ajengewe sanamu lake pro. Nabi pale msimbazi ili makolo wakiliona wafe kwa preshaMoja ni kitu kinachoboa katika timu za africa ni kukomaa na ushindi wa nyumbani pekee. Africa imekuwa na utamaduni huu kwa muda mrefu sana, silaha ya timu za Africa ni ushindi wa nyumbani tofauti na timu za ulaya.
Kanuni ya africa ni ugenini paki basi, komaa nyumbani. Kitendo cha Yanga kuitandika timu nzuri na bora nyumbani kwao linaifanya Yanga kuangaliwa kwa kicho la pekee sana
Walivyoipiga kipanga wakajiona miamba. All the best tuache upumbavu wa kuipanda timu kichwaniMoja ni kitu kinachoboa katika timu za africa ni kukomaa na ushindi wa nyumbani pekee. Africa imekuwa na utamaduni huu kwa muda mrefu sana, silaha ya timu za Africa ni ushindi wa nyumbani tofauti na timu za ulaya.
Kanuni ya africa ni ugenini paki basi, komaa nyumbani. Kitendo cha Yanga kuitandika timu nzuri na bora nyumbani kwao linaifanya Yanga kuangaliwa kwa kicho la pekee sana
Mjadala ufungweUngekomaa Sudan
Hii ni shubiri umewanywesha watu.Ungekomaa Sudan