United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
asa nin cha ajabu mchezaji kucheza rafu ivo vitu vipo kweny ulimwengu wa soka had ulaya ivo vitu vipo na vinatokea kila siku mfano umeona jana Caicedo alichomfanya Jack Grealish kweny game ya city na Chelsea Jack alichwapwa kiautu had alifanyiwa sub wakati anatoka nje alikua anamtukana matusi mda wote caicedo na Refa hakutoa kadi nyekundu wala nin mpira vita mpira sio burudani