MONA WA KYEN
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 340
- 271
Halooooo unajitoa kweli [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Unajua muda mwingine unapomdhihaki Mungu, mnajikuta mnapigwa pigo kwenye akili zenu na mnakuwa kama wehu hivi..maelezo wanajichanganya sema kuna watu walitaka kufikisha ujumbe. Mara you called me in the overflow mara was i here before? siwaelewi hata mmoja hata anaeitwa DJ anaonekana zinakwenda speed sana maneno kuliko akili sijui kazi zimemharibu halafu This man is crazy hapo inawezekana kauliza kiutani kwani hawa watumishi hawatanii wala hawachekeshi?
Sawasawa mtumishi wa Bwana unajitoa kweli Taji 8 zinakusubiri mbinguni [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122]Unajua muda mwingine unapomdhihaki Mungu, mnajikuta mnapigwa pigo kwenye akili zenu na mnakuwa kama wehu hivi..
Ndiyo maana Mbeya kila Mtu ana Kanisa lake kuepuka mambo ya kuchukuliana Sadaka...............Kwani nikiwa na Kanisa langu mimi na Familia yangu tatizo ni nini Mungu siyo yuleyule............????!!!Yan maisha yakiwa magumu we anzisha kanisa bac raha unazkusanya tu
Hafu kuna mpuuzi anakuja kubisha kwamba ni kompyuta kwelijamaa ni tapeli haswaa. Kuna video clip flani hivi ipo Youtube inaonesha eti jamaa anatembea heawani wakati clearly kunasehemu alijishikilia kwa juu. Kuna nyingine ilionesha vitu ambavyo alidai kuwa ni malaika wakati ilionekana wazi wazi kwamba ni computer effects.
Na Biblia ni ile ile ,Ha ha ha kwa kweli tunakoelekea hukombele kila mtu atakua na la kwake nyumbani.Ndiyo maana Mbeya kila Mtu ana Kanisa lake kuepuka mambo ya kuchukuliana Sadaka...............Kwani nikiwa na Kanisa langu mimi na Familia yangu tatizo ni nini Mungu siyo yuleyule............????!!!
Ana kanisa lake hapa TZ linaitwa ECG sijui, wakamatwe tu..Huu ni wizi na utapeli na nadhani polisi wanapaswa kumchunguza na kumkamata.
Kusema ni mijinga haitoshi ni Mipumbavu hata hapa Tz ipo mijitu kama hiyoBado ipo mijinga mingi tu kwenye hiyo dini inaamini hayo. Ni mijinga tu.