Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #21
Simba naamini atatinga nusu fainaliKuota si tatizo lakini kuota huku umesimama sio ishara nzuri. Shtuka utagongwa na kokoteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba naamini atatinga nusu fainaliKuota si tatizo lakini kuota huku umesimama sio ishara nzuri. Shtuka utagongwa na kokoteni
Vyote Kwa pamojaUnatabiri au umeoteshwa usiku
Simba anatinga nusu fainali hayo ya kufungwa siyo katika uzi huuuWeka na ahadi,simba akifungwa unapigwa ban.
Kila la heri..Simba anatinga nusu fainali hayo ya kufungwa siyo katika uzi huuu
Utayaona ijumaaSiyo kumjaribu tu hata kumbetia nitambetia tu
Sijaona maajabu ya Wydad uwanjani
Naunga mkono hoja iwapo wakikaza.Iwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali
Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari
Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana
Wydad hawana mpira wa maajabu
Utabiri:
Wydad 1-2 Simba
Wajitahidi kucheza kwa kushambulia sana na kukaba kwa makini. Kama vile Yanga walivyowashambulia Club Africain mwanzo mwisho hatimaye wakatoboa., Chama aongeze speed na kutoa pasi haraka bila kuchelewa.Mnyama hana Cha kupoteza,acheze kama kiyama,asipaniki Onyango awe makini basi
Mpaka sasa sijaona maajabu ya Wydad
Inshaallah...Simba naamini atatinga nusu fainali
Kwa niaba ya Utopolo wenzangu nawatakia Wekundu wa Msimbazi ushindi mnono Ijumaa ya 28/04/2023.Simba wasicheze defence mapema, wacheze kama vile walifungwa mechi ya 1, wataongeza goli na kushinda.
Ijumaa si mbali, tutakufukulia hili kaburi.Siyo kumjaribu tu hata kumbetia nitambetia tu
Sijaona maajabu ya Wydad uwanjani
Simba mnyama mkaliIwapo Simba atakaza kipindi cha kwanza wakatoka 0-0,basi kuna uwezekano mkubwa wa Mnyama kutinga nusu fainali
Kikubwa wakabe kwa umakini,faulo zisizo na akili wasizifanye katika maeneo ya hatari
Laiti kama yule refa aliyechezesha mechi ya Dar ndo angechezesha na ya mkondo wa pili kule Morocco ingekuwa poa sana
Wydad hawana mpira wa maajabu
Utabiri:
Wydad 1-2 Simba
MsiniangusheeeSimba mnyama mkali
Na miye nipo nitakuwa nakusaidia kupiga sululuIjumaa si mbali, tutakufukulia hili kaburi.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Kwa niaba ya Utopolo wenzangu nawatakia Wekundu wa Msimbazi ushindi mnono Ijumaa ya 28/04/2023.
Anacheka Kwa kuwa anajua Simba atatoboaONYANGO akiyaona haya anacheka tuuhh
Akiacha ubishololo wake na slow motions zake,na akatoa pasi Kwa wakati na muda sahihi Mnyama lazima apasueHii mechi mchawi Chama