Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Ccm wanapenda sana nyuzi za hivi wanajua kabisa hawa jamaa watawatala mpaka motoni kwa akili hizi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga bingwa!!!Wadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Ndivyo anawadanganyeni Guardiola Mnene🤪Wadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Mbumbumbu fc ni noma🤪Points tatu tu zinatosha Yanga kuwa bingwa..achana na huyu mbumbumbu
Wako maturedInshaAllah!Na iwe hivyo.
NB;Hivi kwa nini SSC haijawahi kutundika mabango kwa kuwachabanga vyura 5-0,6-0,4-1 nk?
Timu ndogo ndio zinafanya mambo Hays,Simba sio timu ndogoInshaAllah!Na iwe hivyo.
NB;Hivi kwa nini SSC haijawahi kutundika mabango kwa kuwachabanga vyura 5-0,6-0,4-1 nk?
Ngoja muda uongee.Mchezaji gani batili aliyechezeshwa Yanga? Mlijazwa ujinga na ka Yeriko mkajaa hivyo hivyo!
Yeah, Simba mnaokotwaokotwa sana! Mlidanganywa eti ni Pacomé hana vibali mkakubali sasa juzi Pacomé kacheza mmeufyata! Yaani mchezaji hana vibali aje aruhusiwe kucheza champions league? Simba hamna akili!Ngoja muda uongee.
Mnatukana wazee wenu?Tutawapaka mawese.Yeah, Simba mnaokotwaokotwa sana! Mlidanganywa eti ni Pacomé hana vibali mkakubali sasa juzi Pacomé kacheza mmeufyata! Yaani mchezaji hana vibali aje aruhusiwe kucheza champions league? Simba hamna akili!
Baada ya simba kufungwa na yanga aliaga rasmi ubingwaWadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Anacheza na nani hiyo Jumatatu?Jumatatu Yanga anakuwa Bingwa. Njoo hapa saa 12 jioni utueleze namna simbo atakuwa Bingwa.
Mtibwa sukariAnacheza na nani hiyo Jumatatu?
Simba akisuluhu moja tu kwisha habariAsipoteze Tatu apoteze mbili tu na kusuluhu 2.
Kwisha habari
Wasubutuuuuu 💛💛💚💚💪💪💪💪💪
Tayari kasuluhu huko, na kuipata nafasi ya pili mpaka yule aliyejikosesha penati ajiangushe tena...!! na huenda akajiangushaSimba akisuluhu moja tu kwisha habari
Ccm wanapenda sana nyuzi za hivi wanajua kabisa hawa jamaa watawatala mpaka motoni kwa akili hizi...