Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno ya hivi yanatolewa na mwenye pesa tayari. Kwanini?Don’t gain the world and lose your soul;
wisdom is better than silver or gold.
Ni hayo tu!!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Yeye Ni wa kupongezwa wa kulaumiwa Ni wale wanaompa hela ili awapeleke mbinguni badala yake yeye anatumbua nauli yote.Hamna nabii pale[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui hua Kuna kauchawi flani?Imani bhana iache kama ilivyo[emoji23][emoji23][emoji23]Masanja anaaminika na waumini wake kuliko raisi anavyomuamin bodyguard wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ik kijamaa kinaangaika sana yawezekana ana milion 20 kaz yake n kudepost na kudraw for show off sku moja nlkua karbu na hotel anayofanyia maomb nliongeza umakin kumfatilia hakuna mchungaj wala nabii apo hata kwaya masta hakuna huyu n motvation spika tu aliekaril vfungu vya biblia
Huwezi amini ni nabii eti [emoji23][emoji23][emoji23]Nabii ndiyo ananyoa kama STAN BAKORA??
Na huwaambii kituMimi nilishaacha kuwashangaa manabii wa hivi, bado nawashangaa wafuasi wake,
Hata najua?sialikuwa amesokota dread amezitoa lini tena?
Mpigaji tuHamna nabii pale[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeye Ni wa kupongezwa wa kulaumiwa Ni wale wanaompa hela ili awapeleke mbinguni badala yake yeye anatumbua nauli yote.
Yaan mpaka nahisi nabii Tito alikosa sponsor tu nayeye angetusua [emoji2][emoji2]Kwa Sasa wakati tulionao tusimshangae nabii
Tuwashangae hao WAUMINI WAKE hao ndio wenye matatizo makubwa na wakuonewa huruma kabisa