli mbili
Sawa,Sio rahisi sana pale Mohamed wa v ni kugumu sana ila,simba wanaweza pata matokeo ya kufuzu
Simba wakiwa makini na compacts kujilinda wacheze kama juzi walivyokaba kuwazunguka Viungo wa WAC kwa style inayoitwa the cage hadi kupelekea injini yao Jabran kugusa mipira mara 52 jabran huku akipiga back pasa 17 na side way pass 20 na foward pass 15 simba wanatoboaSawa,
Ila naamini chochote kinaweza toke
Amen mkuuSimba wakiwa makini na compacts kujilinda wacheze kama juzi walivyokaba kuwazunguka Viungo wa WAC kwa style inayoitwa the cage hadi kupelekea injini yao Jabran kugusa mipira mara 52 jabran huku akipiga back pasa 17 na side way pass 20 na foward pass 15 simba wanatoboa