Naapa kutomkopesha Mtanzania hela mpaka naingia kaburini

Naapa kutomkopesha Mtanzania hela mpaka naingia kaburini

Mikopo ni changamoto sana, inakosesha sana amani na kuna namna unajawa na ugumu wa kulipa.
Muhimu ni kujitahidi sana kutokukopa au kukupa sehemu ambayo hautakuwa na udhuru wa kutolipa.
Ila kuapa na kuazimia kutokukopesha maisha yako yote ni kujidanganya, maisha hayana njia nyoofu ya moja kwa moja , kesho imebeba mengi mno.
 
Mnakopesha kwani nyie ni taasisi za kutoa mikopo? Mambo mengine ni kujitakia tu, mwambie aende taasisi za kukopa, huko kuna vigezo na masharti, akizingua wanamzingua. Unampaje mtu 1m usawa huu, unategemea nini, taasisi zipo..twende tukakope huko.
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Achana na watanzania, wasambaa ndo nyoko, hawalipi madeni kabisa.
 
Kuna jamaa alianza kunikopa elfu 5 jion akanirudishia baada ya siku mbili elfu 20 jion akanirudishia , baada ya wiki elfu 50 jioni akanirudishia ikaenda kwa staili hiyo hiyo hadi ikafika laki 5 jion ananirudishia kumbe bana alikua ananirudishia hela yangu ileile nayomkopesha asubuhi wala alikua hata haitumii

Mara ya mwisho akataka million 1 nikamwambia sina akanishusha hadi laki 6 nilivyompa tu akasepa nayo jumla
Hahaha hahaha

Ova
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Wala sikupingi...ila huwa wanakuja huku wanalia. ( Huruma inaponza).

Hata wewe unayesoma hapa, kama unadaiwa LIPA, acha kupenda mseleleko.
 
Subiri mfugo wangu ukue ntakulipa yahe
 

Attachments

  • Screenshot_20240812-102448_1.jpg
    Screenshot_20240812-102448_1.jpg
    319.3 KB · Views: 3
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
HuYo wa Ilemela nipe location nimudai,au nipe namba zake nimfuate
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Nimepiga hesabu hapa ,unadai 1,078,000, Hongera sana kwa kuwa na moyo mzuri, watu kama nyie mko wachache sana, mnahesabika kabisa
 
Kama huna Hela usikopeshe hicho kidogo ulichonacho bora utoe damu tu unatamani watu wafe kisa mkopo uliowakopesha..
 
Back
Top Bottom