MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
- #21
Mkuu una maanisha hii au?bila shaka ile nyimbo ya kata simu tuko site huwenda alimtungia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una maanisha hii au?bila shaka ile nyimbo ya kata simu tuko site huwenda alimtungia
DP ya wazee Sio vijanaHajaongelea masuala ya DP Word kabisa! Anasema alikua Arusha,....huenda bado hajazipata habari za DP Word!
Nimecheka mpaka kaushuzi kwà mbaaaaaaaaliiii.... [emoji23] [emoji23]DP ya wazee Sio vijana
Kumbu kumbu tunazo ndaniKitambo 2012 hivi alikua anaojiwa na tv flani, sasa kuweka ile miguu kimiss kupandisha mmoja over mwingine kumbe ndani hajavaa boxer. Kwa aibu alipotea nadhani na kuimba akaacha.
Dah...MARIOO mtu mbad sana....sio poa kabisa asee!!!! Jamaa anaonekana mtata sana.....hapana ni hii
Yaani hili lishangazi linyanyaswe kisaikolojia na huyo dogo 😄Kasema , alikua anamnyanyasa kisaikolojia...kabla hajawa na Paula Kajala
Marioo mzazi mwenzie Nakaaya? Basi uyu Marioo atakua na 35+Aaah sio kweli bhana!! Yeye anasema sababu ya kupotea kwenye mziki ni yule mzazi mwenzie ( amesema jina lake anaitwa MARIOO ) View attachment 2677620
Unamjua lakini MARIOO, au unamsikia tu? Kwà taarifa Yako, ni mtu mbad sana na wale jamaa zake kina POSH!! ( ukizubaa hawachelewi kukupiga Mtungo.....Paula taarifa zao anazo )Yaani hili lishangazi linyanyaswe kisaikolojia na huyo dogo [emoji1]
mkuu hunijui sikujui lakini popote ulipo ubarikiwe wewe na kizazi chakoYaani hili lishangazi linyanyaswe kisaikolojia na huyo dogo 😄
Kivipi tena 😄 anyways super humbled 🙏mkuu hunijui sikujui lakini popote ulipo ubarikiwe wewe na kizazi chako
Oya, mbona mafumbo tena bob!!!mkuu hunijui sikujui lakini popote ulipo ubarikiwe wewe na kizazi chako
Tembea kifua mbele mkuu, wewe ni mtu mwema!Kivipi tena 😄 anyways super humbled 🙏
Mtu mwema kwa lipi 🙂Tembea kifua mbele mkuu, wewe ni mtu mwema!
kuna fumbo hapo?Oya, mbona mafumbo tena bob!!!
Sentensi Yako ina mimba , izalishe tukuelewe bob!!! Au we ndo MARIOO ni nini?kuna fumbo hapo?
Hata nikichangia pumba unanipaga like🤣🤣🤣Mtu mwema kwa lipi 🙂
Hamna pumba 😄 no news is bad newsHata nikichangia pumba unanipaga like🤣🤣🤣
Marioo Huyu Katoto kajuzi tu jamani!!Anaonekana smart sana. Nimempenda bure! Mwenye namba yake please!!!!
MARIOO kumbe sio mtu mzuri hata kidogo! Kuanzia leo sifuatilii tena miziki yake....kumbe jamaa ni boya sana....kamnyanyasa sana dada wa watu bila hata huruma!
Yaani nimechokaa hoiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani hili lishangazi linyanyaswe kisaikolojia na huyo dogo [emoji1]