Naanza kupokea zawadi na mialiko ya Christmas mapema

Naanza kupokea zawadi na mialiko ya Christmas mapema

Hakuna aliyeomba namba ya kufanya muamala hadi sasa?

Ama maombi yanafanyika huko PM?
Bado kabisa😅😅naomba unielekeze namna ya kufunga pm Joanah wangu.(niko siriazi kwenye hili)siku nyingi nimejaribu kufunga naona havifungiki.


Ulipotelea wapi jamani..nilikuhamu ujue.gud to see u again
 
Bado kabisa😅😅naomba unielekeze namna ya kufunga pm Joanah wangu.(niko siriazi kwenye hili)siku nyingi nimejaribu kufunga naona havifungiki.


Ulipotelea wapi jamani..nilikuhamu ujue.gud to see u again
Mbona kwangu inaonesha kama PM yako imefungwa

Mie nipo Chakorii wangu...ni vile tu mambo ni mengi kidogo...good to see you

Halafu nilikumiss
 

Attachments

  • 20201210_233059.jpg
    20201210_233059.jpg
    35.2 KB · Views: 1
Mkuu, naona kila dalili utaishia "KOLOKOLONI" halafu gereza litakuita, TRA watakuomba "RISITI ZA MALIPO YA KODI" kwa kipato utakachovuna na huduma utakazotoa.

Si unajua TRA wameanzisha mpaka "KODI YA VITANDA", kwa lugha yao ya Malkia Elizabeti eti wanaiita "BED LEVY".
Heheheh kodi ya uroda wa usingizi😂😂😂
 
Mbona kwangu inaonesha kama PM yako imefungwa

Mie nipo Chakorii wangu...ni vile tu mambo ni mengi kidogo...good to see you

Halafu nilikumiss
Ohoooo Asante Yesu wangu nilikuwa sijajiona...kichwa kilikuwa chaniuma kumbe nimefanikisha😁😁🥂🥂🥂

Bado kufunga last see😩😩😩

Pole ndugu yangu maisha bila kuhangaika hayawezi kwenda kabisa..😊😊

Mimi more aise 😘😘😘😘
 
Tukutane Dubai hapo tukale Kuku za Xmas na mwaka mpya ila kula huingii bila kuwa na cheti cha kuonysha huna COVID.
Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..😊😊wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki😁😁..wengine ndo kama sisi tu naona maruweruwe😆😆basi mradi tabu tu kuumizana vichwa.woooote salamu ziwafikie.

Hiyo ilikuwa ni salamu tu🤓🤓ngoja ni rudi kwenye uzi.

Jaman msijesema sikusema mapema,,naanza kupokea zawadi,mialiko ya lanchi na dina siku hiyo..View attachment 1646515

🥂🥂🥂🥂🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Ohoooo Asante Yesu wangu nilikuwa sijajiona...kichwa kilikuwa chaniuma kumbe nimefanikisha😁😁🥂🥂🥂

Bado kufunga last see😩😩😩

Pole ndugu yangu maisha bila kuhangaika hayawezi kwenda kabisa..😊😊

Mimi more aise 😘😘😘😘
Hahaha last seen unaipata kwenye settings pia
 
Tukutane Dubai hapo tukale Kuku za Xmas na mwaka mpya ila kula huingii bila kuwa na cheti cha kuonysha huna COVID.
Ninavyovyeti vyote hadi vya clinic BAK
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Loh!pole
Nawish ingekuwepo voice note nikutumie maelekezo
Si unaweza kuchukua video au chochote kupitia simu yako??fanya hivi kama ninavyofanya mimi sasa hivi the ni nitumie madame
 
Hivi ndio wanafanyaje hii video?

Kama unatumia browser unaweza kuclick pale kwenye kama kimtu,then preference then utaona maelekezo
Hebu niangalie kama bado ninalast seen.
Nimekuwa nikifanya mara nyingi lakni nikiback ngoma bdo inaonyesha last seen .

Ngoja tuone leo kwa kuwa umeniambia wewe sasa.

Thanks 💗😘
 
Hebu niangalie kama bado ninalast seen.
Nimekuwa nikifanya mara nyingi lakni nikiback ngoma bdo inaonyesha last seen .

Ngoja tuone leo kwa kuwa umeniambia wewe sasa.

Thanks 💗😘
Mimi siioni
 
Back
Top Bottom