Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Huna teni lililozagaa zagaaa hapo no zile zile😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna teni lililozagaa zagaaa hapo no zile zile😂😂
"Umemuonapo" 😂mtu wa Musoma huyoMi nawapa sana hela hadi leo nimewapa acha View attachment 3067607
"Umemuonapo" 😂mtu wa Musoma huyoMi nawapa sana hela hadi leo nimewapa acha View attachment 3067607
Shangazi ni BabaSitasahau Shangazi yangu mmoja aliniambia nimpe kama 500k niitoe kwenye michango ya Harusi ya brother nilikuwa ndio mtunza fedha ili amalizie Ada atarudisha....Shangazi akatokomea na harusi hakujaga akaniachia Deni wanakamati wakanijia juu ikabidi nilipe.
Achana na watanzania, wasambaa ndo nyoko, hawalipi madeni kabisa.1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Hahaha hahahaKuna jamaa alianza kunikopa elfu 5 jion akanirudishia baada ya siku mbili elfu 20 jion akanirudishia , baada ya wiki elfu 50 jioni akanirudishia ikaenda kwa staili hiyo hiyo hadi ikafika laki 5 jion ananirudishia kumbe bana alikua ananirudishia hela yangu ileile nayomkopesha asubuhi wala alikua hata haitumii
Mara ya mwisho akataka million 1 nikamwambia sina akanishusha hadi laki 6 nilivyompa tu akasepa nayo jumla
Wala sikupingi...ila huwa wanakuja huku wanalia. ( Huruma inaponza).1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Osie, titakuroga, tikugeuze nyau, sisi wagosi, tinalipa madeni mkuu,Achana na watanzania, wasambaa ndo nyoko, hawalipi madeni kabisa.
Washambaa hawalihaOsie, titakuroga, tikugeuze nyau, sisi wagosi, tinalipa madeni mkuu,
Unachukua hati ya nyumba kwani una leseni ya kutoa mikopo? Unaweza kufanya hivyo na bado sheria ikakubana.Nilishasema nikija kukopesha basi dhamana ni hati ya nyumba au chochote kisichohamishika. Na mwanamke labda nimsaidie tu ila simkopeshi hata iweje.
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
HuYo wa Ilemela nipe location nimudai,au nipe namba zake nimfuate1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Nimepiga hesabu hapa ,unadai 1,078,000, Hongera sana kwa kuwa na moyo mzuri, watu kama nyie mko wachache sana, mnahesabika kabisa1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.