Nabi afukuzwe haraka Sana

Nabi afukuzwe haraka Sana

Wakuu mimi ninaona ni bora MAMA atoe kauli kulekule china alipo kuwa THIMBA itumwe tunisia kusawazisha mambo la sivyo.....................
By;in association with kipanga
 
Mkuu hatuzungumzii historia wala ukubwa wa team. Tunazungumzia mechi ya leo. Uwezekano wa kushinda ulikuwa mkubwa tu. Kocha na Team kwa ujumla wametuangusha.
Uwezekano ulikuwa wapi mkuu
 
Mashabiki wa Yanga walishajua ndo maana hawakuonekana Uwanjani
 
Wew ni Simba na unapenda kuona Nabi anaondoka maana tangu Nabi awepo Yanga imeimarika sana mpk sasa ni unbeaten 45 Nbc premier League, Kimataifa Yanga hatua hii imekutana na team zenye uzoefu na uwezo hata kifedha za uarabun, kama Yanga nayo ingekutana na team za kusin wamakonde kama wale wa Angola angeshinda tu
Kwanza, msiingie ukichaa wa kutaka kuchagua timu ya kukutana nayo.

Pili, mnakumbuka msimu ule shafii dauda anawaita simba underdog walipoingia makundi, kwann walifuzu robo fainali huku wao wakiwa ni underdog wa kundi?

Tatu, unakumbuka mwaka ambao simba aliongoza kundi mbele ya al ahly, as vita na el mereikh, simba alimfunga vita nje ndani. As vita ile ilikuwa na moloko, mayele, juma shaban na wenzao ambao leo wote ni yanga

Hivyo; tatizo la yanga la kwanza kabisa ambalo wengi hamulioni ni kuhamisha as vita iliyojichokea mkaileta yanga af mkajipongeza kuwa mmesajili ili kucheza kimataifa

Hitimisho
Ukitaka kuwa mkubwa lazima uwafunge wakubwa, hapo ndipo nawe utaitwa giant na kuanzia hapo utakuwa unapangiwa timu za kawaida katika hatua za awali maana formula ni kibonde lazima apangiwe na giant na lazima aanzie kwake, yanga kimataifa bado anahesabika kuwa ni kibonde ndio maana anapangiwa na giant kama kanuni zinavyotaka, hakuna namna ya kuikwepa hiyo bali lazima uwazibue hao giant uongeze point ili ufikie ugiant utakaokupa sifa ya kupangiwa hao wamakonde unaowasema wewe
 
Kwanza, msiingie ukichaa wa kutaka kuchagua timu ya kukutana nayo.

Pili, mnakumbuka msimu ule shafii dauda anawaita simba underdog walipoingia makundi, kwann walifuzu robo fainali huku wao wakiwa ni underdog wa kundi?

Tatu, unakumbuka mwaka ambao simba aliongoza kundi mbele ya al ahly, as vita na el mereikh, simba alimfunga vita nje ndani. As vita ile ilikuwa na moloko, mayele, juma shaban na wenzao ambao leo wote ni yanga

Hivyo; tatizo la yanga la kwanza kabisa ambalo wengi hamulioni ni kuhamisha as vita iliyojichokea mkaileta yanga af mkajipongeza kuwa mmesajili ili kucheza kimataifa

Hitimisho
Ukitaka kuwa mkubwa lazima uwafunge wakubwa, hapo ndipo nawe utaitwa giant na kuanzia hapo utakuwa unapangiwa timu za kawaida katika hatua za awali maana formula ni kibonde lazima apangiwe na giant na lazima aanzie kwake, yanga kimataifa bado anahesabika kuwa ni kibonde ndio maana anapangiwa na giant kama kanuni zinavyotaka, hakuna namna ya kuikwepa hiyo bali lazima uwazibue hao giant uongeze point ili ufikie ugiant utakaokupa sifa ya kupangiwa hao wamakonde unaowasema wewe
Nilitamani sana kumjibu huyo jamaa nashukuru umemaliza kueleza.

Vibonde hawawezi kupangwa pamoja.
 
Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.

Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka hapo yanga hakuna timu.

Tuna kundi la wachezaji tu

Nabi inaonekana ameshindwa ku control dressing room hana ushawishi wowote..

Unashindwa kumuanzisha Moloko unaanza na Kisinda?

Morrison iyo mechi alikuwa anafanya nn jaman?

Wachezaji mafaza watupu wanalelewa tu pale yanga? Aucho anamuwekaje nje Sure boy?

Baka sioni beki wa kumuweka nje pale yanga!!!

Mpeni hata Mkwasa hii timu muone moto wake!!

Nabi asipofukuzwa kesho narudisha kadi ya uwanachama Bora nibaki kwenye soka la ulaya tu

Siwezi kuendelea kushabikia takataka hizi!!
Afukuzwe??mnaweza kudhamiria kumfukuza..je pesa ya kumlipa kwa kuvunja mkataba mnayo?! Ugumu upo hapo
 
Statistics gan zile za mchongo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba Azam media wanatoa statistics za mchongo? Ulielewa hata nilimaamisha nini?
Screenshot_20221103-163824.jpg
Screenshot_20221103-163824.jpg
 
Back
Top Bottom