Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Maombi hayawezi kusaidia isipokuwa mapambano na kuungwa mkono kwa dhati na wengine.
yani kumfanya adui naye asiwe na amani. Ikitokea kwa mfano vita anazopigana Marekan naye mabomu yakawa yanafika kwake, atawaza mara mbili kupigana hizo vita kwa sababu kwenye vita zote battle ground huwa ni kwingine si kwake.
 
Naungana nawe, Ramadhan hii tuwakumbuke ndugu zetu katika Dua zetu, they’ve had enough.
Kila nikiangalia video za Unyama walko ufa ya Hamas huko Israel Naona Kama Israel wana huruma sana kwa binadamu. Walitakiwa wawe wameifuta Gaza na hawakutakiwa kuwa na mkataba wa kusitisha mapigano na nguruwe kama Hamas walitakiwa kuwafyeka wote Tatizo Lao wanalea pimbi na Mkia wake!!! Kama walivyofanya Hamas huko Israel Israel nayo ingefanya mara Mia huko Gaza ili kukomesha Ugaidi duniani,.
Wajinga wote wanaajua chazo cha vita ni October 7. Unahaki ya kuendelea kua mjinga.
wajinga na wapumbavu wote husingizia “Haikuanza Oct 07,2023” ili tu kuhalalisha mauji yaliyofanywa na Magaidi wa Hamas kwa wayahudi. Hata Kama vita haikuanza Oct 07,2023 ndiyo iwe halali kwa Hamas kubaka,kutesa,kuteka na kuua watu Oct 07,2023? Acheni ujinga wenu!!!
 
wewe ni MAT*KO kama mat*ko mengine tu, yani waAfrica wenzako wanateseka kila pembe ya bara hili, eti wewe unawaonea huruma waarabu palestina watoto wa kijakazi, au wanakuf*raga nini!
 
Siwaombei waarabu, nawaombea binadamu wanaoteseka kisha mateso yao kuhalalishwa kwa kigezo kua "Israel ni taifa teule", " Eneo wanaloishi wapalestina waliahidiwa waisrael" hivyo wapalestina hawana haki ya kukaa pale na mauaji yao oushabikiwa
Congo hakuna wanaoteseka?Au wao hawahitaji kuombewa?
 
Hayatosaidia chochote.

Msumbiji hakukaliki
Sudan wanauwana
Darful na West Nile Kuna vita ya reja reja
Libya kitimutimu
Kongo vita isiyo kwisha
Tchad na vikundi vya Imani Kali
Mali na vikundi vya Imani Kali
Burkinafaso nako hakueleweki
Mali mshikemshike
Somalia hakujapoa.

Ila wewe unaiwaza Palestina tu ambao hata ndugu zao Waarabu wameshindwa kuwasaidia🤣🤣🤣🤣🤣
Huu ndiyo ujinga wa ngozi nyeusi waarabu wenzao hata kuwapokea tu hawawataki kabisa kwa sababu ya tania zao mbaya harafu linatokea limatumbi lenzangu linawakumbatia magaidi inatia huruma sana!!
 
Waambie waachie mateka. ohoo wataisha kizembe hao Wapalee. Mambo yadua hayana nafasi saiv. Nimwendo wa mwenyenguvu mpishee ata Kagame goma haijaiteka kwa dua😂
 
Siwaombei waarabu, nawaombea binadamu wanaoteseka kisha mateso yao kuhalalishwa kwa kigezo kua "Israel ni taifa teule", " Eneo wanaloishi wapalestina waliahidiwa waisrael" hivyo wapalestina hawana haki ya kukaa pale na mauaji yao oushabikiwa
Wewe unaonekana umejazwa ujinga kichwani mwako soma historia vizuri!! Je Wajua kuwa kuna wapalestina zaidi ya Milion 2 ambao ni raia Kamili wa Israel wana haki sawa na wayahudi? Je wajua kuwa kuna waarabu wanaendesha taasisi mbalimbali huko Israel? Je Wajua kuna waarabu,waafrika katika jeshi la Israel??. Kama hujui sema tukupe ushahidi acha kumezeshwa chuki na waarabu utakuja kuumia bure!!
 
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Ndio maana hata uhangaike vipi kumuomba huyo Mungu. Nothing will happen.

Hapa duniani ni survival for the fittest.

Ukiwa mnyonge, legelege na goigoi lazima uonewe na usipokaa makini unafutiliwa mbali.

Duniani ni struggle for existence.

Hakuna Mungu wa kukuhurumia.
 
1. Sio suala la uislam, mana wapo wapalestina wakristo, so huyo unaeonesha kwenye tweet anaweza kua coward vile vile

2. Kana wametokea misri so wanahaki ya kuuwa?
3. Hapo waalipovamia waliwatoa watu gani?
Unabwabwaja ovyo tu mimi Sijaona Logic yako hapo!!
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Israel ni rungu la kuonyesha nguvu za Mungu mkuu dhidi ya vimiungu vidogovidogo na visabamu na vimiungu jua na nyota na vimiungu Alshabab na vimiungu vyote unavyovijua .

Israel isingefanikiwa kuwashinda maadui zake leo hii Biblia ingekuwa ni kijitabu tu kama katiba za vinchi vya hovyo hovyo .

Mungu mkuu ndiye aliyekua amemuumba Firauni au Faraoh ,Mungu huyo huyo akampa nguvu kubwa na mafanikio makubwa ya kuitawala na kuipa misaada ya chakula na fedha dunia kwa zama zake kupitia Mjumbe wake ,Yusuf mtoto wa Yakobo ,mjukuu wa Isaka .
Mungu huyo huyo akamtumia Musa kuwatoa wana wa Israel kwenye Nchi ya Misri na kuwapeleka Kaanani au Israel ya Leo . Eneo hilo alilonunua Ibrahimu kwa ajili ya wajukuu zake .

Vita kubwa ya shetani ni kuhakikisha kwamba imani ya Kikristo haimtaji Mungu wa Israel Muumba wa vyote mtawala wa vyote

Hapo ni vita kati ya Mungu muumba na miungu iliyoasi na kutaka kujikweza juu ya Muumba .

Kwa hiyo
 
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Ndio maana hata uhangaike vipi kumuomba huyo Mungu. Nothing will happen.

Hapa duniani ni survival for the fittest.

Ukiwa mnyonge, legelege na goigoi lazima uonewe na usipokaa makini unafutiliwa mbali.

Duniani ni struggle for existence.

Hakuna Mungu wa kukuhurumia.
Hiyo sasa ni imani yako binafsi!!
 
Profile ulioweka wainekana mtu mzima ila kichwani ni takataka
  1. Mgogoro haujaanza October 7
  2. Israel walia raia wao October 7 kwa kuruhusu utumiaji wa Hannibal directive( kama hujui kasome google)
  3. Hakuna raia aliebakwa na Hamas
  4. Israel inashikilia maelfu ya wapalestina mateka bila ya kua na kesi maalum.
  5. Uwe inaficha ujinga wako.
Sasa mbona ujinga wako unatembea umeuweka kwenye sinia na kujitwisha barabarani ndugu mfungaji?
 
Eti kwa sababu wapalestina ni waislamu wenzake!!! Kwa hiyo haoni ubaya wowote kwa hao waislamu wenzake wala yeye hatambui kuwa Oct 07,2023 wao ndiyo waliichokoza Israel kwa kuvamia na kuua watu 1,200 na wengine kuwabaka na kuwateka nyara 251 na kuwapeleka Gaza. Hilo huyu pimbi halijui kabisa!!!
Tena na Watanzania wenzetu 2 wakiwa inclusive. Pumbafu kabisa, mateso au raha za Wapalestina sisi wala hazitu athiri lakini kinacho tokea Congo/Zaire kinatuathiri sisi 1 kwa 1 cause tutaanza tena kupokea wakimbizi halafu na NHCR USA kama kawaida, kagoma kutoa msaada huko so hu utakua mzigo wetu; Wapalestina?
 
Hasira nyingi kumbe sababu ya ujinga,
Umekuta wapi watu wanahalalisha mauaji ya Congo kama wanavyohalalisha mauaji ya wapalestina kwa kigezo kua ile ni Ardhi ya Israel waliopewa mababu zao? Kuna kiongozi yoyote anaefanya yale anayoyafanya Trump kwa Netanyahu ambae ana warrant ya ICC?

UTUMIE AKILI.
Wenye warant ya ICC wapo wengi, inakuuma nini kwa uswahiba wa Netanyahu na Trump (or USA na Israel)? Putin pia anayo hiyo warrant, je hasafiri? Omari Ali Bashiri muislam mwenzao na Palestine as well anayo. Bado nasisitiza, kinakuuma nini wewe kwa maauji lakini hujisikii vibaya kwa vifo vya watu wanao kuhusu? Dini zetu zisiwe na nguvu kuliko udugu wetu, black people hatuwezi kua na upendo mkubwa kwa waarabu kuliko our fellow blacks, again the same Arabs ambao wanaujua Uislam vizuri kuliko sisi hawawajali Palestians kuliko sisi, why? Quran imeandikwa kwa lugha yao and hence, they know it better than us.
 
Profile ulioweka wainekana mtu mzima ila kichwani ni takataka
  1. Mgogoro haujaanza October 7
  2. Israel walia raia wao October 7 kwa kuruhusu utumiaji wa Hannibal directive( kama hujui kasome google)
  3. Hakuna raia aliebakwa na Hamas
  4. Israel inashikilia maelfu ya wapalestina mateka bila ya kua na kesi maalum.
  5. Uwe inaficha ujinga wako.
Hiyo hoja yako namba 3. Hakuna raia aliyeua kwa na Magaidi wa Hamas imenishangaza sana. Nijuavyo kwa waislamu NGONO wameitanguliza sana mpaka wakaahidiwa i kiwa wanakufa wakifanya UGAIDI watapewa Mabikira 72 wawabikiri kwa hiyo kwa Muislam akikosa NGONO ameruhusiwa kulała na Mbuzi au kondoo. Hebu fikiria mwenyewe amepata mateka si tendo la kubaka kwako ni la kufikia tu Ngono kwa waislamu ni Pete na kidole
 

Attachments

  • IMG_1650.jpeg
    IMG_1650.jpeg
    70.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom