Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

Hichi ndicho walikuwa wanakistahili wapalestina. Huwezi kuwa na akili timamu ukavamie nchi ya watu, ukaue, ubake na uchukue mateka kuleta Gaza.
Mliposikia Israel imevamiwa na HAMAS, wewe na Faizafoxy mlikuwa mnashangilia na kukata kiuno. Kiukweli mimi siwaoni huruma hao wapalestina maana huwezi kuanzisha vita ambayo huiwezi. Nafikiri wamejifunza na inatakiwa wapalestina waende Saudia Arabia, Jordan, Misri na Lebanon wakatengeneze nchi yao huko. Si mlisema HAMAS wameshinda vita? Sina msaada nao
 
Akiwahiwa Anapona
 
Ndugu zako Wakuwahi Utapona
 
Ndio maana Afrikaners tunaitwa sokwe sio kwa akilia mavi kama hizi. Congo hapo maelfu wanakufa unaweza Palestine
 
Mwenyewe Boya Israel unayo isoma kwenye Bible sio awa Boyaa ww awa Wametoka ulaya na Wana uraia pacha %80 waisrael wanatokea Marekani Poland Turkey Uzbekistan France UK

haaaa tangu lini Izo nchi zikaleta Watakatifu miboya hii mzigo kwa taifa. Muisrael og ashiki mtutu wala kuuwa vitoto vichanga amsha akili yko Wachungaji kuna m' gao Wanapewa ili kukufanya wewe uwe Boya kuusu Waisrael Og!!! Amka mmatengo ww!!!!
 
Ndio maana Afrikaners tunaitwa sokwe sio kwa akilia mavi kama hizi. Congo hapo maelfu wanakufa unaweza Palestine
Umeona nani anashabikia mauaji ya kongo km wakristo wanavyoshabikia mauaji ya wapalestina?
 
Nakuunga mkono
 
Vipi kuhusu mapenzi ya Mungu juu ya dunia hii hasa hao waparestina. Nadhani maombi yako yatakuwa na nguvu kama mapenzi ya Mungu yataamua ulivyoomba ila kama sivyo hutapata majibu unayoyatarajia
 
Wewe ni bwege tu
 
Wewe ni bwege tu.
 
Mwenyewe Boya Israel unayo isoma kwenye Bible sio awa Boyaa ww awa Wametoka ulaya na Wana uraia pacha %80 waisrael wanatokea Marekani Poland Turkey Uzbekistan France UK
Myahudi asili yake haipotei hata siku.moja kwa taarifa yako

Walijua kusoma na kuandika kabla ya hata hao wazungu

Myahudi aweza kutaja kizazi chake kutoka alipozaliwa hadi kwa Adamu mtu wa kwanza kuzaliwa

Wewe ukiambiwa umtaje tu babu wa babu wa babu humjui hata jina
Waisrael kila familia ina kitabu chake cha ukoo na kabila huko ndiko historia ya kila myahudi hupatikana

Sio.kwenye porojo zenu za madrasa huko
 
Wewe kama ni mkristo basi hujitambui. Tambua tu kwamba kinachowatesa Wapalestina ni kukataa Taifa tele la Mungu like ktk ardhi yake. Wanadai hiyo ni ardhi yao. Lakini vitabu vya dini na hata vya kihistoria vinabainisha kuwa eneo wanalotaka little la Wapalestina ndilo eneo la Israel. Halafu hakuna taifa au kabila linaitwa Wapalestina. Kama ni Wafilisti basi inajulikana kuwa eneoblao ni Gaza. Wanapaswa kukaa Gaza na kuendesha maisha yao kwa amani bila kuichokoza Israeli. Wakiendelea kuichokoza Israel na kuilaani basi laana ya Mungu iko juu yao. Na ukweli ni kwamba hawatafanikiwa maana Mungu mwenyewe ndiye alisema siku za mwisho atawarejesha Israel pale ktk nchi yao. Je nani wa kushinda Mungu? Tena tambueni tu kuwa mataifa yote yanayompinga Israel mwisho wa siku watahukumiwa na kuangamizwa palepale Israel. Kwa hiyo maandiko yameshasema kila kitu. Waache tu hayo mataifa waendelee kuipinga na kuichokoza Israel maana wanaelekea ktk hukumu ya Mungu.
 
Taifa teule linahalalisha ushoga?
Taifa teule linaua wasio na hatia?
Nyie ndio wapumbafu ambao ni mtaji wa Israel
 
Umeona nani anashabikia mauaji ya kongo km wakristo wanavyoshabikia mauaji ya wapalestina?
Wapalestina acha wauwawe tu maana walipanga na wakatekeleza wao wenyewe hakuna aliyewalazimisha kufanya mauaji ya Oct 07,2023 walikuwa hawajui kuwa israel ikijibu itakuwa balaa kwao? Kila ninapoangalia video za mauaji ya Oct 07,2023 na sema Israel isiwaonee huruma nguruwe hawa ipige tu kwa nguvu zake zote maana ni wajinga sana na hakuna kuwaunga huruma.
 
Basi sawa, ashukuliwe Mungu wa Israel kwa mauaji ya wapalestina
 
unanidai kisima cha soda! maana umemjibu vema saaana saana huyu mwarabu wa namanga!
 
wanadanganyika na imani yao ya dini! sasa kaja mtawala mpya wa dunia ambaye hufuata haki na amani popote pale. huyu mtawala anaimani kabambe ya kuwa waisrael ndio waebrania ni watoto wa jacob mrithi halali wa nchi ya Canaan ambayo leo ni Israel. Mwisrael kuanzia kesho mchana atawabonda wapalestina vile atakavyo kuwaliza bila tena Ulata wala mtu yeyote kuwazuia wasitumie siraha wapendayo. kumbuka mgogoro huu Israel alipangiwa mahali pa kupiga na siraha za kutumia. kwanza umemem utakatwa, pili maji hayatoka , misaada ya chakula hakuna kwenda ndipo Hamas ataomba pooo!
 
Taifa teule linahalalisha ushoga?
Taifa teule linaua wasio na hatia?
Nyie ndio wapumbafu ambao ni mtaji wa Israel
wewe umekunywa supu ya majani ya mkonge! Utawatetetaje waarabu wa palestina ambao waliwaua kikatili watanzania wenzetu wanne huko Gaza? kumbuka kuna vijana wa kitanzania wachagga walikatwakatwa vipande na hamas leo hii huna uchungu nao ila unawalilia waarabu wa palestina! wewe usiweke udinni mbele kuliko mapenzi ya utaifa au uzarendo. hamas wameua kikatili sana wale vijana wa kitanzania hujali kwa sababu vijana wale ni wakristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…