Naapa kutomkopesha Mtanzania hela mpaka naingia kaburini

Naapa kutomkopesha Mtanzania hela mpaka naingia kaburini

daaaaah
Kuna jamaa alianza kunikopa elfu 5 jion akanirudishia baada ya siku mbili elfu 20 jion akanirudishia , baada ya wiki elfu 50 jioni akanirudishia ikaenda kwa staili hiyo hiyo hadi ikafika laki 5 jion ananirudishia kumbe bana alikua ananirudishia hela yangu ileile nayomkopesha asubuhi wala alikua hata haitumii

Mara ya mwisho akataka million 1 nikamwambia sina akanishusha hadi laki 6 nilivyompa tu akasepa nayo jumla
ume nikumbusha kitu
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Naunga mkono hoja maana hata mimi silipi wanaonikopesha
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Kama unaweza na mtu amekuja kukopa kwa sababu ana shida, hata kama atashindwa kurudishia, mshukuru Mungu kwamba uliweza kumsaidia mtu mwenye shida. Usiweke moyo wako kwenye hela, kama unaweza kumsaidia mtu (hata kumkopesha kwa vile hana) usisite kufanya hivyo. Mungu atakubariki zaidi. Mungu huwabariki zaidi wanayotoa, kuliko wanaopokea. Take note of this!
 
kama nnayo ni either nikupe kiasi kidogo au kama nina mipango hapo karibuni nakunyima. mkopo unaleta matatizo mengi sana
 
Hao wote waunge kwenye group la whatsap alafu admin mpe mfanyakazi wa pesa x utakuja kunishukuru hapa huku unabubujikwa na machozi
 
Dawa ya hawa akija kukuomba mkopo wa Laki tena mtu unaemjua
Unampa elfu 10 bure unamwambia kajazie mbele
Usikope mtu akileta umasikini zaidi mpe za uso tu
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.

Naapa kutomkopesha Mtanzania hela mpaka naingia kaburini.​

Kwahiyo watu wa mataifa mengine unaweza kuwakopesha?
 
Screenshot_20240812-152316.jpg
 
Sitasahau Shangazi yangu mmoja aliniambia nimpe kama 500k niitoe kwenye michango ya Harusi ya brother nilikuwa ndio mtunza fedha ili amalizie Ada atarudisha....Shangazi akatokomea na harusi hakujaga akaniachia Deni wanakamati wakanijia juu ikabidi nilipe.
Daah.. mwenyewe nilipigwa 450,000 ya michango kwa mtindo huu huu. Mbaya zaidi alienipiga ni bwana harusi! Alikuja na gia ya kwamba anadaiwa 200k ya kumalizia suti na 250k ya gauni la bibi harusi na yeye hana kitu. Akaniambia ndani ya wiki 1 hela yake inatoka ofisini atarudisha. Mpaka tunaenda kikao cha mwisho hela hajaleta, kamati inataka mahesabu. Kulinda heshima yangu ikabidi nitoe tu.
 
elimu ya fedha inatakiwa kw mkopaji na mkopeshaji.
mtu anakopesheka kama ana dhamana(collateral),ko haina aja ya kukimbizana.

biashara ya kukopesha ni nzuri sana kama umezingatia vigezo.
 
Daah.. mwenyewe nilipigwa 450,000 ya michango kwa mtindo huu huu. Mbaya zaidi alienipiga ni bwana harusi! Alikuja na gia ya kwamba anadaiwa 200k ya kumalizia suti na 250k ya gauni la bibi harusi na yeye hana kitu. Akaniambia ndani ya wiki 1 hela yake inatoka ofisini atarudisha. Mpaka tunaenda kikao cha mwisho hela hajaleta, kamati inataka mahesabu. Kulinda heshima yangu ikabidi nitoe tu.
Maskiniiini kwahiyo harusi yake suti yake deni la kwako!!!!!?
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Mimi nampa mtu mkopo ambao asiponilipa hata sihangaika kumdai yani ile pesa ambayo haiumi sana kuanzia buku tano hadi laki. nje ya hapo ni vigumu.
 
Kuna jamaa alianza kunikopa elfu 5 jion akanirudishia baada ya siku mbili elfu 20 jion akanirudishia , baada ya wiki elfu 50 jioni akanirudishia ikaenda kwa staili hiyo hiyo hadi ikafika laki 5 jion ananirudishia kumbe bana alikua ananirudishia hela yangu ileile nayomkopesha asubuhi wala alikua hata haitumii

Mara ya mwisho akataka million 1 nikamwambia sina akanishusha hadi laki 6 nilivyompa tu akasepa nayo jumla
Atakuwa mimi huyo maana ghafla wadau wote wa JF wamekuwa wakopeshaji wala si wakopeshwaji.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=

Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.

Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Wewe ndio tatizo sio wao. Ukienda Benki kukopa benki wanakopesha biashara yako sio wewe. Sasa wewe hukuangalia wadai wako shughuli zao za uchumi ukawapa kama unampa mjomba
 
Back
Top Bottom