Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,967
Dah hivi hii story ya huyu Dada wa kuitwa NAKAAYA SUMARI ( Mr Politician Song) ni ya kweli? Au anaongeza na maudambwiudambwi.....

Namcheki hapa muda huu via Zamaradi tv
413

nakaayasumari_1672520267.jpg
 
Kitambo 2012 hivi alikua anaojiwa na tv flani, sasa kuweka ile miguu kumiss kupandisha mmoja over mwingine kumbe ndani hajavaa boxer. Kwa aibu alipotea nadhani na kuimba akaacha.
Aaah sio kweli bhana!! Yeye anasema sababu ya kupotea kwenye mziki ni yule mzazi mwenzie ( amesema jina lake anaitwa MARIOO )
MARIO.jpg
 

Attachments

  • marioo3-1.jpg
    marioo3-1.jpg
    90.3 KB · Views: 11
Nimesikiliza.

Nimeona...

Zakusikia ongeza na zako
Anaonekana smart sana. Nimempenda bure! Mwenye namba yake please!!!!

MARIOO kumbe sio mtu mzuri hata kidogo! Kuanzia leo sifuatilii tena miziki yake....kumbe jamaa ni boya sana....kamnyanyasa sana dada wa watu bila hata huruma!
 
Back
Top Bottom