Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Naamini Simba itatinga nusu fainali ya CAF Champions League

Wajitahidi kucheza kwa kushambulia sana na kukaba kwa makini. Kama vile Yanga walivyowashambulia Club Africain mwanzo mwisho hatimaye wakatoboa., Chama aongeze speed na kutoa pasi haraka bila kuchelewa.
Ulichokaiandika kikifanyiwa kazi Simba nusu fainali ileeeeeee
 
Simba wasicheze defence mapema, wacheze kama vile walifungwa mechi ya 1, wataongeza goli na kushinda.
Hapo unakuwa umejipeleka kibura mwenyewe Kama uliangalia mechi ya Cr belouizdad na mamelod sundowns Hapa utakubaliana na Cr belouizdad alifunguka kutaka mechi akijua Kwa yupo nyumbani basi mamelod sundowns atalinda nae akafunguka ko wote wakawa wanaitaka mechi kilichotokea ni 4 Kwa 1
 
Mnyama hana Cha kupoteza,acheze kama kiyama,asipaniki Onyango awe makini basi

Mpaka sasa sijaona maajabu ya Wydad
Changamoto IPO Kwa onyango na dogo Ally anatembea Sana mipira onyango akiludishiwa mipira atoe haraka asisubili kupiga chenga na fauro maeneo hatarishi apunguze
 
Changamoto IPO Kwa onyango na dogo Ally anatembea Sana mipira onyango akiludishiwa mipira atoe haraka asisubili kupiga chenga na fauro maeneo hatarishi apunguze
Nadhani wawakilishi wa Mnyama wanapita humu, tena GENTAMYCINE anapita humu hivyo siyo vibaya akawafikishia
 
Nadhani wawakilishi wa Mnyama wanapita humu, tena GENTAMYCINE anapita humu hivyo siyo vibaya akawafikishia
Robertinho anatakiwa akaangalie zile highlights za fc portal akichukua ubingwa wa UEFA champions league chini ya Jose Mourinho alitumia mbinu Gani???
Au intermilan anamtoa Barcelona chini ya huyo huyo Mourinho yaani achukue mbinu za kuitoa timu kubwa kuliko timu Yako
 
Robertinho anatakiwa akaangalie zile highlights za fc portal akichukua ubingwa wa UEFA champions league chini ya Jose Mourinho alitumia mbinu Gani???
Au intermilan anamtoa Barcelona chini ya huyo huyo Mourinho yaani achukue mbinu za kuitoa timu kubwa kuliko timu Yako
Much appreciated
 
Sawa,kikubwa ushindi
Simba wakicheza kama walivyofanya kwa Orlando Pirates kwenye mechi ya marudiano wanaweza kuwa na asilimia kubwa ya kupita kwa hatua hii.

Hii mechi inahitaji zaidi nidhamu ya kujilinda plus nidhamu ya kushambulia. Kule Afrika ya Kusini, pressing ilianzia mbele chini ya Mugalu.

Hata Vita kwenye mechi na hawa jamaa alicheza vizuri sana hapohapo kwao.Mpaka wanakuja kujifunga jamaa walikuwa hawana upenyo wowote!!!!!!!!

Vita walicheza compact football na iliwasaidia sana licha ya kupoteza kwenye huu mchezo.Watu walijua Vita anakufa nyingi lakini haikuwa hivyo.

Jamaa hawatishi kama msimu uliopita na kiwango chao kimeshuka kidogo kama unawafuatilia kiundani.
 
Simba wakicheza kama walivyofanya kwa Orlando Pirates kwenye mechi ya marudiano wanaweza kuwa na asilimia kubwa ya kupita kwa hatua hii.

Hii mechi inahitaji zaidi nidhamu ya kujilinda plus nidhamu ya kushambulia. Kule Afrika ya Kusini, pressing ilianzia mbele chini ya Mugalu.

Hata Vita kwenye mechi na hawa jamaa alicheza vizuri sana hapohapo kwao.Mpaka wanakuja kujifunga jamaa walikuwa hawana upenyo wowote!!!!!!!!

Vita walicheza compact football na iliwasaidia sana licha ya kupoteza kwenye huu mchezo.Watu walijua Vita anakufa nyingi lakini haikuwa hivyo.

Jamaa hawatishi kama msimu uliopita na kiwango chao kimeshuka kidogo kama unawafuatilia kiundani.
Wydad wameflop,wanachezea jina tu

Simba wakienda Morocco wacheze Kwa kufunguka na kudefence as a team


Wavunje rekodi ya Wydad at home kama Yanga alivyovunja ya Rivers
 
Hili linawezekana kabisa.

Mpira wa miguu umebadilika sana siku hizi.


Yeyote anaweza akafanya chochote regardless performance background
 
Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali


Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari

Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana

Wydad hawana mpira wa maajabu


Utabiri:

Wydad 1-2 Simba
Nilichokiona kwa wydad wanacheza kwa hasira na kihuni hasa mkiwazidi mashambulizi.. hii ni advantage kwa simba sc kama akiitumia vizuri ... ni rahisi kumpiga mtu akiwa kwenye hasira kuliko mtu mwenye utulivu wa akili..
 
Back
Top Bottom