Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
ume nikumbusha kituKuna jamaa alianza kunikopa elfu 5 jion akanirudishia baada ya siku mbili elfu 20 jion akanirudishia , baada ya wiki elfu 50 jioni akanirudishia ikaenda kwa staili hiyo hiyo hadi ikafika laki 5 jion ananirudishia kumbe bana alikua ananirudishia hela yangu ileile nayomkopesha asubuhi wala alikua hata haitumii
Mara ya mwisho akataka million 1 nikamwambia sina akanishusha hadi laki 6 nilivyompa tu akasepa nayo jumla
Naunga mkono hoja maana hata mimi silipi wanaonikopesha1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Kama unaweza na mtu amekuja kukopa kwa sababu ana shida, hata kama atashindwa kurudishia, mshukuru Mungu kwamba uliweza kumsaidia mtu mwenye shida. Usiweke moyo wako kwenye hela, kama unaweza kumsaidia mtu (hata kumkopesha kwa vile hana) usisite kufanya hivyo. Mungu atakubariki zaidi. Mungu huwabariki zaidi wanayotoa, kuliko wanaopokea. Take note of this!1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Anakopesha waturuki tu huyoNaapa kutomkopesha Mtanzania hela mpaka naingia kaburini.
Kwahiyo watu wa mataifa mengine unaweza kuwakopesha?
Daah.. mwenyewe nilipigwa 450,000 ya michango kwa mtindo huu huu. Mbaya zaidi alienipiga ni bwana harusi! Alikuja na gia ya kwamba anadaiwa 200k ya kumalizia suti na 250k ya gauni la bibi harusi na yeye hana kitu. Akaniambia ndani ya wiki 1 hela yake inatoka ofisini atarudisha. Mpaka tunaenda kikao cha mwisho hela hajaleta, kamati inataka mahesabu. Kulinda heshima yangu ikabidi nitoe tu.Sitasahau Shangazi yangu mmoja aliniambia nimpe kama 500k niitoe kwenye michango ya Harusi ya brother nilikuwa ndio mtunza fedha ili amalizie Ada atarudisha....Shangazi akatokomea na harusi hakujaga akaniachia Deni wanakamati wakanijia juu ikabidi nilipe.
Maskiniiini kwahiyo harusi yake suti yake deni la kwako!!!!!?Daah.. mwenyewe nilipigwa 450,000 ya michango kwa mtindo huu huu. Mbaya zaidi alienipiga ni bwana harusi! Alikuja na gia ya kwamba anadaiwa 200k ya kumalizia suti na 250k ya gauni la bibi harusi na yeye hana kitu. Akaniambia ndani ya wiki 1 hela yake inatoka ofisini atarudisha. Mpaka tunaenda kikao cha mwisho hela hajaleta, kamati inataka mahesabu. Kulinda heshima yangu ikabidi nitoe tu.
Mimi nampa mtu mkopo ambao asiponilipa hata sihangaika kumdai yani ile pesa ambayo haiumi sana kuanzia buku tano hadi laki. nje ya hapo ni vigumu.1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Acha tu mkuu.. ila nilipata fundishoMaskiniiini kwahiyo harusi yake suti yake deni la kwako!!!!!?
Atakuwa mimi huyo maana ghafla wadau wote wa JF wamekuwa wakopeshaji wala si wakopeshwaji.Kuna jamaa alianza kunikopa elfu 5 jion akanirudishia baada ya siku mbili elfu 20 jion akanirudishia , baada ya wiki elfu 50 jioni akanirudishia ikaenda kwa staili hiyo hiyo hadi ikafika laki 5 jion ananirudishia kumbe bana alikua ananirudishia hela yangu ileile nayomkopesha asubuhi wala alikua hata haitumii
Mara ya mwisho akataka million 1 nikamwambia sina akanishusha hadi laki 6 nilivyompa tu akasepa nayo jumla
Wewe ndio tatizo sio wao. Ukienda Benki kukopa benki wanakopesha biashara yako sio wewe. Sasa wewe hukuangalia wadai wako shughuli zao za uchumi ukawapa kama unampa mjomba1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani maana nasikia u-mlevi wa kupindukia hata familia inakushinda.
Watanzania hawalipi madeni usithubutu kuwakopesha hela.
Hizo hotpot nazihitaji akishindwa kulipia hahaha ila bongo
Na mkeka umechanika😆😆😆😆😂😂Noma sana ni mwendo wa kuanika mikeka