Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha,Tanzania ina wajinga wengi sana ujueMuda utaongea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha,Tanzania ina wajinga wengi sana ujueMuda utaongea!
Points tatu tu zinatosha Yanga kuwa bingwa..achana na huyu mbumbumbuYanga tukose point 4 kwa michezo iliyobaki!
au labda wanakata zile points zao za pacomeushindi wa mezani haupo labda muamuwe kama walivyotufanyia kimataifa.
Hamna anayeuimba ushindi wa "pool table"!Ukinyang'anywa pointi ndiyo kukwama kwako.ushindi wa mezani haupo labda muamuwe kama walivyotufanyia kimataifa.
Ubunifu wa kutokuwaambia vyura waandamizi ukweli?Hawakuwahi kuwa wabunifu
We endelea kuwa na imani tu mkuu, itakupa faraja wakati wa maumivu.Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Punguza bangi hata nafasi ya pili Simba kuishika ni vigumu.Wadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Endelea tu na k vant NHIF imeshusha garama za dialysisWadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Statistics za kupoteza msimu huu yanga zikoje kwqnza.Asipoteze Tatu apoteze mbili tu na kusuluhu 2.
Kwisha habari
Ni mchezo mmoja tu dhidi ya prison ndo tunaweza kupata droo mingine yote ni kuwafunga tu.Yaani michezo yote iliyobaki Yanga ashindwe kushinda hata mmoja? Aa wewee
Siasa ni JOKE ndo maana kaja kupost hukuHili siyo jukwaa la michezo