Naarifiwa wiki hii wanaopita kwenye barabara za Mwendokasi Kimenuka wanakamatwa na maafisa wa UDART, hawaangalii Jeshi, Polisi wala nani

Naarifiwa wiki hii wanaopita kwenye barabara za Mwendokasi Kimenuka wanakamatwa na maafisa wa UDART, hawaangalii Jeshi, Polisi wala nani

Janja weed

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2020
Posts
3,000
Reaction score
5,606
Kipindi cha mwendazake watu walikua na adabu hasa kufuata sheria bila shuruti ila kwa sasa Mama wanamchukulia poa, pale Jangwani barabara za Kasi wako MP kabisa inamaa Polisi nao wamweshindwa kazi.

Tanzania ni nchi ambayo kufuata sheria hasa kwa viongozi ni kitendawili wakati Ulaya ndio takwa namba kwa kiongozi yoyote wa Umma.

Mwenye hiyo, operesheni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Heri Jamesi kakimbia gari kapanda bodaboda, aibu kama hii bado hawajifunzi tu, barabara za kasi sio kwa ajili ya UT, PT, JW, JR n.k.Viongozi mjiheshimu.
 
Afisa wa UDART hathubutu kumkamata mwanajeshi. Hata msako wa vyeti feki uliwapitiya kwa pembeni.
 
Mwingine si anaropoka niteseke aje mshenzi mshenzi anishike haipo haitawahi tokea
 
Mtakamatwa nyinyi!. Siye Wengine tunatembea na silaha za moto muda wowote zinawindwa hivyo tunawahi!
 
Back
Top Bottom