MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
- #61
Daah salalaaaa....una balaa we bwege!Kitambo sana enz za billicanas
Enhe! Tuambie , Flavor yake ipoje Mzee Baba? Mint, strawberry, vanila, ushuzi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah salalaaaa....una balaa we bwege!Kitambo sana enz za billicanas
Sio kweli bhana. Nancy ana hela sana yule bi dada. Nimesikia anasema alienda Dar akiwa na 30k tu. Tena akasema...akawa anaweka dila kama pazia la dirisha.Nancy ni mdogo ake kabisa
Sio kweliMr politician~ilimpeleka Town huyu mdada.....Naona alipotoka chadema na kuhamia ciciem akapotea kabisa.
Hivi Ana undugu na Nancy Sumari?
Nancy ni mkubwa kwa mama la mama Nakaaya niliwahi kumsikia sehemuNancy ni mdogo ake kabisa
ulikojolea pazuri kweliX wangu
Daah salalaaaa....una balaa we bwege!
Enhe! Tuambie , Flavor yake ipoje Mzee Baba? Mint, strawberry, vanila, ushuzi....
Nataka kujiweka Mzee Baba!!Unazingua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani hao ni Ndugu? Au majina yamefanana tu?Nakaaya na Nancy nani mkubwaa??
Mtu mwema kwa lipi [emoji846]
Nafikiri ni ndugu.Kwani hao ni Ndugu? Au majina yamefanana tu?
Aaah sio kweli bhana. Mbona mwenzake hana kipara?Nafikiri ni ndugu.
Si maamuzi ya mtu,Aaah sio kweli bhana. Mbona mwenzake hana kipara?
Yule jamaa aliyenaye nancy alikuwa wa nakaayaSio kweli bhana. Nancy ana hela sana yule bi dada. Nimesikia anasema alienda Dar akiwa na 30k tu. Tena akasema...akawa anaweka dila kama pazia la dirisha.
Weee.. Aasubutu!...Nancy hawezi kamwe kumuacha Ndugu yake ateseke vile!
Imeenda wapi 😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume mnasifiana
Hiyo imeendaaaa
Brother hawaelewani wale wawili km chuo na paka ,walichukuliana bwana(ambae kamuoa Nancy Luca yule)Sio kweli bhana. Nancy ana hela sana yule bi dada. Nimesikia anasema alienda Dar akiwa na 30k tu. Tena akasema...akawa anaweka dila kama pazia la dirisha.
Weee.. Aasubutu!...Nancy hawezi kamwe kumuacha Ndugu yake ateseke vile!
Yule jamaa mbunge? Nasikia kuna siku alimtolea mtu bastola hadharani...Yule jamaa aliyenaye nancy alikuwa wa nakaaya
Nakaaya,Nancy,wa kiume afu Patricia kama sikosei.....!!!Nakaaya na Nancy nani mkubwaa??
Baba Mmoja mama mmojaKwani hao ni Ndugu? Au majina yamefanana tu?