Naamini Simba ndiyo itachukua ubingwa ligi kuu ya NBC Tanzania Yanga nafasi ya pili

Naamini Simba ndiyo itachukua ubingwa ligi kuu ya NBC Tanzania Yanga nafasi ya pili

Wadau hamjamboni nyote?

Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania

Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.


Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.

Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Punguza bangi hata nafasi ya pili Simba kuishika ni vigumu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania

Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.


Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.

Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Endelea tu na k vant NHIF imeshusha garama za dialysis
 
Yaani michezo yote iliyobaki Yanga ashindwe kushinda hata mmoja? Aa wewee
Ni mchezo mmoja tu dhidi ya prison ndo tunaweza kupata droo mingine yote ni kuwafunga tu.
Tena prison ni mchezo wa mwisho hatuna haja ya kwenda uwanjani wapewe point zote 3.
Ya nini kwenda kutesa miguu ya PACONE, AZIZ,YAO NA mikono ya DIARA
 
Nakumbuka Kombe La Dunia Sina Hakika Ila Ilikuwa Afrika Kusini
Kulikuwa Na Pweza Paul, Mtaalam Wa Kutabiri Na Alikuwa Sahihi
 
Back
Top Bottom