Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. Amin
1000002235.jpg
 
Hayatosaidia chochote.

Msumbiji hakukaliki
Sudan wanauwana
Darful na West Nile Kuna vita ya reja reja
Libya kitimutimu
Kongo vita isiyo kwisha
Tchad na vikundi vya Imani Kali
Mali na vikundi vya Imani Kali
Burkinafaso nako hakueleweki
Mali mshikemshike
Somalia hakujapoa.

Ila wewe unaiwaza Palestina tu ambao hata ndugu zao Waarabu wameshindwa kuwasaidia🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Achana nayo kuna maombi ukiomba unachoomba kinakurudia mwenyewe
Soma Biblia atakayeilaani Israel au mwisrael atalaaniwa

Kukaa upande wa maadui wa Israel kwenye maombi kila utakachoomba dhifi ya mwisrael yeyote kibaya kikurudie na kukupata wewe mwenyewe kwa jina la Yesu

Chochote kibaya utakachowatakia kikupate mwenyewe kwa Jina la Yesu
 
Hayatosaidia chochote.

Msumbiji hakukaliki
Sudan wanauwana
Darful na West Nile Kuna vita ya reja reja
Libya kitimutimu
Kongo vita isiyo kwisha
Tchad na vikundi vya Imani Kali
Mali na vikundi vya Imani Kali
Burkinafaso nako hakueleweki
Mali mshikemshike
Somalia hakujapoa.

Ila wewe unaiwaza Palestina tu ambao hata ndugu zao Waarabu wameshindwa kuwasaidia🤣🤣🤣🤣🤣
Hili la kua kipofu maeneo yenye VITA kama hapa kwa jirani zetu Zaire/DRC limenishangaza, why only in Palestine? Stupid
 
Ukiwa unaomba umwambie Mungu awafanyie wepesi wafuatao:

Watanzania waliokufa kwenye ugaidi wa soma kutokanana na jihad ya kitapeli

Wayahudi waliokufa iraq kutokana massacre iliofanyika

Umkubushe damu iliomwagika kutokana na ukatili ww hamas.

Ukumbuke wanachi waliooliwa na hamas kwa sababau tu hawaipendi hamas

Ukumbuke wakristo wa armenia walioluliwa uturuki kutokana na dini

TOFAUTI NA HAPO, WEWE NI BANDO ZA SHEMEJI ZA BURE NDIO UNAKUJA KUZITAPIKA HUMU
 
Hayatosaidia chochote.

Msumbiji hakukaliki
Sudan wanauwana
Darful na West Nile Kuna vita ya reja reja
Libya kitimutimu
Kongo vita isiyo kwisha
Tchad na vikundi vya Imani Kali
Mali na vikundi vya Imani Kali
Burkinafaso nako hakueleweki
Mali mshikemshike
Somalia hakujapoa.

Ila wewe unaiwaza Palestina tu ambao hata ndugu zao Waarabu wameshindwa kuwasaidia🤣🤣🤣🤣🤣
We kweli ni mwanaharamu ila nitakupa elimu

Tofauti ya migogoro yote ulioitaja na Palestina ni kua, Mauaji ya Palestinians yanahalalishwa na kushabikiwa, hasa wakristo wakiamini Israel ni taifa teule na wapalestina ni wavamizi hivyo, wengine wakiwaita magaidi ili kuhalalisha mauaji yao na baadhi ya nchi kama USA rais wa nchi anaunga mkono na kuwapa go ahead na siraha nzito.

Migogoro yote ulotaja hakuja anaeshabikia, kama inaakili utaelewa kama huna sawa endelea na unachoamini
 
Achana nayo kuna maombi ukiomba unachoomba kinakurudia mwenyewe
Soma Biblia atakayeilaani Israel au mwisrael atalaaniwa

Kukaa upande wa maadui wa Israel kwenye maombi kila utakachoomba dhifi ya mwisrael yeyote kibaya kikurudie na kukupata wewe mwenyewe kwa jina la Yesu

Chochote kibaya utakachowatakia kikupate mwenyewe kwa Jina la Yesu
Kwahilo mauaji ya wapalestina ni halali mana anaeyafanya hatakiwi kupingwa ukimpiga unalaaniwa?
Hapa ndio wagalatia uchwala wanaponichosha, bora Christians wakizungu wengi ni waelewa.
 
Kwahilo mauaji ya wapalestina ni halali mana anaeyafanya hatakiwi kupingwa ukimpiga unalaaniwa?
Hapa ndio wagalatia uchwala wanaponichosha, bora Christians wakizungu wengi ni waelewa.
Kwa hio mauaji waliofanya hamas ya mamia ya wayahudi ni halali

Mauaji iran iliofanya zidi ya waandamanaji wasiotaka utapeli.

Ubakaji unaofanywa na magenge ya kiarabu huko london ni halali?

Aisee dogoo, aliekutorosha milembe akurudishe
 
Hili la kua kipofu maeneo yenye VITA kama hapa kwa jirani zetu Zaire/DRC limenishangaza, why only in Palestine? Stupid
Hasira nyingi kumbe sababu ya ujinga,
Umekuta wapi watu wanahalalisha mauaji ya Congo kama wanavyohalalisha mauaji ya wapalestina kwa kigezo kua ile ni Ardhi ya Israel waliopewa mababu zao? Kuna kiongozi yoyote anaefanya yale anayoyafanya Trump kwa Netanyahu ambae ana warrant ya ICC?

UTUMIE AKILI.
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Wachokoze wenyewe kisha liwapate la kuwapata wahirika wake muanza kuwatafutia huruma... Mungu hajibu dua za namna hiyo mkuu.
 
Huyo Mungu Hana macho Hadi umuombe awasaidie wapalestina


Yani wewe uko huku Dunia ya tatu ambapo waarabu wanakuona nyani uwe na uwezo wa kuwaombea Kwa Mungu.😀
Siwaombei waarabu, nawaombea binadamu wanaoteseka kisha mateso yao kuhalalishwa kwa kigezo kua "Israel ni taifa teule", " Eneo wanaloishi wapalestina waliahidiwa waisrael" hivyo wapalestina hawana haki ya kukaa pale na mauaji yao oushabikiwa
 
Back
Top Bottom