reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Wa kuzaliwa wako wanne hawaNafikiri ni ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kuzaliwa wako wanne hawaNafikiri ni ndugu.
Ewaaaa uko vzrYule jamaa aliyenaye nancy alikuwa wa nakaaya
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Enzi hizo kuna picha alipiga amekaa kwenye kiti alijisahau akakaa vibaya alikuwa na kasketi kafupi ndani hajava kyupi. Ana bonge la kitumbua kimeumuka
Mmewe Luca neghestYule jamaa mbunge? Nasikia kuna siku alimtolea mtu bastola hadharani...
Aliwezana vipi na MARIOO kama ni mchoyo? Hiyo haijaenda bro?!Brother hawaelewani wale wawili km chuo na paka ,walichukuliana bwana(ambae kamuoa Nancy Luca yule)
Wameelewana miàka km 7 au sita hivi...Nancy kwao Kwa kua ndo ana Hela baasi the whole familia wanampenda sana , Nakaaya ni kama alitengwa flani hivi na familia yake,asemayo naweza kubali maana Kuna kipindi alipitia magumu sanaaa huyu dada
Nancy ana karohi flani hivi kauchoyo
Nazungumzia Nancy sio NakaayaAliwezana vipi na MARIOO kama ni mchoyo? Hiyo haijaenda bro?!
Like seriously?Baba Mmoja mama mmoja
Ok. Nilitaka kushangaa. Maana kudate na MARIOO sio mchezo Ndugu!!!Nazungumzia Nakaaya sio Nancy
Sasa kisa kuchukuliana bwana ndo amuache ndugu yake? Km huyo Luca si ashamuoa yeye Nancy, kwan kosa LA nakaaya nn? Huyo mumewe malayaa ndo ange deal nae,Brother hawaelewani wale wawili km chuo na paka ,walichukuliana bwana(ambae kamuoa Nancy Luca yule)
Wameelewana miàka km 7 au sita hivi...Nancy kwao Kwa kua ndo ana Hela baasi the whole familia wanampenda sana , Nakaaya ni kama alitengwa flani hivi na familia yake,asemayo naweza kubali maana Kuna kipindi alipitia magumu sanaaa huyu dada
Nancy ana karohi flani hivi kauchoyo
Kumbe Nakaaya ndo mkubwa??Nakaaya,Nancy,wa kiume afu Patricia kama sikosei.....!!!
Hivyo hivyo, wameelewa!!! [emoji23]
Meza ili pinduliwa kibabe kama jecha vilee 😄Ewaaaa uko vzr
Mie najua km nakaaya na Nancy ni mtu na mdogo wake, sasa huyu yeye kunikatisha nkaona nijibu kwa kudhahania,Wa kuzaliwa wako wanne hawa
100%sureLike seriously?
Wewe mjini umekuja juzi?....mbona unavurunda kwenye huu uzi.Aliwezana vipi na MARIOO kama ni mchoyo? Hiyo haijaenda bro?!
WEwe itakua washakutoboa speakerNimecheka mpaka kaushuzi kwà mbaaaaaaaaliiii.... [emoji23] [emoji23]
Kumbe Nancy ndo alimuiba Luca?? Sasa anamchukia Nakaaya kwa nn? Ndoa yao ilifanaa balaa, sijui Nakaaya alijisikiajee.Meza ili pinduliwa kibabe kama jecha vilee [emoji1]
African families si watjuaaa...Mtu kitu!!!Sasa kisa kuchukuliana bwana ndo amuache ndugu yake? Km huyo Luca si ashamuoa yeye Nancy, kwan kosa LA nakaaya nn? Huyo mumewe malayaa ndo ange deal nae,
Hivi ndugu wanakubali vipi Nancy amtenge Nakaaya na uwezo wa kumtunza anao?? Khaaah
It was simple marriage and classic nilipenda SanaKumbe Nancy ndo alimuiba Luca?? Sasa anamchukia Nakaaya kwa nn? Ndoa yao ilifanaa balaa, sijui Nakaaya alijisikiajee.
Ila mapenzii khaaah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]