Nabi na Yanga wamefanya wameleta mtazamo tofauti na uliozeleka africa

Nabi na Yanga wamefanya wameleta mtazamo tofauti na uliozeleka africa

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Moja ni kitu kinachoboa katika timu za africa ni kukomaa na ushindi wa nyumbani pekee. Africa imekuwa na utamaduni huu kwa muda mrefu sana, silaha ya timu za Africa ni ushindi wa nyumbani tofauti na timu za ulaya.

Kanuni ya africa ni ugenini paki basi, komaa nyumbani. Kitendo cha Yanga kuitandika timu nzuri na bora nyumbani kwao linaifanya Yanga kuangaliwa kwa kicho la pekee sana
 
Moja ni kitu kinachoboa katika timu za africa ni kukomaa na ushindi wa nyumbani pekee. Africa imekuwa na utamaduni huu kwa muda mrefu sana, silaha ya timu za Africa ni ushindi wa nyumbani tofauti na timu za ulaya.

Kanuni ya africa ni ugenini paki basi, komaa nyumbani. Kitendo cha Yanga kuitandika timu nzuri na bora nyumbani kwao linaifanya Yanga kuangaliwa kwa kicho la pekee sana
ajengewe sanamu lake pro. Nabi pale msimbazi ili makolo wakiliona wafe kwa presha
 
Moja ni kitu kinachoboa katika timu za africa ni kukomaa na ushindi wa nyumbani pekee. Africa imekuwa na utamaduni huu kwa muda mrefu sana, silaha ya timu za Africa ni ushindi wa nyumbani tofauti na timu za ulaya.

Kanuni ya africa ni ugenini paki basi, komaa nyumbani. Kitendo cha Yanga kuitandika timu nzuri na bora nyumbani kwao linaifanya Yanga kuangaliwa kwa kicho la pekee sana
Walivyoipiga kipanga wakajiona miamba. All the best tuache upumbavu wa kuipanda timu kichwani
 
km huko shirikisho timu zitakazocheza na yanga zisiposhirikiana na marefa kuwanusuru watakuwa wanapigwa kama ngoma ya kizaramo ijumaa-jumapili
 
Manara alishawaambia Yanga wenye akili ni Baba yake na Jakaya tu wengine......
 
Back
Top Bottom