cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sipati picha hilo varangati lake lilikuajee.Na beef bonge beef mpk wazazi kuingilia kati na wambea
Woiiiiih
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sipati picha hilo varangati lake lilikuajee.Na beef bonge beef mpk wazazi kuingilia kati na wambea
Unaona, wewe unasema una za chemba sijui. lakini hata hawa wawili hujui kama ni ndugu na hujui kuhusu wao wakati ni mastaa wakubwa, nawajua vizuri hawa dada zangu. But siwezi wazungumzia, nawaheshimu na kuwapendaSasa kisa kuchukuliana bwana ndo amuache ndugu yake? Km huyo Luca si ashamuoa yeye Nancy, kwan kosa LA nakaaya nn? Huyo mumewe malayaa ndo ange deal nae,
Hivi ndugu wanakubali vipi Nancy amtenge Nakaaya na uwezo wa kumtunza anao?? Khaaah
Kama vitu hamjui msiwe mnahukumuSasa km Nancy ndo alimpora bwana dada ake iwejee amchukie?kumbe Nancy ana roho mbayaa hivi? Mbna hafananiii?? Anaonekana so innocent kumbe chuki na kisirani kimemkaa rohoni, lol.
Hao ndugu wanakosea sanaa, wafanye kuwapatanishaa hao watu, Nancy sio wa kumuacha Nakaaya ataabike kisa Mr Neghest.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli urunguu mtamuu woiiiih.
Tupe umbea,....humu hawawezi kugundua kama ni wewe ndiye uliyesema.Unaona, wewe unasema una za chemba sijui. lakini hata hawa wawili hujui kama ni ndugu na hujui kuhusu wao wakati ni mastaa wakubwa, nawajua vizuri hawa dada zangu. But siwezi wazungumzia, nawaheshimu na kuwapenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisiwajue Nakayaa na Nancy?? Kuhusu kudate na bwana m1 najua, ila nilijua nakaaya ndo aliingilia penzi LA mwezie, kumbe Nancy ndo aliiba bwanaa.Unaona, wewe unasema una za chemba sijui. lakini hata hawa wawili hujui kama ni ndugu na hujui kuhusu wao wakati ni mastaa wakubwa, nawajua vizuri hawa dada zangu. But siwezi wazungumzia, nawaheshimu na kuwapenda
Nakaaya wa 1984?? [emoji1787][emoji1787]Ndio 1984 Nadhani hawajapishana Sana lakini maana Nancy Nadhani 1986 hivi
Sasa umbea wa Nancy na nakaaya hadi Mange alipost na watu wote wanajuaa, tenaa zamaniiiiiii. Kuna jipya lipi tenaaa??Tupe umbea,....humu hawawezi kugundua kama ni wewe ndiye uliyesema.
Andikaa vizuri uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama vizu hamjui msiwe mnahukumu
Uduguu hawa utakua huwajui vizuri maana unaunga tu story. Hata hivyo Nancy kwani ni millionea hadi amuinue dada yake? Maisha haya yaoneni kwenye media tu, uhalisia tunaujua wenyeweNancy aache roho mbayaa, amuinue dada ake, na huyo Luca kwann asijaribu kumshawishi mkewe wapatane na dada ake, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu Nancy atafanana na nakaaya ki uchumi? Hebu sema kwani? Hata km hatuyajui ya ndani but Nancy yuko vizuri kiuchumi zaidi ya Nakaaya. Hilo halikwepekiii.Uduguu hawa utakua huwajui vizuri maana unaunga tu story. Hata hivyo Nancy kwani ni millionea hadi amuinue dada yake? Maisha haya yaoneni kwenye media tu, uhalisia tunaujua wenyewe
Mnaongea uongo sana, Nancy amekutana na luca kupitia Kelvin yule alikua meneja wa tigo, voda , airtel.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisiwajue Nakayaa na Nancy?? Kuhusu kudate na bwana m1 najua, ila nilijua nakaaya ndo aliingilia penzi LA mwezie, kumbe Nancy ndo aliiba bwanaa.
Uduguui utuliageee nawee.
Nyie ndio mnaomlisha mange matango poriSasa umbea wa Nancy na nakaaya hadi Mange alipost na watu wote wanajuaa, tenaa zamaniiiiiii. Kuna jipya lipi tenaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] unajua hawa dada zangu nawapenda sana, naona watu wanawakosea heshimaAndikaa vizuri uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umbea utakupaliaa buree, khaaah
Yaan wee uwajue nakaaya na Nancy kuliko Mange?? Afu hii mbna ni ya zamani sanaaa, labda hukuwa mjini badoo.Nyie ndio mnaomlisha mange matango pori
Kusema "Lile lishangazi ni la kuendeshwa na Marioo"Mtu mwema kwa lipi 🙂
Unagoma ...au unabisha tu.... Hao ni ndugu kabisa .Sio kweli bhana. Nancy ana hela sana yule bi dada. Nimesikia anasema alienda Dar akiwa na 30k tu. Tena akasema...akawa anaweka dila kama pazia la dirisha.
Weee.. Aasubutu!...Nancy hawezi kamwe kumuacha Ndugu yake ateseke vile!
Unachanganya madesa ...Aliwezana vipi na MARIOO kama ni mchoyo? Hiyo haijaenda bro?!
Kwa hiyo nancy kumiliki bongo five, nyota na net sumari tayari ashakua milionea hadi kumsaidia dada yake? Nani kakuambia nakaaya ana maisha mabaya? Aliyumba kidogo sababu ya ajali aliyopata, ilimuweka muda mrefu kitandani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu Nancy atafanana na nakaaya ki uchumi? Hebu sema kwani? Hata km hatuyajui ya ndani but Nancy yuko vizuri kiuchumi zaidi ya Nakaaya. Hilo halikwepekiii.
Udugu shika adabu yako, mimi mjini hapa nina heshima zangu.Yaan wee uwajue nakaaya na Nancy kuliko Mange?? Afu hii mbna ni ya zamani sanaaa, labda hukuwa mjini badoo.
Kivipi bro? Ulimsikiliza jana kwenye kipindi? Alisema alikua ana nyanyaswa na mzazi mwenzake ...akamtaja jina ..akasema anaitwa MARIOOUnachanganya madesa ...