Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Kitambo 2012 hivi alikua anaojiwa na tv flani, sasa kuweka ile miguu kumiss kupandisha mmoja over mwingine kumbe ndani hajavaa boxer. Kwa aibu alipotea nadhani na kuimba akaacha.
Aaah sio kweli bhana!! Yeye anasema sababu ya kupotea kwenye mziki ni yule mzazi mwenzie ( amesema jina lake anaitwa MARIOO )
 

Attachments

  • marioo3-1.jpg
    90.3 KB · Views: 11
Nimesikiliza.

Nimeona...

Zakusikia ongeza na zako
Anaonekana smart sana. Nimempenda bure! Mwenye namba yake please!!!!

MARIOO kumbe sio mtu mzuri hata kidogo! Kuanzia leo sifuatilii tena miziki yake....kumbe jamaa ni boya sana....kamnyanyasa sana dada wa watu bila hata huruma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…