Naapa mbele ya Mungu, Yanga ikiifunga TP Mazembe Leo najiondoa rasmi JamiiForums

Pole.
Uende salama.
 
We nae walewale
 
Ushajiondoa
 
Bado una comment
 
We mwisho kambi bado umo humu umeahidi kujitoa haya tusikuone na wala usije na ID nyingine nikijua utaona
 
Huna akili
 
Yupo uko ameukimbia uzi aliouanzisha mwenyewe, uyu bwana hana tofauti na Okwi boban wote uwa wana gundu wakitabiri kitu kinakuwa vise versa🤣🤣🤣
 
Wakat mwingine hua unakua unaona Mambo hayaendi kumbe tunahukumiwa na viapo tulivyo apia
 
bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…