Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulembwike Kalumbu?!A leader without clear visions
Hahaha wewe ni wife material kwa kweliHaya Sawa,ngoja tumzike huyu Baba....tutasifiana tu mkuu muda utakuwepo mwingi tu
Taifa la wapumbavu, si bure Jomo Kenyata alimwambia Nyerere kwamba anatawala/anaongoza Maiti.Makonda kwa sasa anafanya kazi za Taasisi nyingi
View attachment 2900341
- Anasaidia Majukumu ya Wabunge
- Anasaidia Majukumu ya Mahakama
- View attachment 2900344
- Anasaidia Majukumu ya TAKUKURU
- Anasaidia Majukumu ya Polisi
- View attachment 2900343
- Anasaidia majukumu MENGI MENGINEYO
- ANAFICHUA MENGI YALIYOLALA
View attachment 2900342
Ha ha ha! Ndo Kama unavyoona.....yaan kuna mambo yanachekesha sana mkuuHahaha wewe ni wife material kwa kweli
Umeongea ukweli mtupu, Tanzania ni nchi ya kipumbavu SanaYale yale maigizo ya Magufuri,badala kuimarisha mifumo yeye alikuwa anafanya maigizo haya iko wapi sasa?
Naumia sana kuona kiwango cha ujinga kwenye hili Taifa.
Tena tunazidi haribikaTaifa la wapumbavu, si bure Jomo Kenyata alimwambia Nyerere kwamba anatawala/anaongoza Maiti.
Maigizo ya kupumbavu sana haya, kama huyo Makonda anaona kuna mapungufu kwenye baadhi ya sheria kwa nini asiwasiliane na Bosi wake ili baadhi ya sheria zifanyiwe marekebisho makubwa sana kuwabana watendaji wazembe na kuleta uwajibikaji? hilo usha msikia anazunguzia?
Haya ni maigizo na wapumbavu mnakuja humu kusapoti ujinga.Ni Tanzania pekee kwenye hii sayari ya Dunia utakutana na huu ujinga wa kijima.
Si wako wengi Bungeni? kwa nini wasipeleke miswaada ya kutungua sheria mpya ili basi zisaidie uwajbikaji? Kwa hio nchi iaendeshwa kwa maigizo ya Makonda hadi mwisho wa Dunia au hadi Makonda atakapo kufa?
Yale yale maigizo ya Magufuri,badala kuimarisha mifumo yeye alikuwa anafanya maigizo haya iko wapi sasa?
Naumia sana kuona kiwango cha ujinga kwenye hili Taifa.
Utadhani mleta mada ni mgonjwaHa ha ha! Ndo Kama unavyoona.....yaan kuna mambo yanachekesha sana mkuu
Sifa zikizidi lazima uonekane zimeruka kwa headUtadhani mleta mada ni mgonjwa
Shida ni ujinga wa watawaliwa, nchi ina wajinga mkuu, nchi imejaa raia wasio jitambua, ndio maana maigizo kama hayo yana fana sana kwa sababu ya ujinga wa Raia wa hili Taifa, Raia wangekuwa wanajitambua hao wakina Makonda wasingeweza fanya miagizo.Tena tunazidi haribika
Ulembwike Kalumbu?!
Na tunafanyiwa maigizo huku tunaumizwa.....nawaonea huruma wanangu nimewaleta katika ulimwengu usioeleweka KabisaShida ni ujinga wa watawaliwa, nchi ina wajinga mkuu, nchi imejaa raia wasio jitambua, ndio maana maigizo kama hayo yana fana sana kwa sababu ya ujinga wa Raia wa hili Taifa, Raia wangekuwa wanajitambua hao wakina Makonda wasingeweza fanya miagizo.
Mma lilino nndikubhuka....nanwile iwine mmajolo....Amaka ghakajapo.Jumapili njema kwakoTulembwike nkamu...tubhuke kwiputa kalumbu
Makonda kwa sasa anafanya kazi za Taasisi nyingi
View attachment 2900341
- Anasaidia Majukumu ya Wabunge
- Anasaidia Majukumu ya Mahakama
- View attachment 2900344
- Anasaidia Majukumu ya TAKUKURU
- Anasaidia Majukumu ya Polisi
- View attachment 2900343
- Anasaidia majukumu MENGI MENGINEYO
- ANAFICHUA MENGI YALIYOLALA
View attachment 2900342
Uanze sasa na kutazama Bongo muvi ili umuelewe vizuri.Makonda kwa sasa anafanya kazi za Taasisi nyingi
View attachment 2900341
- Anasaidia Majukumu ya Wabunge
- Anasaidia Majukumu ya Mahakama
- View attachment 2900344
- Anasaidia Majukumu ya TAKUKURU
- Anasaidia Majukumu ya Polisi
- View attachment 2900343
- Anasaidia majukumu MENGI MENGINEYO
- ANAFICHUA MENGI YALIYOLALA
View attachment 2900342
Muda utaongea.
A leader without clear visions