Nabi: Bao la kwanza la Simba sio halali

Nabi: Bao la kwanza la Simba sio halali

Kocha Mkuu wa Yanga, Nasrdinne Nabi akihojiwa na waandishi wa habari baada ya mchezo wa leo amesema; bao la kwanza walilofunga Simba halikuwa halali na hivyo likawatoa mchezoni hali iliyopelekea timu yake kupoteza mchezo huo.

"Kwa waliotazama mechi vizuri hasa waliopo nyumbani watakubaliana na mimi kuwa ile haikuwa kona halali, ilipaswa iwe goal kick ila ikaamuliwa kuwa ni kona na hatimae tukafungwa goli la haraka," aliongeza Nabi.

View attachment 2590310
Sawa goal kick, timu ilipaswa kuzuia ipasavyo.
 
Utopolo ni timu ya kijinga tu, haiwezi cheza na simba. Sisi level zetu ni wydad, Raja, Al ahly.. sio utopwinyo
 
Amekoswakoswa magoli mengine ya wazi zaidi ya matatu. Yaani bahati yake tu ilikuwa angepigwa tano bila.
 
Kocha Mkuu wa Yanga, Nasrdinne Nabi akihojiwa na waandishi wa habari baada ya mchezo wa leo amesema; bao la kwanza walilofunga Simba halikuwa halali na hivyo likawatoa mchezoni hali iliyopelekea timu yake kupoteza mchezo huo.

"Kwa waliotazama mechi vizuri hasa waliopo nyumbani watakubaliana na mimi kuwa ile haikuwa kona halali, ilipaswa iwe goal kick ila ikaamuliwa kuwa ni kona na hatimae tukafungwa goli la haraka," aliongeza Nabi.

View attachment 2590310
Jamaa amekuwa mchambuzi sasa
 
Mbumbumbu tunaridhika kilofa sana.

Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?

Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.

• Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).

• TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).

• Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.
94F2F0A4-C0F3-4E72-81AA-035C420F3EF9.jpeg
Father Benaaaaaaard
 
Mbumbumbu tunaridhika kilofa sana.

Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?

Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.

• Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).

• TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).

• Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.

Chomoa mwiko huo mkuuu , kabla hatujaongeza goli la tatu
 
Na ile Penalt waliyopewa dhidi ya Geita, mbna hajawahi kusema sio halali??

Afu kumbe kiswahili anakijua vizuri mnoooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu kwenye mahojiona kaonesha Kwamba eti halijui jina la Kocha wa Simba. Kumbe yale madharau ya yule mbwabwajaji kayarithi yeye!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbna alimtajaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom