Naamka nakuta kaniblock

Naamka nakuta kaniblock

Aise kesho utupe mrejesho mkuu🤣🤣 wangu tangu ijumaa mpaka jpili ikifika saa mbili usiku simu inazima chaji🤣🤣🤣ila si ni life tu.
Eeh ni life tu babbii!😂

Chapa mwendo mzee usisubiri kuja kulia lia
 
Leo asubuh kani unblock na kuishia kusalimiana tu hakuna kuulizana kimetokea nini jana usiku
Kwani una mpango wa kuoa uyo? We kausha tu jilie vyako taratiiiibu [emoji23][emoji23]... Ila tafuta backup na ww acha ufala
 
Back
Top Bottom