Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Kwa hio mauaji waliofanya hamas ya mamia ya wayahudi ni halali

Mauaji iran iliofanya zidi ya waandamanaji wasiotaka utapeli.

Ubakaji unaofanywa na magenge ya kiarabu huko london ni halali?
Wajinga wote wanaajua chazo cha vita ni October 7. Unahaki ya kuendelea kua mjinga.
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
1 Timotheo 5:8 Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini; sasa ndugu hujali amani na umasikini wa baadhi ya Watanzania wenzako na Wafrika wenzako... unapate ujasiri wa kuwajali wapalestina?

Kuna mwimbaji mmoja anasema, ibada njema inaanzia nyumbani... sasa nakuuliza, Palestine ndo nyumbani kwako?
 
Hayatosaidia chochote.

Msumbiji hakukaliki
Sudan wanauwana
Darful na West Nile Kuna vita ya reja reja
Libya kitimutimu
Kongo vita isiyo kwisha
Tchad na vikundi vya Imani Kali
Mali na vikundi vya Imani Kali
Burkinafaso nako hakueleweki
Mali mshikemshike
Somalia hakujapoa.

Ila wewe unaiwaza Palestina tu ambao hata ndugu zao Waarabu wameshindwa kuwasaidia🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Trump anachotaka kuwafanyia Wapalestina na haya uliyoandika
 
Hili la kua kipofu maeneo yenye VITA kama hapa kwa jirani zetu Zaire/DRC limenishangaza, why only in Palestine? Stupid
Eti kwa sababu wapalestina ni waislamu wenzake!!! Kwa hiyo haoni ubaya wowote kwa hao waislamu wenzake wala yeye hatambui kuwa Oct 07,2023 wao ndiyo waliichokoza Israel kwa kuvamia na kuua watu 1,200 na wengine kuwabaka na kuwateka nyara 251 na kuwapeleka Gaza. Hilo huyu pimbi halijui kabisa!!!}
 
Hili la kua kipofu maeneo yenye VITA kama hapa kwa jirani zetu Zaire/DRC limenishangaza, why only in Palestine? Stupid
Eti kwa sababu wapalestina ni waislamu wenzake!!! Kwa hiyo haoni ubaya wowote kwa hao waislamu wenzake wala yeye hatambui kuwa Oct 07,2023 wao ndiyo waliichokoza Israel kwa kuvamia na kuua watu 1,200 na wengine kuwabaka na kuwateka nyara 251 na kuwapeleka Gaza. Hilo huyu pimbi halijui kabisa!!!
 
Eti kwa sababu wapalestina ni waislamu wenzake!!! Kwa hiyo haoni ubaya wowote kwa hao waislamu wenzake wala yeye hatambui kuwa Oct 07,2023 wao ndiyo waliichokoza Israel kwa kuvamia na kuua watu 1,200 na wengine kuwabaka na kuwateka nyara 251 na kuwapeleka Gaza. Hilo huyu pimbi halijui kabisa!!!
Profile ulioweka wainekana mtu mzima ila kichwani ni takataka
  1. Mgogoro haujaanza October 7
  2. Israel walia raia wao October 7 kwa kuruhusu utumiaji wa Hannibal directive( kama hujui kasome google)
  3. Hakuna raia aliebakwa na Hamas
  4. Israel inashikilia maelfu ya wapalestina mateka bila ya kua na kesi maalum.
  5. Uwe inaficha ujinga wako.
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Wewe muislamu zinduka hapo hamna mtu wa kuonewa huruma; wao jamaa ni mashetani, halafu siri ndiyo zinafichuka hao wote niWamisri waliovamia nchi ya watu. Arafat alizaliwa Cairo Sinwar naye ni Mmisri, Ismail Haniyeh naye pia

View: https://x.com/VividProwess/status/1889494635120394741
 
Eti kwa sababu wapalestina ni waislamu wenzake!!! Kwa hiyo haoni ubaya wowote kwa hao waislamu wenzake wala yeye hatambui kuwa Oct 07,2023 wao ndiyo waliichokoza Israel kwa kuvamia na kuua watu 1,200 na wengine kuwabaka na kuwateka nyara 251 na kuwapeleka Gaza. Hilo huyu pimbi halijui kabisa!!!
Hii inaweza kusaidia na watoto au wajukuu zako.

IDF ordered Hannibal directive on October 7 to prevent Hamas taking soldiers captive
1000002811.jpg
 
Wewe muislamu zinduka hapo hamna mtu wa kuonewa huruma; wao jamaa ni mashetani, halafu siri ndiyo zinafichuka hao wote niWamisri waliovamia nchi ya watu. Arafat alizaliwa Cairo Sinwar naye ni Mmisri, Ismail Haniyeh naye pia

View: https://x.com/VividProwess/status/1889494635120394741

1. Sio suala la uislam, mana wapo wapalestina wakristo, so huyo unaeonesha kwenye tweet anaweza kua coward vile vile

2. Kana wametokea misri so wanahaki ya kuuwa?
3. Hapo waalipovamia waliwatoa watu gani?
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Unaomba kwa imani ya Mungu gani?
Sudan huwasikii wanavyouana? Au hao siyo waislam?
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Barikiwa, usisahau Congo pia
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Naungana nawe, Ramadhan hii tuwakumbuke ndugu zetu katika Dua zetu, they’ve had enough.
 
Hili la kua kipofu maeneo yenye VITA kama hapa kwa jirani zetu Zaire/DRC limenishangaza, why only in Palestine? Stupid
Eti kwa sababu wapalestina ni waislamu wenzake!!! Kwa hiyo haoni ubaya wowote kwa hao waislamu wenzake wala yeye hatambui kuwa Oct 07,2023 wao ndiyo waliichokoza Israel kwa kuvamia na kuua watu 1,200 na wengine kuwabaka na kuwateka nyara 251 na kuwapeleka Gaza. Hilo huyu pimbi halijui kabisa!!!
 
Naungana nawe, Ramadhan hii tuwakumbuke ndugu zetu katika Dua zetu, they’ve had enough.
Mnasumbuka bure na Magaidi ya kiarabu yaliyoichokoza Israel kwa kuivamia na kuua watu 1,200 na kubaka wanawake na kuteka wanawake na watoto 251 kinyume kabisa na sheria za umoja wa mataifa na kinyume na dini ya kiislamu harafu nyinyi mnajitoa ufahamu na kuombea ujinga na Upumbavu!!
 
Ungeanza mfungo wako juu ya watekaji wasiojulikana wanaoua watanzanganyika wenzako na viongozi walio nyuma yao ungekuwa umefanya jambo la maana sana.
 
Profile ulioweka wainekana mtu mzima ila kichwani ni takataka
  1. Mgogoro haujaanza October 7
  2. Israel walia raia wao October 7 kwa kuruhusu utumiaji wa Hannibal directive( kama hujui kasome google)
  3. Hakuna raia aliebakwa na Hamas
  4. Israel inashikilia maelfu ya wapalestina mateka bila ya kua na kesi maalum.
  5. Uwe inaficha ujinga wako.
Acha ujinga na upumbavu nakujibu kama ifuatavyo-
1. Hata Kama mgogoro hamują za Oct 07,2023 isiwe sababu ya magaidi hao kuua watu 1,200 na kuteka nyara wanawake na watoto 251. Kabla ya Oct 07,2023 Gaza ilikuwa vizuri baada ya uvamizi na mauaji ya kutisha Oct 07,2023 ndiko kulikoifanya Gaza iwe hivyo ilivyo sasa na kusababisha viongozi wake wote kuuliwa akiwemo Ismail Hanniyeh na Yahya Sinwar. Hata magaidi wa Hezbollah waliowaunga mkono kwenye uvamizi huo viongozi wao karibu wote sasa hivi hatunao na Hezbollah wamepigishwa magoti.
2. Nimekuambia Acha ujinga na Upumbavu wako kuaminisha watu ujinga!! Uliona wapi mtu aue watu wake mwenyewe? Kwa hiyo kwa akili yako kisoda Israel inaweza kuua watu wake? Acha ujinga najua wewe unafuata mihemko ya waarabu wanavyopigwa na kupiga Kelele na kubwabwaja Genocide mara ethinic cleansing. Wanafanya hizo ili tu wapate support Toka ujmują za ki Mataifa lakini hakuna ukweli wowote Kuhusu madani yao hayo na wewe Mmatumbi mwenzangu unarukia gari kwa mbele bila kujua, Kama Una akili sawasawa jiulize Jeshi la Israel linaweza kuua watu wake lenyewe na kuwaacha magaidi walioivamia?
3. Akili za kijinga kabisa kuamini Hamas hawa kubaka mtu kwa kuwaonaje wewe na kuwapigia kifua kuwa hawakubaka watu? Au kwa sababu ni waislamu wenzako? Uli taka uletewe video inayoonyesha Wakibaka? Kuli gana na mazingira yaliyotokea Oct 07,2023 ulitarajia nani akalie kupiga picha za video kuonyesha unyama wao kwa wayahudi? Ushahidi wa waliosema na madaktari waliopima miili ya wanawake waliuwawa wewe huwezi kuamini maana kwako Hamas ni malaika wateule.
4. Ni ujinga na upumbavu kubwabwaja kuwa kuna maelfu ya mateka huko Israel na unadai hawana kesi maalum, hii inaonyesha wazi ulivyo mjinga na mpumbavu kwa taarifa yako huko Israel hakuna mateka hata mmoja huko kuna wafungwa waliofungwa kwa Mąkosa mbalimbali ikiwemo Ugaidi na mauaji ya watu wasio na hatia. Kwa taarifa yako tu Magaidi wa Hamas ndiyo wana mateka waliowateka Oct 07,2023 wala si Israel kama unavyoaminishwa na waarabu wako.
5. Wewe ndiyo unatakiwa ufiche ujinga na upumbavu wako inawezekana wapi Mateka akashitakiwa kwa kosa? Maana wewe umelisema hilo kwenye hoja yako namba 4 Najua Una mihemko ya kidini wala huangalii ukweli na uhalisia wa mambo. Ninyi endeleeni kujitoa ufahamu na kujitia kimbelembele na viherehere vya kijinga. Lakini Israel jumamosi hii mchana Kama magaidi wa Hamas hawataweza kuwa hii mateka waliokuwa Wame Wataka basi kitakachotpkea kwao wewe hutakijua na maombi yenu yatakuwa bure kabisa maana huyo mungu wenu hawezi kusikia maombi ya kuombea Magaidi,Wabakaji na watekaji.
 
Back
Top Bottom