NABI bado yupo sana. Ajabu wanaotaka Nabi aachwe Yanga ni Wanasimba kuliko Idadi Kubwa ya Wanayanga

NABI bado yupo sana. Ajabu wanaotaka Nabi aachwe Yanga ni Wanasimba kuliko Idadi Kubwa ya Wanayanga

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Simba wanamchukia sana Nabi. Wanamchukia mpaka unawaona usoni kabisa ukitaja jina la Nabi, Ukitana jina la Mayele, Ukitaja jina la Aziz na Ukitaja jina la Feisal. Wanaacha kula, wanaacha kunya wanaondoka hivyo hivyo.

Nabi hawezi fukuzwa. Malengo ya team kwa asilimia 99 ametimiza. Asifupoteze katika ligi. Hajapoteza. Then ndo baadaye yatakuja malengo mengine. Msimu uliopita alitakiwa achukue Ubingwa wa VPL akachukua. Akachukua na kombe la Azam.

Mnamfukuzaje huyu kocha? Simba wana chuki sana na Nabi. Sababu anawagonga na ushindi wao umekuwa ni draw. Wamechoka sana. Sasa wanahangaika kufanya propaganda kumwondoa Nabi.

Ninyi na wale ambao wakishiba mihogo yao wanaanza kutoa gesi ndo mnasema nabi hafai. Sisi tunaokula kuku wa kienyeji, samaki na mazagazaga kibao akili yetu inakuwa fresh. Tunawaza kwa akili tunaona kazi anayoifanya Nabi.

MTANGOJA, TENA MTANGOOOOJA SANA.

MI NIMEKAA PALE👉
 
Hivi nyie Gongowazi mpoje yaani, mbona kama Wenge linazidi kuwatawala pakubwa.

Kwenye game ya Jana ilikuwa ni Kombe la Shirikisho Afrika, na walikuwa wakitaka Nabi aondoke ni mashabiki na wanachama wa Yanga ambayo hadi walifikia kuonyesha Kadi zao kwa waandishi wa habari.

Sasa hiyo ya Simba SC kutaka aondoke Nabi umepata wapi? Kwani game ya jana ilikuwa Simba SC na Yanga Africans?

Halafu kwanini matatizo yenu mpaka muhusishe na Simba..! Mbona Simba akipata matokeo mbaya haitaji Yanga..! Nyie shida yenu hamjui mnalolifanya.
 
Hivi nyie Gongowazi mpoje yaani, mbona kama Wenge linazidi kuwatawala pakubwa.

Kwenye game ya Jana ilikuwa ni Kombe la Shirikisho Afrika, na walikuwa wakitaka Nabi aondoke ni mashabiki na wanachama wa Yanga ambayo hadi walifikia kuonyesha Kadi zao kwa waandishi wa habari.

Sasa hiyo ya Simba SC kutaka aondoke Nabi umepata wapi? Kwani game ya jana ilikuwa Simba SC na Yanga Africans?

Halafu kwanini matatizo yenu mpaka mhusishe na Simba..! Mbona Simba akipata matokeo mbaya haitaji Yanga..! Nyie shida yenu hamjui mnalolifanya.
Usihangaike na huyo ndg usikute ni Eng. baada ya kushiba mihogo amekuja kujisafisha huku kwa mashabiki wenye hasira na Nabi
 
Sisi tunataka aendelee kuwepo kwasababu akiondoka atakosa mengi ya kujifunza

Kumbuka mechi za kimataifa alizokuwa anacheza Simba, Nabi alikuwa akiingia uwanjani kucheki kandanda

Sasa masomo hata hajamaliza halafu sisi tena tumtimue inawezekana vipi?

Kama mnatafuta mtu sahihi wakumtimua pale Yanga nadhani ni Manara tu
 
Anayemtetea nabi inabidi akapimwe mkojo kocha gani sasa yule? kocha hana mbinu yupo vile vile abadiliki makosa yaliyotokea kwa al hilal ndio yale yale yametokea jana sijapata kuona kocha wa ajabu kama yule so sad watu wanamtetea eti kisa amemfunga simba[emoji23][emoji23]
 
Simba wanamchukia sana Nabi. Wanamchukia mpaka unawaona usoni kabisa ukitaja jina la Nabi, Ukitana jina la Mayele, Ukitaja jina la Aziz na Ukitaja jina la Feisal. Wanaacha kula, wanaacha kunya wanaondoka hivyo hivyo.

Nabi hawezi fukuzwa. Malengo ya team kwa asilimia 99 ametimiza. Asifupoteze katika ligi. Hajapoteza. Then ndo baadaye yatakuja malengo mengine. Msimu uliopita alitakiwa achukue Ubingwa wa VPL akachukua. Akachukua na kombe la Azam.

Mnamfukuzaje huyu kocha? Simba wana chuki sana na Nabi. Sababu anawagonga na ushindi wao umekuwa ni draw. Wamechoka sana. Sasa wanahangaika kufanya propaganda kumwondoa Nabi.

Ninyi na wale ambao wakishiba mihogo yao wanaanza kutoa gesi ndo mnasema nabi hafai. Sisi tunaokula kuku wa kienyeji, samaki na mazagazaga kibao akili yetu inakuwa fresh. Tunawaza kwa akili tunaona kazi anayoifanya Nabi.

MTANGOJA, TENA MTANGOOOOJA SANA.

MI NIMEKAA PALE[emoji117]
Sahii kbsa wanaomchukia kocha ajabu Ni wanna simba ,Simba hawataki kusikia hbr ya mayele kbsa wanasema Ni mzigo leo wameamia kwa kocha kwa recodi yake ya unbeaten mechi 45 ndio kbsa hawataki kusikia

Mm sioni shida ya kocha Wala mayele tuwape muda tutafika uko tunakotaka kwenda
 
Simba wanamchukia sana Nabi. Wanamchukia mpaka unawaona usoni kabisa ukitaja jina la Nabi, ...Nabi hawezi fukuzwa. ...Mnamfukuzaje huyu kocha? Simba wana chuki sana na Nabi.
Sawa, hawa hapa Simba wenyewe:




 
Simba wanamchukia sana Nabi. Wanamchukia mpaka unawaona usoni kabisa ukitaja jina la Nabi, Ukitana jina la Mayele, Ukitaja jina la Aziz na Ukitaja jina la Feisal. Wanaacha kula, wanaacha kunya wanaondoka hivyo hivyo...
Hiyo mbona inatambulika sema tunawaangalia tu,we mtu anakufunga daily utampendaje
 
Back
Top Bottom