Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Hichi ndicho walikuwa wanakistahili wapalestina. Huwezi kuwa na akili timamu ukavamie nchi ya watu, ukaue, ubake na uchukue mateka kuleta Gaza.
Mliposikia Israel imevamiwa na HAMAS, wewe na Faizafoxy mlikuwa mnashangilia na kukata kiuno. Kiukweli mimi siwaoni huruma hao wapalestina maana huwezi kuanzisha vita ambayo huiwezi. Nafikiri wamejifunza na inatakiwa wapalestina waende Saudia Arabia, Jordan, Misri na Lebanon wakatengeneze nchi yao huko. Si mlisema HAMAS wameshinda vita? Sina msaada nao
 
Hayatosaidia chochote.

Msumbiji hakukaliki
Sudan wanauwana
Darful na West Nile Kuna vita ya reja reja
Libya kitimutimu
Kongo vita isiyo kwisha
Tchad na vikundi vya Imani Kali
Mali na vikundi vya Imani Kali
Burkinafaso nako hakueleweki
Mali mshikemshike
Somalia hakujapoa.

Ila wewe unaiwaza Palestina tu ambao hata ndugu zao Waarabu wameshindwa kuwasaidia🤣🤣🤣🤣🤣
Akiwahiwa Anapona
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Ndugu zako Wakuwahi Utapona
 
Ndio maana Afrikaners tunaitwa sokwe sio kwa akilia mavi kama hizi. Congo hapo maelfu wanakufa unaweza Palestine
 
Achana nayo kuna maombi ukiomba unachoomba kinakurudia mwenyewe
Soma Biblia atakayeilaani Israel au mwisrael atalaaniwa

Kukaa upande wa maadui wa Israel kwenye maombi kila utakachoomba dhifi ya mwisrael yeyote kibaya kikurudie na kukupata wewe mwenyewe kwa jina la Yesu

Chochote kibaya utakachowatakia kikupate mwenyewe kwa Jina la Yesu
Mwenyewe Boya Israel unayo isoma kwenye Bible sio awa Boyaa ww awa Wametoka ulaya na Wana uraia pacha %80 waisrael wanatokea Marekani Poland Turkey Uzbekistan France UK

haaaa tangu lini Izo nchi zikaleta Watakatifu miboya hii mzigo kwa taifa. Muisrael og ashiki mtutu wala kuuwa vitoto vichanga amsha akili yko Wachungaji kuna m' gao Wanapewa ili kukufanya wewe uwe Boya kuusu Waisrael Og!!! Amka mmatengo ww!!!!
 
Ndio maana Afrikaners tunaitwa sokwe sio kwa akilia mavi kama hizi. Congo hapo maelfu wanakufa unaweza Palestine
Umeona nani anashabikia mauaji ya kongo km wakristo wanavyoshabikia mauaji ya wapalestina?
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Nakuunga mkono
 
Vipi kuhusu mapenzi ya Mungu juu ya dunia hii hasa hao waparestina. Nadhani maombi yako yatakuwa na nguvu kama mapenzi ya Mungu yataamua ulivyoomba ila kama sivyo hutapata majibu unayoyatarajia
 
Hasira nyingi kumbe sababu ya ujinga,
Umekuta wapi watu wanahalalisha mauaji ya Congo kama wanavyohalalisha mauaji ya wapalestina kwa kigezo kua ile ni Ardhi ya Israel waliopewa mababu zao? Kuna kiongozi yoyote anaefanya yale anayoyafanya Trump kwa Netanyahu ambae ana warrant ya ICC?

UTUMIE AKILI.
Wewe ni bwege tu
 
Profile ulioweka wainekana mtu mzima ila kichwani ni takataka
  1. Mgogoro haujaanza October 7
  2. Israel walia raia wao October 7 kwa kuruhusu utumiaji wa Hannibal directive( kama hujui kasome google)
  3. Hakuna raia aliebakwa na Hamas
  4. Israel inashikilia maelfu ya wapalestina mateka bila ya kua na kesi maalum.
  5. Uwe inaficha ujinga wako.
Wewe ni bwege tu.
 
Mwenyewe Boya Israel unayo isoma kwenye Bible sio awa Boyaa ww awa Wametoka ulaya na Wana uraia pacha %80 waisrael wanatokea Marekani Poland Turkey Uzbekistan France UK
Myahudi asili yake haipotei hata siku.moja kwa taarifa yako

Walijua kusoma na kuandika kabla ya hata hao wazungu

Myahudi aweza kutaja kizazi chake kutoka alipozaliwa hadi kwa Adamu mtu wa kwanza kuzaliwa

Wewe ukiambiwa umtaje tu babu wa babu wa babu humjui hata jina
Waisrael kila familia ina kitabu chake cha ukoo na kabila huko ndiko historia ya kila myahudi hupatikana

Sio.kwenye porojo zenu za madrasa huko
 
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.

Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.

Mungu wangu, naweka nadhiri hii ya maombi, nikitarajia mwaka 2025 kupata majibu, majibu yatakayowapa amani wapalestina au yatakayo waadhibu watesi na madhalim.

Namuomba Mungu awape uwezo watu wa kuijua haki, na kujiepusha na dhulma.
Uzi huu ni ukumbusho wangu, sitaandika uzi wowote mpaka siku 40 za kumaliza maombi yangu.

Mungu wangu, yapokee. AminView attachment 3233895
Wewe kama ni mkristo basi hujitambui. Tambua tu kwamba kinachowatesa Wapalestina ni kukataa Taifa tele la Mungu like ktk ardhi yake. Wanadai hiyo ni ardhi yao. Lakini vitabu vya dini na hata vya kihistoria vinabainisha kuwa eneo wanalotaka little la Wapalestina ndilo eneo la Israel. Halafu hakuna taifa au kabila linaitwa Wapalestina. Kama ni Wafilisti basi inajulikana kuwa eneoblao ni Gaza. Wanapaswa kukaa Gaza na kuendesha maisha yao kwa amani bila kuichokoza Israeli. Wakiendelea kuichokoza Israel na kuilaani basi laana ya Mungu iko juu yao. Na ukweli ni kwamba hawatafanikiwa maana Mungu mwenyewe ndiye alisema siku za mwisho atawarejesha Israel pale ktk nchi yao. Je nani wa kushinda Mungu? Tena tambueni tu kuwa mataifa yote yanayompinga Israel mwisho wa siku watahukumiwa na kuangamizwa palepale Israel. Kwa hiyo maandiko yameshasema kila kitu. Waache tu hayo mataifa waendelee kuipinga na kuichokoza Israel maana wanaelekea ktk hukumu ya Mungu.
 
Wewe kama ni mkristo basi hujitambui. Tambua tu kwamba kinachowatesa Wapalestina ni kukataa Taifa tele la Mungu like ktk ardhi yake. Wanadai hiyo ni ardhi yao. Lakini vitabu vya dini na hata vya kihistoria vinabainisha kuwa eneo wanalotaka little la Wapalestina ndilo eneo la Israel. Halafu hakuna taifa au kabila linaitwa Wapalestina. Kama ni Wafilisti basi inajulikana kuwa eneoblao ni Gaza. Wanapaswa kukaa Gaza na kuendesha maisha yao kwa amani bila kuichokoza Israeli. Wakiendelea kuichokoza Israel na kuilaani basi laana ya Mungu iko juu yao. Na ukweli ni kwamba hawatafanikiwa maana Mungu mwenyewe ndiye alisema siku za mwisho atawarejesha Israel pale ktk nchi yao. Je nani wa kushinda Mungu? Tena tambueni tu kuwa mataifa yote yanayompinga Israel mwisho wa siku watahukumiwa na kuangamizwa palepale Israel. Kwa hiyo maandiko yameshasema kila kitu. Waache tu hayo mataifa waendelee kuipinga na kuichokoza Israel maana wanaelekea ktk hukumu ya Mungu.
Taifa teule linahalalisha ushoga?
Taifa teule linaua wasio na hatia?
Nyie ndio wapumbafu ambao ni mtaji wa Israel
 
Umeona nani anashabikia mauaji ya kongo km wakristo wanavyoshabikia mauaji ya wapalestina?
Wapalestina acha wauwawe tu maana walipanga na wakatekeleza wao wenyewe hakuna aliyewalazimisha kufanya mauaji ya Oct 07,2023 walikuwa hawajui kuwa israel ikijibu itakuwa balaa kwao? Kila ninapoangalia video za mauaji ya Oct 07,2023 na sema Israel isiwaonee huruma nguruwe hawa ipige tu kwa nguvu zake zote maana ni wajinga sana na hakuna kuwaunga huruma.
 
Wapalestina acha wauwawe tu maana walipanga na wakatekeleza wao wenyewe hakuna aliyewalazimisha kufanya mauaji ya Oct 07,2023 walikuwa hawajui kuwa israel ikijibu itakuwa balaa kwao? Kila ninapoangalia video za mauaji ya Oct 07,2023 na sema Israel isiwaonee huruma nguruwe hawa ipige tu kwa nguvu zake zote maana ni wajinga sana na hakuna kuwaunga huruma.
Basi sawa, ashukuliwe Mungu wa Israel kwa mauaji ya wapalestina
 
Hayatosaidia chochote.

Msumbiji hakukaliki
Sudan wanauwana
Darful na West Nile Kuna vita ya reja reja
Libya kitimutimu
Kongo vita isiyo kwisha
Tchad na vikundi vya Imani Kali
Mali na vikundi vya Imani Kali
Burkinafaso nako hakueleweki
Mali mshikemshike
Somalia hakujapoa.

Ila wewe unaiwaza Palestina tu ambao hata ndugu zao Waarabu wameshindwa kuwasaidia🤣🤣🤣🤣🤣
unanidai kisima cha soda! maana umemjibu vema saaana saana huyu mwarabu wa namanga!
 
Wapalestina acha wauwawe tu maana walipanga na wakatekeleza wao wenyewe hakuna aliyewalazimisha kufanya mauaji ya Oct 07,2023 walikuwa hawajui kuwa israel ikijibu itakuwa balaa kwao? Kila ninapoangalia video za mauaji ya Oct 07,2023 na sema Israel isiwaonee huruma nguruwe hawa ipige tu kwa nguvu zake zote maana ni wajinga sana na hakuna kuwaunga huruma.
wanadanganyika na imani yao ya dini! sasa kaja mtawala mpya wa dunia ambaye hufuata haki na amani popote pale. huyu mtawala anaimani kabambe ya kuwa waisrael ndio waebrania ni watoto wa jacob mrithi halali wa nchi ya Canaan ambayo leo ni Israel. Mwisrael kuanzia kesho mchana atawabonda wapalestina vile atakavyo kuwaliza bila tena Ulata wala mtu yeyote kuwazuia wasitumie siraha wapendayo. kumbuka mgogoro huu Israel alipangiwa mahali pa kupiga na siraha za kutumia. kwanza umemem utakatwa, pili maji hayatoka , misaada ya chakula hakuna kwenda ndipo Hamas ataomba pooo!
 
Taifa teule linahalalisha ushoga?
Taifa teule linaua wasio na hatia?
Nyie ndio wapumbafu ambao ni mtaji wa Israel
wewe umekunywa supu ya majani ya mkonge! Utawatetetaje waarabu wa palestina ambao waliwaua kikatili watanzania wenzetu wanne huko Gaza? kumbuka kuna vijana wa kitanzania wachagga walikatwakatwa vipande na hamas leo hii huna uchungu nao ila unawalilia waarabu wa palestina! wewe usiweke udinni mbele kuliko mapenzi ya utaifa au uzarendo. hamas wameua kikatili sana wale vijana wa kitanzania hujali kwa sababu vijana wale ni wakristo.
 
Back
Top Bottom