Naapa kuwa sirudii tena kumsaidia Mtanzania -- never!



Niliwahi kutoa tahadhari ya kuwa Wabongo hawasaidiki sababu ya tabia za kuharibiana. Pole sana
 
Kuna jamaa alikuja home akidai ni yatima hana wazaz amekuja daslam kuhustle maana wadogo zake walikuwa wanamtegemea(first born) alikuwa analia kwa uchungu sana. Sister akamuonea huruma akamuweka kwenye biashara yake akimchukulia kama mdogo wake..... Lakini mwisho wa siku aliondoka na kila kitu
 
nipe na mm mchongo bas mwanang
 
Taarifa zako zinaogopesha sana...! Zinautafiti wa kutosha ? Embu funguka zaidi...!
 
Uko sahihi kabisa
 
Duuh mkuu haid sasa kuna watu wanazamia Europe na US kwa meli...! ? Si itakuwa rahisi kukamatwa?
 
wanijeria wanaosifika kwa wizi na mtandao mkubwa wa kitapeli duniani. Sehem wanayopigia mishe zao, wakiona kuna wabongo wawili watatu wamejisogeza eneo hilo basi wanajeria wanaihama hiyo sehemu ili kunusuru biashara zao.
Hahahahha.. ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟwanaogopa nini sasa??
 
Ukipata connection nzuri ya watu wanaojitambuwa na wewe ukiwa humble, plus muongeaji mzuir na watu ya mwepesi kumwin mtu.. utafanikiwa haraka huko
 
Lakini SA mbona hakuna complications kuingia?? Kinachowafanya hawa ndugu zetu kupita hizo njia za hatari mpaka wengine kuliwa na viboko ni nini??
Complications zinaaznia kwenye PASSPORT...hahaha vijana wengi wanozamia una kuta wakifika pale uhamiaji zile process zinawashinda vigezo na masharti!

Mwingine hiyo 150 anaona bora aitumie kama nauli safarini.. so unakuta hawana papers
 
Hahahahha.. ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟwanaogopa nini sasa??
Wanaogopa kupigwa mazima mkuu. Mbongo akipata mwanya kidogo wa kujua unga ulipo, basi kitachofuata ni maumivu kwa wanijeria.
 
Mfano wa bidhaa unazoweza kutoka nazo SA na kuuza Malawi?
 
Kuna mmoja alizimiwa simu na mshkaji wake akabakia airport basi simu huku Simu kule akapata mwenyeji alikaa kwa mwenyeji wake baada ya mwezi anataka kumtombโ€ฆa mke wa mwenyeji wake akatimuliwa.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Daah we jamaa unazingua bana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‘๐Ÿพ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ