Bado kabisaπ π naomba unielekeze namna ya kufunga pm Joanah wangu.(niko siriazi kwenye hili)siku nyingi nimejaribu kufunga naona havifungiki.Hakuna aliyeomba namba ya kufanya muamala hadi sasa?
Ama maombi yanafanyika huko PM?
Mbona kwangu inaonesha kama PM yako imefungwaBado kabisaπ π naomba unielekeze namna ya kufunga pm Joanah wangu.(niko siriazi kwenye hili)siku nyingi nimejaribu kufunga naona havifungiki.
Ulipotelea wapi jamani..nilikuhamu ujue.gud to see u again
Heheheh kodi ya uroda wa usingiziπππMkuu, naona kila dalili utaishia "KOLOKOLONI" halafu gereza litakuita, TRA watakuomba "RISITI ZA MALIPO YA KODI" kwa kipato utakachovuna na huduma utakazotoa.
Si unajua TRA wameanzisha mpaka "KODI YA VITANDA", kwa lugha yao ya Malkia Elizabeti eti wanaiita "BED LEVY".
Ohoooo Asante Yesu wangu nilikuwa sijajiona...kichwa kilikuwa chaniuma kumbe nimefanikishaπππ₯π₯π₯Mbona kwangu inaonesha kama PM yako imefungwa
Mie nipo Chakorii wangu...ni vile tu mambo ni mengi kidogo...good to see you
Halafu nilikumiss
Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..ππwengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalakiππ..wengine ndo kama sisi tu naona maruweruweππbasi mradi tabu tu kuumizana vichwa.woooote salamu ziwafikie.
Hiyo ilikuwa ni salamu tuπ€π€ngoja ni rudi kwenye uzi.
Jaman msijesema sikusema mapema,,naanza kupokea zawadi,mialiko ya lanchi na dina siku hiyo..View attachment 1646515
π₯π₯π₯π₯π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈ
Hahaha last seen unaipata kwenye settings piaOhoooo Asante Yesu wangu nilikuwa sijajiona...kichwa kilikuwa chaniuma kumbe nimefanikishaπππ₯π₯π₯
Bado kufunga last seeπ©π©π©
Pole ndugu yangu maisha bila kuhangaika hayawezi kwenda kabisa..ππ
Mimi more aise ππππ
Loh!poleNimeshafanya mara mobu na kuna kitufe nilikibonyeza lakini wapi!
F****last seen
πππππ kione vileWe naeee kama ningekuwa sitaki uione kwani ningekwambia naeditiπ π π View attachment 1646587
Hebu niangalie kama bado ninalast seen.Hivi ndio wanafanyaje hii video?
Kama unatumia browser unaweza kuclick pale kwenye kama kimtu,then preference then utaona maelekezo
Mimi siioniHebu niangalie kama bado ninalast seen.
Nimekuwa nikifanya mara nyingi lakni nikiback ngoma bdo inaonyesha last seen .
Ngoja tuone leo kwa kuwa umeniambia wewe sasa.
Thanks ππ