Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

African families si watjuaaa...Mtu kitu!!!
Mange aliwahi andika stori yote enzi za u turn blog.. she was living hell life Nakaaya na anajishusha Sana Kwa mdogo wake ila ndo hvyo Tena ndugu zetu tunawajua ..
Luca aliacha mke wa church kabisa akaoa Tena Nancy na ana watoto wakubwa tu na mkewe wa Kwanza
Nakaaya alimuachia mdogo mtu bwana mpk kaolewa ila dada mtu sijui ana shida gani
Sasa km Nancy ndo alimpora bwana dada ake iwejee amchukie?kumbe Nancy ana roho mbayaa hivi? Mbna hafananiii?? Anaonekana so innocent kumbe chuki na kisirani kimemkaa rohoni, lol.

Hao ndugu wanakosea sanaa, wafanye kuwapatanishaa hao watu, Nancy sio wa kumuacha Nakaaya ataabike kisa Mr Neghest.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli urunguu mtamuu woiiiih.
 
It was simple marriage and classic nilipenda Sana
Mwizi ni Nancy kamuibia dada Mtu bwana
Kaolewa ila si unamjua timu kujishtukia
Nancy aache roho mbayaa, amuinue dada ake, na huyo Luca kwann asijaribu kumshawishi mkewe wapatane na dada ake, lol
 
Sasa km Nancy ndo alimpora bwana dada ake iwejee amchukie?kumbe Nancy ana roho mbayaa hivi? Mbna hafananiii?? Anaonekana so innocent kumbe chuki na kisirani kimemkaa rohoni, lol.

Hao ndugu wanakosea sanaa, wafanye kuwapatanishaa hao watu, Nancy sio wa kumuacha Nakaaya ataabike kisa Mr Neghest.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli urunguu mtamuu woiiiih.
Sasa hv wamepatana ila hawako close kivillee
Sura sio moyo shogaaa
 
Back
Top Bottom