Naanza kampeni ya kupambana na wahenga wa JF

Naanza kampeni ya kupambana na wahenga wa JF

wakuu nimkujaga humu chitchat kule mmu wanaboa saasa nimeanza kampeni kabambe ya kuvikera kuviuzi vizee vyote vya mmu na chitchat vinavyotaka vipewe ustaraabu sasa mutanitambua hasa huyu ushimene sijua na wenzake vinajifanya vikongwe etii haya ndo nimeanzaga sasa muniwlewe tyu tena xana xana
Ungejifundisha kuandika kwanza,hao wahenga wala hawawezi kukuelewa na muandiko wako wakike kike.
 
wakuu nimkujaga humu chitchat kule mmu wanaboa saasa nimeanza kampeni kabambe ya kuvikera kuviuzi vizee vyote vya mmu na chitchat vinavyotaka vipewe ustaraabu sasa mutanitambua hasa huyu ushimene sijua na wenzake vinajifanya vikongwe etii haya ndo nimeanzaga sasa muniwlewe tyu tena xana xana
IMG-20170718-WA0025.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Xana. .....xaxa. ..kexho

Nkiona mtu anatumia hizo xxxx naanza kumtilia Shaka mtumiaji na bahat mbaya akiwa wa kiume
 
Muite tuyu simuogopi kabisa ananikeraga sana huyuuu simupendi kabisa
Mkuu, samahani lakini, mbona mi post zangu hujibu?[emoji15] [emoji15]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Back
Top Bottom