Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Nyuma mwikoNamna hii hpa andaka mshale au ni kutiwa mshale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuma mwikoNamna hii hpa andaka mshale au ni kutiwa mshale
Namna hii hpa andaka mshale au ni kutiwa mshale
Sawa goal kick, timu ilipaswa kuzuia ipasavyo.Kocha Mkuu wa Yanga, Nasrdinne Nabi akihojiwa na waandishi wa habari baada ya mchezo wa leo amesema; bao la kwanza walilofunga Simba halikuwa halali na hivyo likawatoa mchezoni hali iliyopelekea timu yake kupoteza mchezo huo.
"Kwa waliotazama mechi vizuri hasa waliopo nyumbani watakubaliana na mimi kuwa ile haikuwa kona halali, ilipaswa iwe goal kick ila ikaamuliwa kuwa ni kona na hatimae tukafungwa goli la haraka," aliongeza Nabi.
View attachment 2590310
Huna takwimu usiongee vitu huvijuiHongera ni haki yako kushangilia miaka minne si haba tangu 2019? Shangilia tu mkuu
Siwezi kubishana na mbumbumbu asiyejua kwamba hamjashinda vs Yanga tangu goli la KagereHuna takwimu usiongee vitu huvijui
Jamaa amekuwa mchambuzi sasaKocha Mkuu wa Yanga, Nasrdinne Nabi akihojiwa na waandishi wa habari baada ya mchezo wa leo amesema; bao la kwanza walilofunga Simba halikuwa halali na hivyo likawatoa mchezoni hali iliyopelekea timu yake kupoteza mchezo huo.
"Kwa waliotazama mechi vizuri hasa waliopo nyumbani watakubaliana na mimi kuwa ile haikuwa kona halali, ilipaswa iwe goal kick ila ikaamuliwa kuwa ni kona na hatimae tukafungwa goli la haraka," aliongeza Nabi.
View attachment 2590310
Mbili kavu zimekuvurugaSiwezi kubishana na mbumbumbu asiyejua kwamba hamjashinda vs Yanga tangu goli la Kagere
Mbumbumbu tunaridhika kilofa sana.
Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?
Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.
• Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).
• TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).
• Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.
Mbumbumbu tunaridhika kilofa sana.
Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?
Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.
• Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).
• TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).
• Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.
Ww ni fala tulivyo wakanda kigoma na kuchukua FA ulikuwa hujazaliwa?Siwezi kubishana na mbumbumbu asiyejua kwamba hamjashinda vs Yanga tangu goli la Kagere
mafarisayooWydad watawasili muda wowote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hata goli lenyewe halijapigwa ki kona kona..yeye ale tende alale
Mbna alimtajaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu kwenye mahojiona kaonesha Kwamba eti halijui jina la Kocha wa Simba. Kumbe yale madharau ya yule mbwabwajaji kayarithi yeye!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]