Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Ile surprise attack aliyofanyiwa Yanga, kama Simba wakifanikiwa kuirudia kule, waarabu wanaweza kutoka mchezoni.

Tofauti :Yanga huanza mchezo kwa taratibu hivyo ni rahisi kuwafanyia surprise attack wakati waarabu wakiwa nyumbani huanza na kasi ya juu mno na iliyopitiliza.

Simba wawasubiri na kuizoea kasi huku wakicheza kwa nidhamu na tahadhari ya juu.Mechi ya Dar, Simba waliwaheshimu mno Wydad mpaka ikapelekea hofu kwao, wakati nafasi za surprise attack zilikuwepo nyingi na za kutosha kwani jamaa walicheza soka la taratibu mno

Nb 1: Wote wanaocheza ni binaadamu na siyo malaika

Nb 2: Hakuna timu isiyofungika duniani.

Nb 3: Mpira wa kisasa ni mbinu zaidi na maarifa.

Nb 4: Mechi ya Raja ile ya nyumbani kwao ikitumika kama mkakati, lolote linaweza kutokea.

Nb 5: Wydad wanatumia uzoefu zaidi msimu huu kwani kiwango chao kimeshuka kidogo.

Ni mtazamo tu!!!!!!!
 
Ile surprise attack aliyofanyiwa Yanga, kama Simba wakifanikiwa kuirudia kule, waarabu wanaweza kutoka mchezoni.

Tofauti :Yanga huanza mchezo kwa taratibu hivyo ni rahisi kuwafanyia surprise attack wakati waarabu wakiwa nyumbani huanza na kasi ya juu mno na iliyopitiliza.

Simba wawasubiri na kuizoea kasi huku wakicheza kwa nidhamu na tahadhari ya juu.Mechi ya Dar, Simba waliwaheshimu mno Wydad mpaka ikapelekea hofu kwao, wakati nafasi za surprise attack zilikuwepo nyingi na za kutosha kwani jamaa walicheza soka la taratibu mno

Nb 1: Wote wanaocheza ni binaadamu na siyo malaika

Nb 2: Hakuna timu isiyofungika duniani.

Nb 3: Mpira wa kisasa ni mbinu zaidi na maarifa.

Nb 4: Mechi ya Raja ile ya nyumbani kwao ikitumika kama mkakati, lolote linaweza kutokea.

Nb 5: Wydad wanatumia uzoefu zaidi msimu huu kwani kiwango chao kimeshuka kidogo.

Ni mtazamo tu!!!!!!!
Umeandika ujumbe kuntu sana
 
Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali


Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari

Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana

Wydad hawana mpira wa maajabu


Utabiri:

Wydad 1-2 Simba
Nasikia tiketi za kuingia uwanjani zimeshaisha huko! Sasa fikiria kwa zile purukushani za wale mashabiki wao vichaa!!

Yaani ndugu zangu Makolo wakiruhusu goli moja tu, basi watakuwa pia wameruhusu mafuriko.
 
Nasikia tiketi za kuingia uwanjani zimeshaisha huko! Sasa fikiria kwa zile purukushani za wale mashabiki wao vichaa!!

Yaani ndugu zangu Makolo wakiruhusu goli moja tu, basi watakuwa pia wameruhusu mafuriko.
Aahaaaaa

Sawa mkuu
 
Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali


Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari

Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana

Wydad hawana mpira wa maajabu


Utabiri:

Wydad 1-2 Simba
amka wewe utajinyea bure ndoto gani hizo
 
Simba akienda serious anatoboa. 15 min za kwanza ni za moto. Anatakiwa awena accuracy 💯. Akabe haswaa. Akitoboa hapo, mpaka dakk ya 40 majamaa yatapanik.


Wakirudi tena 15 zingine apush kama kawa. Mpaka dakk 75 frustration itakua kubwa na simba kujiamini. Hapo lolote laweza kutokea kama penalty ya mchongo, onyango anatakiwa awe makini na awepo mtu wa kumsaidia.

Unnecessary corner and foul zisiwepo. Mpaka dakk ya 88 basi shuguli itakua imrishia hapo.
 
Simba akienda serious anatoboa. 15 min za kwanza ni za moto. Anatakiwa awena accuracy 💯. Akabe haswaa. Akitoboa hapo, mpaka dakk ya 40 majamaa yatapanik.


Wakirudi tena 15 zingine apush kama kawa. Mpaka dakk 75 frustration itakua kubwa na simba kujiamini. Hapo lolote laweza kutokea kama penalty ya mchongo, onyango anatakiwa awe makini na awepo mtu wa kumsaidia.

Unnecessary corner and foul zisiwepo. Mpaka dakk ya 88 basi shuguli itakua imrishia hapo.
Naunaga mkono hoja
 
Simba akienda serious anatoboa. 15 min za kwanza ni za moto. Anatakiwa awena accuracy [emoji817]. Akabe haswaa. Akitoboa hapo, mpaka dakk ya 40 majamaa yatapanik.


Wakirudi tena 15 zingine apush kama kawa. Mpaka dakk 75 frustration itakua kubwa na simba kujiamini. Hapo lolote laweza kutokea kama penalty ya mchongo, onyango anatakiwa awe makini na awepo mtu wa kumsaidia.

Unnecessary corner and foul zisiwepo. Mpaka dakk ya 88 basi shuguli itakua imrishia hapo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Goli halina time mkuu, dk yoyote unawekwa tu.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Goli halina time mkuu, dk yoyote unawekwa tu.
Ni kweli ila mpaka dakk hizo majamaa yatakua na pressure. Na hata kama ikitokea yamefunga bado simba atakua na nafasi ya pili kujitetea maana watarnda extra time.
 
Back
Top Bottom