Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Jipangeni msimu ujao hizi mambo zitawaumiza. Umefungwa na mtani nje ndani bado ukapoteza mechi 3. Sare za kuzidi unakuja kujipigia hesabu za vidole sasa hivi ukitegemea maajabu ya Paula sijui.Nakumbuka Kombe La Dunia Sina Hakika Ila Ilikuwa Afrika Kusini
Kulikuwa Na Pweza Paul, Mtaalam Wa Kutabiri Na Alikuwa Sahihi
Haiwezekani hata kidogo ๐๐๐Wadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Mchezaji gani batili aliyechezeshwa Yanga? Mlijazwa ujinga na ka Yeriko mkajaa hivyo hivyo!Kama TFF wakinyamazia makosa ya usajili na uchezeshaji wachezaji batili wa vyura itakuwa sahihi.
Tulikua wapi kushinda mapema leo tutegemee Mtibwa atutafutie ubingwa?Ila simba wanajituma jamani. Wakati yanga wanamalizia ligi simba ndo kama imeanza ligi. Tuna imani na Mgunda.
Tulikusihi John please usivute bangi ukiwa hujala tena mchana jua kali tena chooni kusikokua na bati!Wadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Ni kwa sababu ya ujinga wao.InshaAllah!Na iwe hivyo.
NB;Hivi kwa nini SSC haijawahi kutundika mabango kwa kuwachabanga vyura 5-0,6-0,4-1 nk?
Tatizo la wanazi wa SIMBA ni kwamba walikosa furaha kwa kipindi kirefu sana timu ilikuwa na mwenendo dhaifu kwahiyo hata tabia zao za kuongea sana zilipotea na wakabaki na msongo wa mawazo, sasa baada ya kumkanda yule asiye na malengo jana wameanza kuonyesha tabia zao halisi za kujiona wao ndio kila kitu ila wanatakiwa kujua kuwa kwa msimu huu wawe Wapole wamechelewa, watengeneze timu yao kwa msimu ujao,waache kupotezea msongo kwa azamu maana jana si mashabiki, wachezaji wala viongozi baada ya ule mchezo ni kama walikuwa wanacheza fainali sasa wamechukua ubingwa. Wanaongea nonsense utadhani si watu wa mpira.Hawakuwahi kuwa wabunifu
Mtibwa 1 - 0 YangaStatistics za kupoteza msimu huu yanga zikoje kwqnza.
Ndo tuweze kukadiria probability
Njozi hizoWadau hamjamboni nyote?
Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania
Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kumbukeni pia kizazi cha miujiza bado hakijapotea hivyo yanga wanakwenda kupoteza mechi 3 na kusuluhu zilizobaki huku Simba wakishinda mechi zote zilizosalia.
Kila la kheri Wana Simba muwe na furaha, utulivu na amani
Wewe ulishindwa nini mara zote mbili mpaka uje umuangushie mzigo mtibwaMtibwa 1 - 0 Yanga
Dodoma Jiji 1-1 Yanga
Yanga 0 - 0 Tabora
Yanga 1 - 2 Prisons
Total Points 70.
Simba Win All games Total Points 71.
Nani bingwa hapo?
sijui sasa.Tulikua wapi kushinda mapema leo tutegemee Mtibwa atutafutie ubingwa?
jamaa umenichekesha sana eti yanini kutesa wachezaji...Ni mchezo mmoja tu dhidi ya prison ndo tunaweza kupata droo mingine yote ni kuwafunga tu.
Tena prison ni mchezo wa mwisho hatuna haja ya kwenda uwanjani wapewe point zote 3.
Ya nini kwenda kutesa miguu ya PACONE, AZIZ,YAO NA mikono ya DIARA